Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hawajamaa wanaweza wakasema umeleta uchochezi eti kuchukia serikaliJaman kama kichwa kinavyojieleza, naichukia Sanaa hii sereukwala hata inachofanya sikioni. Naijutia kura yangu kama zingekuwa zinadaiwa ningeenda kuidai yangu. Ni hayo tu asanten
Muda wa kuzungusha mikono umekwisha. Ngojea tena 2020 uchague jiwe na kudeki barabara.Jaman kama kichwa kinavyojieleza, naichukia Sanaa hii sereukwala hata inachofanya sikioni. Naijutia kura yangu kama zingekuwa zinadaiwa ningeenda kuidai yangu. Ni hayo tu asanten
Teh teh teh, kwa hiyo mtoa post ni fisadi?,'Msema kweli ni Mpenzi wa Mungu, Serikali yangu itachukiwa kweli kweli na Mafisadi'-JPM
Binadamu yeyote mwenye ufahamu huwa anapenda ktu au kuchukia kitu kwa sababu lakini ww ujatoa hata sababu moja why unachukia serikali hii so tukueleweje???
Amesema haoni inachofanyaUngetoa na sababu basi, hizi chuki kavu kavu sio za kuamini sana.
Tatizo waafrica tumeyapa mamlaka hisia zetu zitawale akili zetu ilo tu ndo tatizo bhasiAmesema haoni inachofanya
Rudia tena kusoma
Hayo maneno kwenye red sio kura yako tu hata Tanzania nzima ingelipigia kura Chadema, basi chama cha Majambazi(CCM) ingeliiba tu. Tunahitaji nguvu za umma kuondoa uchafu huu wa Majambazi chama.Jaman kama kichwa kinavyojieleza, naichukia Sanaa hii sereukwala hata inachofanya sikioni. Naijutia kura yangu kama zingekuwa zinadaiwa ningeenda kuidai yangu. Ni hayo tu asanten
Jaman kama kichwa kinavyojieleza, naichukia Sanaa hii sereukwala hata inachofanya sikioni. Naijutia kura yangu kama zingekuwa zinadaiwa ningeenda kuidai yangu. Ni hayo tu asanten
Hayo maneno kwenye red sio kura yako tu hata Tanzania nzima ingelipigia kura Chadema, basi chama cha Majambazi(CCM) ingeliiba tu. Tunahitaji nguvu za umma kuondoa uchafu huu wa Majambazi chama.
Wachungaji wengi ni matapeli wa waumini wao, kama wewe unawaamini endelea tu kutapeliwa.Mch.Msigwa
Hilo nalo NENO !!!!!!!!!!!!!!Hawajamaa wanaweza wakasema umeleta uchochezi eti kuchukia serikali
Unamanisha Mpandisha Uzi Hapo ni Fisadi?ahahaha'Msema kweli ni Mpenzi wa Mungu, Serikali yangu itachukiwa kweli kweli na Mafisadi'-JPM
Wachungaji wengi ni matapeli wa waumini wao, kama wewe unawaamini endelea tu kutapeliwa.
'Msema kweli ni Mpenzi wa Mungu, Serikali yangu itachukiwa kweli kweli na Mafisadi'-JPM