Anayejua Rais Magufuli anatupeleka wapi atuambie, naona kama tumepotea

Anayejua Rais Magufuli anatupeleka wapi atuambie, naona kama tumepotea

Status
Not open for further replies.
Pamoja na demokrasia kubakwa waziwazi mwaka jana na rais wa kulazimisha kupatikana, Tanzania bado inajikuta kwenye mkwamo watangu enzi!!

Wachache kati ya watanzania waliokuwa na matumaini kidogo na huyu Magufuli sasa wanaanza kujionea wenyewe matumaini yao yanavyodidimizwa!!

Ilianza na sukari na wiki hii tumehamishia maumivu yetu kwenye mafuta ya taa!! Ugumu wa maisha kwa wanyonge bado unaendelezwa kwa kasi mno huku aliyejinadi kuwa ni sadaka kwa watanzania akikosa kabisa suluhu ya kweli ya masahibu haya!!

Ameonyesha kuwa ni Rais asiyejiamini kabisa, rais asiyeweza lolote, Rais asiyekuwa tayari kuvumilia maoni tofauti kwa kuwa anajijua HAWEZI!!

Ni masikitiko yangu kwamba inabidi tuchelewe tena kwa miaka mingine mitano zaidi ndipo tupate nafasi ya chaguzi nyingine ambayo pia ina kila mwonekano kuwa itakuwa UCHAFUZI!!

Mungu mwenye enzi yote okoa waja wako wa Tanzania!!
Una chuki binafsi na uandishi wa kukurupuka. Comparative analysis gives you some arguments
 
Shida sio yeye; shida ipo kwa waliomchagua. Wananchi tukiendelea kutumika kwa kudanganywa na vitu vidogo kama pesa,pombe, t. shirt, kofia, kanga na maigizo ya jukwaani kwa kupewa ahadi ambazo fika tunajua hazitekelezeki. Basi tusitegemee kama chochote chaweza kubadilika.

Wasanii wetu wa Bongo Flava na Bongo movies wali'play part kubwa sana pia kuupitisha huu uongozi. Historia isiwasahau pia na hawa.

Mkishamaliza kutafakari hayo embu tujiulize hivi zile milioni 50 katika kila kijiji zimeishia wapi?

Na mahakama ya mafisadi ndo imejengwa wapi tena? Lumumba boys waje watusaidie kwenye Google maps naitafuta siioni.
 
Itakuwa ni maajabu ikitokea siku moja ukapongeza lolote lililo fanyika kwenye serikali hii ya awamu ya tano nitashangaa sana.
Mpaka sasa amna chakumpongeza labda miaka minne iliyobaki.
 
Hivi kwanini mnapenda sana kutumia maneno haya "kubaka demokrasia" ..."katiba kubakwa" ..."ubakwaji wa haki"... Kwanini msitumie maneno kama "kukiukwa kwa katiba" ....." demokrasia kuwekwa kando" ......"sheria kutozingatiwa" .... Ila nyie mmekazana na kubaka tu, mara hiki kimebakwa, kile kimebakuliwa....
 
Jamani tulieni tu mbona mnamstua? Si mnajua ngoma ikilia sana karibia inapasuka?
 
Dikteta Magufuli ni JANGA KUBWA LA TAIFA.
 
Kitu gani hukijui kuhusiana tatizo la sukari na mafuta ya taa ?
Ni rais gn unahisi anaweza kutatua changamoto hii ndani ya wiki moja hasa ktk nchi ambayo wataalamu wa uchumi na wasemaji maarufu wanaziba midomo yako kwa karatasi nyeupe a.k.a "Don't dirty my mouth"
 
Utukufu wa Mungu ni wa ajabu sana ! Ni hivi , uongozi mkubwa kama urais ni karama kutoka kwa Mungu , karama hii hailetwi na vifaru .

Mimi nimeshukuru sana kwa haya yanayotokea na naombea Hawa Masikini wa nchi hii waendelee kukomeshwa kwa dhiki na shida nyingi zaidi ili iwe fundisho kwa masikini wengine duniani .

Tumekuwa tukiwaelimisha kwa miaka mingi sana lakini hawaelewi , sasa Mungu kawatandika kibao cha uso waache wakome , asiyefunzwa na mamaye hufunzwa na ulimwengu .

Adui mkubwa wa nchi hii ni ccm hakuna fukara yoyote wa nchi hii asiyelijua hili , akifuatiwa kwa mbaali na mwovu shetani , lakini wao wameendelea kumkumbatia tu , wacha wakione cha moto .
Mimi nilidhani mwovu shetani ndio kiboko ya maovu kumbe haoni ndani kwa ccm?
Hili tungelitangaza duniani tungepata watalii wengi hakuna mfano.
"TEMBELEA NCHINI KWETU UJIONEE JINSI SHETANI ALIVYO GARAGAZWA NA CHAMA KWA UOVU"
 
Pamoja na demokrasia kubakwa waziwazi mwaka jana na rais wa kulazimisha kupatikana, Tanzania bado inajikuta kwenye mkwamo watangu enzi!!

Wachache kati ya watanzania waliokuwa na matumaini kidogo na huyu Magufuli sasa wanaanza kujionea wenyewe matumaini yao yanavyodidimizwa!!

Ilianza na sukari na wiki hii tumehamishia maumivu yetu kwenye mafuta ya taa!! Ugumu wa maisha kwa wanyonge bado unaendelezwa kwa kasi mno huku aliyejinadi kuwa ni sadaka kwa watanzania akikosa kabisa suluhu ya kweli ya masahibu haya!!

Ameonyesha kuwa ni Rais asiyejiamini kabisa, rais asiyeweza lolote, Rais asiyekuwa tayari kuvumilia maoni tofauti kwa kuwa anajijua HAWEZI!!

Ni masikitiko yangu kwamba inabidi tuchelewe tena kwa miaka mingine mitano zaidi ndipo tupate nafasi ya chaguzi nyingine ambayo pia ina kila mwonekano kuwa itakuwa UCHAFUZI!!

Mungu mwenye enzi yote okoa waja wako wa Tanzania!!


Hii sichangii, yasije yakanipata kama yule jamaa wa Arusha. teh teh teh..ila nime-like.
 
View attachment 358575

huyu ni mwana ccm na kadi yake.


swissme

Mlivyokuwa mnaimba majukwaani......ccm mbele kwa mbele......Mlijua watakaoisoma namba ni wazambia au wacongo?

Kila siku nawaambia wadogo zangu humu wanaojifunza siasa za mahaba....the likes of muandishi.........muwe na akiba ya maneno! Siasa za mahaba hazina mwisho/matokeo mzuri....
 
Utukufu wa Mungu ni wa ajabu sana ! Ni hivi , uongozi mkubwa kama urais ni karama kutoka kwa Mungu , karama hii hailetwi na vifaru .

Mimi nimeshukuru sana kwa haya yanayotokea na naombea Hawa Masikini wa nchi hii waendelee kukomeshwa kwa dhiki na shida nyingi zaidi ili iwe fundisho kwa masikini wengine duniani .

Tumekuwa tukiwaelimisha kwa miaka mingi sana lakini hawaelewi , sasa Mungu kawatandika kibao cha uso waache wakome , asiyefunzwa na mamaye hufunzwa na ulimwengu .

Adui mkubwa wa nchi hii ni ccm hakuna fukara yoyote wa nchi hii asiyelijua hili , akifuatiwa kwa mbaali na mwovu shetani , lakini wao wameendelea kumkumbatia tu , wacha wakione cha moto .
Waraka huu unapaswa kupelekwa makumbusho ya taifa lakini walipiga kura wakaziiba
 
Pamoja na demokrasia kubakwa waziwazi mwaka jana na rais wa kulazimisha kupatikana, Tanzania bado inajikuta kwenye mkwamo watangu enzi!!

Wachache kati ya watanzania waliokuwa na matumaini kidogo na huyu Magufuli sasa wanaanza kujionea wenyewe matumaini yao yanavyodidimizwa!!

Ilianza na sukari na wiki hii tumehamishia maumivu yetu kwenye mafuta ya taa!! Ugumu wa maisha kwa wanyonge bado unaendelezwa kwa kasi mno huku aliyejinadi kuwa ni sadaka kwa watanzania akikosa kabisa suluhu ya kweli ya masahibu haya!!

Ameonyesha kuwa ni Rais asiyejiamini kabisa, rais asiyeweza lolote, Rais asiyekuwa tayari kuvumilia maoni tofauti kwa kuwa anajijua HAWEZI!!

Ni masikitiko yangu kwamba inabidi tuchelewe tena kwa miaka mingine mitano zaidi ndipo tupate nafasi ya chaguzi nyingine ambayo pia ina kila mwonekano kuwa itakuwa UCHAFUZI!!

Mungu mwenye enzi yote okoa waja wako wa Tanzania!!
mlijitoa Akili tu,kama kawaida yenu wana ccm, lakini sisi kina gogo la shamba tuliwaambieni mapema kwamba ndani ya ccm hawezi kutoka kiongozi bora labda haame chama kwanza maana ccm haiwatakii wananchi maendeleo
 
UKAWA wameanza kulia lia. Kweli wameanza kuismoa namba
 
ENDELEENI KUPIGA DEBE NA KELELE HUMU JF,SERIKALI NI HII HII YA JPM NA SIO MIAKA 4 NA NUSU TU ILIYOBAKI NI MIAKA 9 NA NUSU ILIYOBAKI,WENGINE TUNACHANGAMKIA FULSA ZILIZOPO,WENGINE ENDELEENI KULALAMIKA HUMU HUMU TU TUONE MTAPATA NINI.,MUITE RAISI JINA LOLOTE LILE MTAKALO HAMUMBADILISHI KITU SANA SANA MTAISHIA KUKAMATWA MKIZIDISHA MAJINA.RAISI ANAFANYA KAZI NZURI SANA,NA WENGI TUNAMSAPOTI.MNAOJITOA UFAHAMU ENDELEENI TUONE MWISHO WENU.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom