Ambiele Kiviele
JF-Expert Member
- Dec 29, 2014
- 15,267
- 29,917
COME BACK KIKWETE!!! [emoji26][emoji26][emoji26][emoji26][emoji26][emoji26]
KIKWETE aliwezaje kufanya yote haya?
1. Kutoa mikopo kwa wanafunzi zaidi ya 80%
2. Kulipa mshahara wafanyakazi wote na wale HEWA
3. Kuwapa mkopo wanafunzi zaidi 71000 wale ***** wa Udom*
4. Kuwapa mikopo wanafunzi hewa wa vyuo vikuu waliofutwa mwaka huu
5. Hakukusanya kodi ipasavyo
6. TRA ilikua shamba la bibi lakini still maisha yalikua normal tu na nchi iliendelea
HAYA MASWALI NAJIULIZA MWENYEWE SIPATI JIBU?
HELA ZIMEENDA WAPI?
WHY TUNATESEKA HIVI AS IF NI WAKIMBIZI
MKOPO HAKUNA
DAWA HOSPITALINI HAKUNA
KODI IKO JUU
AJIRA ZIMESITISHWA
God help us..come back kikwete[emoji26][emoji26][emoji26][emoji26][emoji26]
KIKWETE aliwezaje kufanya yote haya?
1. Kutoa mikopo kwa wanafunzi zaidi ya 80%
2. Kulipa mshahara wafanyakazi wote na wale HEWA
3. Kuwapa mkopo wanafunzi zaidi 71000 wale ***** wa Udom*
4. Kuwapa mikopo wanafunzi hewa wa vyuo vikuu waliofutwa mwaka huu
5. Hakukusanya kodi ipasavyo
6. TRA ilikua shamba la bibi lakini still maisha yalikua normal tu na nchi iliendelea
HAYA MASWALI NAJIULIZA MWENYEWE SIPATI JIBU?
HELA ZIMEENDA WAPI?
WHY TUNATESEKA HIVI AS IF NI WAKIMBIZI
MKOPO HAKUNA
DAWA HOSPITALINI HAKUNA
KODI IKO JUU
AJIRA ZIMESITISHWA
God help us..come back kikwete[emoji26][emoji26][emoji26][emoji26][emoji26]