Salary Slip
Platinum Member
- Apr 3, 2012
- 49,390
- 152,301
Mwanafunzi wangu, mbona una maswali magumu hivyo?Ulikusudia kusema nini atiii?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mwanafunzi wangu, mbona una maswali magumu hivyo?Ulikusudia kusema nini atiii?
rais wako anapenda kupigwa makofi lakini kuzabwa hataki.Ulikusudia kusema nini atiii?
Achana na maaskofu na mashekh, hawa ndio watu wasikuwa na msaada mbali ya kujidanganya na maombezi nasema! Najua mtanipiga madongo, lakini wacha niliseme! Hawa nawaambia sala hazisaidii katika ulimwengu wa uhalisia. Kama sala zina kazi, Amani asingelitawala Uganda miaka 7 ya mateso! Walisali sana na kuomba sana haikusaidia.Nikimsikiliza Rais Magufuli napata picha ya mfanyabiashara mdogo wa duka la kaya aliyepewa mtaji na nduguze ili ajikimu yeye na familia yake lkn kabla hata hajaanza kufanya mauzo, anaamua kuanza kutafuna biskuti na kulamba sukari kiasi cha kufikia kula mtaji wote na hatimaye duka sasa kalifunga - Magufuli hakika ameamua kujihujumu na kuufanya Utawala wake kuwa mgumu pasi na sababu.
Basi natamani wapatikane wazee wenye busara (Maaskofu na Masheikh ) wakazungumze naye kwa upole wamkanye tu kwamba speed aliyo nayo ya kuelekea kupotea njia ni kubwa mno - ataivuruga nchi na atajivuruga mwenyewe, halafu wale wazee wa CCM akina Kikwete na akina Mkapa wataanza kumcheka.
Hakika kuna shida kubwa nafsini mwa Rais Magufuli - akikutana na Maaskofu na Masheikh naamini watamfanyia na maombi pia ili apone - Rais huyu anahitaji UPONYAJI.
Tuombe sana, ingawa Mungu hayupo kwa imani yangu! Wanaoamini waombe sana tena sanaMe nashindwa elewa nia ya Rais hadi sasa
Binafsi nadhani bado hajajua ugumu na uzito wa jukumu la kuwa rais wa nchi. Anachukulia mambo kirahisi sana. Anadhani waliomtsngulia walikuwa wajinga sana kuheshimu utawala wa sheria na demokrasia. Anaamini kabisa ataweza kuongoza hii nchi kwa vitisho? Na wazee wa busara km kina Warioba na Salim Ahmed qanaona kijana wao anapotea njia wao wanakaa kimya? Kwa Kikwete siwezi kushzngaa kwa sababu nina hakika hata Magu akikosea stamwacha ili aumbuke! Mkapa yeye kwa sasa ni km amepoteza mwelekeo! Ishu ni hawa wazee wenye busara, warioba, salim ahmed, butiku, msekwa mzee wa demokrasia, hawa wapo wapi? Hawaoni tunakwenda shimoni_?