KILLERS KISS GUY
JF-Expert Member
- May 9, 2013
- 718
- 258
Ndo mliolishwa unga wa ndelesikujua unazungumzia ajira tupisheni vijana sisi hatuachi kumuunga mkono daima.
Bavicha utawaweza, Fisadi amewakamata kisawasawa.sikujua unazungumzia ajira tupisheni vijana sisi hatuachi kumuunga mkono daima.
Nyie mmelishwa unga wa fisadi Lowassa, mnabwabwaja sana mitandaoniNdo mliolishwa unga wa ndele
Mbowe bado atakuwa anajifariji kwa vipande vya dinari alivyokwapua kwa Lowassa ili amkaribishe kwenye SACCOSS yakeBAVICHA????????????????
Naona anawanyosha tu. Hata Mbowe leo kaangukia bonge la pua na macho!!!!!
Huwezi ajiri watu wapya wakati waliopo wamechanganyika watu halisi na watu hewa ni lazima usafishe kwanza uchafu uliopo ndiyo uingize nguvu mpya kazini ,hili la kuahirishwa ni swala la mda tu haitakiwi kukata tamaa na kuanza kumlaumu /kupoteza imani na Rais.Ni mwaka mmoja sasa umetimia tangu rais Magufuli aingie Ikulu, katika kipindi hiki yapo mazuri kadhaa amefanya na vijana wanaunga mkono lakini kila kukicha vijana wamepoteza imani na rais Magufuli kwani tangu aingie madarakani hali kwa vijana imezidi kuwa mbaya kwani ndani ya mwaka huu mmoja wa kukaa kwake Ikulu amesimamisha ajira mpya jambo linalo wagusa vijana wengi, na mpaka sasa vijana wengi hawajui kesho yake ikoje.
Mkuu kwani vijana wa ccm wenyewe hawajasitishiwa ajira zao eenh?Vijana wa BAVICHA labda
Mkuu kwani vijana wa ccm wenyewe hawajasitishiwa ajira zao eenh?
ndo wale waliopewa kanga,vitenge, kofia.......hana hata aibu kuongea pumba kwenye reality....kila kitu kwake yes...unaweza kuta muuza papuchi hana hofu mana ma pedeshee wanatumiamo.Ndo mliolishwa unga wa ndele
Nakupinga vibaya sana ! Hakuna mwaka ambao vijana wa Tanzania waliwahi kuwa na imani na mtu huyu, fanya utafiti , kuanzia enzi za kupiga mbizi kwenda kigamboni hadi wakati wa kupiga push up .Ni mwaka mmoja sasa umetimia tangu rais Magufuli aingie Ikulu, katika kipindi hiki yapo mazuri kadhaa amefanya na vijana wanaunga mkono lakini kila kukicha vijana wamepoteza imani na rais Magufuli kwani tangu aingie madarakani hali kwa vijana imezidi kuwa mbaya kwani ndani ya mwaka huu mmoja wa kukaa kwake Ikulu amesimamisha ajira mpya jambo linalo wagusa vijana wengi, na mpaka sasa vijana wengi hawajui kesho yake ikoje.
kurupuka style hiyoooooooooooo...Nakupinga vibaya sana ! Hakuna mwaka ambao vijana wa Tanzania waliwahi kuwa na imani na mtu huyu, fanya utafiti , kuanzia enzi za kupiga mbizi kwenda kigamboni hadi wakati wa kupiga push up .
Usipende kufikiri kama ubongo wako sio wa kijana, unaongelea vijana wapi hao? Usichanganye bavicha na vijana!Ni mwaka mmoja sasa umetimia tangu rais Magufuli aingie Ikulu, katika kipindi hiki yapo mazuri kadhaa amefanya na vijana wanaunga mkono lakini kila kukicha vijana wamepoteza imani na rais Magufuli kwani tangu aingie madarakani hali kwa vijana imezidi kuwa mbaya kwani ndani ya mwaka huu mmoja wa kukaa kwake Ikulu amesimamisha ajira mpya jambo linalo wagusa vijana wengi, na mpaka sasa vijana wengi hawajui kesho yake ikoje.