Anayejua Rais Magufuli anatupeleka wapi atuambie, naona kama tumepotea

Anayejua Rais Magufuli anatupeleka wapi atuambie, naona kama tumepotea

Status
Not open for further replies.
COME BACK KIKWETE!!! [emoji26][emoji26][emoji26][emoji26][emoji26][emoji26]

KIKWETE aliwezaje kufanya yote haya?

1. Kutoa mikopo kwa wanafunzi zaidi ya 80%

2. Kulipa mshahara wafanyakazi wote na wale HEWA

3. Kuwapa mkopo wanafunzi zaidi 71000 wale ***** wa Udom*

4. Kuwapa mikopo wanafunzi hewa wa vyuo vikuu waliofutwa mwaka huu

5. Hakukusanya kodi ipasavyo

6. TRA ilikua shamba la bibi lakini still maisha yalikua normal tu na nchi iliendelea
HAYA MASWALI NAJIULIZA MWENYEWE SIPATI JIBU?

HELA ZIMEENDA WAPI?

WHY TUNATESEKA HIVI AS IF NI WAKIMBIZI

MKOPO HAKUNA

DAWA HOSPITALINI HAKUNA

KODI IKO JUU

AJIRA ZIMESITISHWA

God help us..come back kikwete[emoji26][emoji26][emoji26][emoji26][emoji26]
 
[emoji481] [emoji481] [emoji481] [emoji481] [emoji481] [emoji481]
[emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13]


Oya Mi Ni Mdau wa Pombe Acha uchoyo

Waiter zungusha [emoji481] [emoji481] [emoji481] [emoji481] [emoji481]
 
[emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13]


Oya Mi Ni Mdau wa Pombe Acha uchoyo

Waiter zungusha [emoji481] [emoji481] [emoji481] [emoji481] [emoji481]
Onhooooo jeuri ya kuzungusha haipo siku hizi [emoji23] [emoji23] ni moja tu afu unasepa
 
Hivi mkuu akiya fanya aya mtaendelea kulalamika
1:akianza kuajiri vijana tena kwa wingi
2:watu wakipandishwa madaraja na wengine kuamishwa
3:vijana waliositishiwa ajira wakirudishwa kazini kama kawaida
4:nyongeza za mishahara kama kawaida

je mtaendelea kulalamika kwa kipi
 
COME BACK KIKWETE!!! [emoji26][emoji26][emoji26][emoji26][emoji26][emoji26]

KIKWETE aliwezaje kufanya yote haya?

1. Kutoa mikopo kwa wanafunzi zaidi ya 80%

2. Kulipa mshahara wafanyakazi wote na wale HEWA

3. Kuwapa mkopo wanafunzi zaidi 71000 wale ***** wa Udom*

4. Kuwapa mikopo wanafunzi hewa wa vyuo vikuu waliofutwa mwaka huu

5. Hakukusanya kodi ipasavyo

6. TRA ilikua shamba la bibi lakini still maisha yalikua normal tu na nchi iliendelea
HAYA MASWALI NAJIULIZA MWENYEWE SIPATI JIBU?

HELA ZIMEENDA WAPI?

WHY TUNATESEKA HIVI AS IF NI WAKIMBIZI

MKOPO HAKUNA

DAWA HOSPITALINI HAKUNA

KODI IKO JUU

AJIRA ZIMESITISHWA

God help us..come back kikwete[emoji26][emoji26][emoji26][emoji26][emoji26]
Mi natamani kikwete angekataa kung'oka madarakani ili maisha ya endelee kuwa mazuri kuliko kutuletea huyu aliyetuletea, mi jana nimemshangaa kweli eti analalamika kunao mambo mengi ya kufanya kwahiyo hawezi dunga yote kwa mara moja, nimuulize hivi mbona kikwete alikuwa anaweza, hii inaonesha wazi kwamba uongozi hauwezi na nchi imemshinda, watanzania tujifunze kuchagua Sera badala ya push-ups.
 
Mi natamani kikwete angekataa kung'oka madarakani ili maisha ya endelee kuwa mazuri kuliko kutuletea huyu aliyetuletea, mi jana nimemshangaa kweli eti analalamika kunao mambo mengi ya kufanya kwahiyo hawezi dunga yote kwa mara moja, nimuulize hivi mbona kikwete alikuwa anaweza, hii inaonesha wazi kwamba uongozi hauwezi na nchi imemshinda, watanzania tujifunze kuchagua Sera badala ya push-ups.
kumbe nyie ndio mnaomdrive mh[emoji1] [emoji1] [emoji1]
 
tutaendelea kulalamikia

1.wanafunzi wa elimu ya juu kukosa mikopo.
2.ukosefu wa dawa mahosipitalini
3.ukosefu wa umeme wa uhakika
4.ufisadi wa escrow, epa, nyumba za serikali, mv dar es salaam, mabehewa mabovu nk
5.kuminywa kwa demokrasia
6.ukosefu wa maji safi
 
Jamii sio static aiaseh
Na kwa namna yoyote hawezi kumaliza malalamiko ila afanye kwa level ambayo ni best kwake over
 
kumbe nyie ndio mnaomdrive mh[emoji1] [emoji1] [emoji1]
Wala hamna anaye mdrive, ni kwa pressure ya uraisi hawezi ndomana analalama lalama tu, mbona waliopita walikua hawalalami, he is unfit to be URT president, njia rahisi ni yeye kujiudhuru na sio kututesa wananchi.
 
teuzi za mkuu zimesheheni watu wenye elimu ya juu kabisa,wengi ni maprofesa na madokta wa fani mbalimbali,na wengi wao wametufundisha jinsi gani tunaweza kufanya nchi isonge mbele.

mchawi mpe mwana alee!!! hao manguli waliofundisha vyuo vikuu vya ndani na nje sasa ndio wamepewa wayatekeleze hayo waliyokuwa wanayaimba madarasani miaka nenda rudi,na wakikwama hakika watadharaulika na hakuna atakayewaamini
Dalili za kukwama ziko wazi,hasa kwa.yule dokta wa wizara ya fedha,dokta huyu naamini mpaka sasa uchumi umempiga chenga,kila mahala ni malalamiko.
endelea kutaja kikosi hiki cha maprofesa na jinsi walivyokwama.
Maprofesa hewa
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom