Kiukweli siji jutia kura yang kwa Hali ya uchum na ugum wa maisha ninao uona mtaani, kila mtu analia mama ntilie wateja hamna buchan nyama zinaoza wateja hamna, nyanya, mishahar inapunguzwa sekta binafs kutokana na kushuka kwa uzarishaji, Bill 850,ajira nje, watumishi hewa, posho za kutosha, mirad ilitekelezeka, madawa yalikuwepo, mikopo kwa wanachuo, safari za nje ndege kupishana angan, mchakato wa katiba mpya ulianza, bembejeo zilifika kwa wakati, increments on time , tusimtukane mamba kabla hatuja vuka mto , ubora wako mheshiwa Sasa nimeona ama kweli tuzo ulizo chukuwa ulistahili kuzipata kama kiongoz bora, mung akujalie maisha marefu, til 1.3 hakuna ajira mwaka mzima, mikopo shida, hamna safari za nje, madawa shida, bank Zina kufa, watumishi hewa nje, hamna increments, ajira kusitishwa, labda cjajuwa kanun za uchum,mung barik Tanzania na watu wake