Anayejua Rais Magufuli anatupeleka wapi atuambie, naona kama tumepotea

Anayejua Rais Magufuli anatupeleka wapi atuambie, naona kama tumepotea

Status
Not open for further replies.
Anawapeleka Tanzania ya viwanda,na akiuona huu Uzi basi jamii forum inafungwa,yeye anasema Hapa kazi tu nyie mnapata wap muda wa kuchat jamii forum
 
Ndugu zangu mara nyingi nimesikiliza hutuba za JPM akilalamika kwamba serikali iliyopita ilikuwa inatumia pesa za umma vibaya wakitengeneza miaya ya kila aina ili kujipatia kipato kwa njia haramu na kusababishia taifa hasara, aliwahi kuungana na wapinzani kama alivyofanya marahemu Deo F kuambia serikali ya awamu ya nne waziwazi kwamba ni badirifu na iliyovaa miwani ya mbao.

Hivi JPM hakuwa nao hao anaowaita wapigaji na wabadirifu wa mali ya umma?
Namuomba JPM asilalamike kila anapotoa hotuba zake kwani itasababisha wananchi kuichukia serikali ya awamu ya nne bila sababu maana ccm wote walishiriki katika kuihujumu nchi.
 
Hata vitabu vitakatifu vinamchukia mnafiki kuliko Mchawi
 
Kinachoendelea nchi hii n mazingaombwe na unafk mtupu anajifanya kushangaa kana kwamba alikuwa mbingun
 
JPM alikuwa kwenye serikali ya awamu ya nne na Wizara aliyoiongoza kwa muda mrefu ya UJENZI ni mojawapo ya wizara Zilizofanya madudu kibao.
Mfano kutengeneza barabara chini ya viwango, kuongeza cha juu kwenye tenda, uuzaji wa nyumba za serikali, ku mis allocate pesa za bajeti etc etc.
Na mbaya zaidi hakuwahi kusema hata siku moja haya mauza uza sana sana ni mmoja wa mawaziri aliekuwa akimsifia ovyo ovyo JK.
 
Huyu ni mnafiki analalamika nini? ile ripoti ya CAG kuhusu madudu yaliyofanyika ujenzi wakati yeye akiwa waziri ingeletwa ili tuone uadilifu wake. Yeye alikuwa mmoja wa wapiga dili wakubwa hasa wakati wa kuuzwa nyumba za serikali. Aache unafiki kuna vitu vizito tunavijua tumekaa kimya. Uvumilivu ukitushinda tutabandika makaratasi yake hadharani
 
Katiba yetu inampa umungu mtu rais hata kama hakupenda yanayotendeka angefanyaje na yeye ajira anaipenda. Kaa humo siku ukipata nafasi itumie kurekebisha ulitaka akimbie alaf what
 
Kuna thread humu inaelezea ahadi za Magufuli nenda kaisome....

Halafu kuna Ilani ya CCM nenda kaisome pia.

Halafu rudi hapa uje kutuuliza ambacho hujakielewa..
Uliwahi kuzisoma ahadi za Kikwete alizotoa wakati wa kuomba "kula" na ilani ya CCM wakati huo?

Link http://www.mwananchi.co.tz/habari/Kitaifa/Ahadi-za-JK-zaitesa-CCM/1597296-2578024-94dwjez/index.html

Link2. Orodha ya ahadi za Kikwete kwa wananchi 2010-2015

Link3. Ahadi hewa za Kikwete 2010 vs ahadi hewa za Magufuli 2015

Link4. Yu wapi rais Kikwete? Namtaka aje hapa, 50

Link5. Ahadi ya Kikwete 2010 kujenga Chuo kikuu Butiama imeishia wapi?

Huwezi kuamini katika moja ya ahadi za Magu ni kusimamia uhuru wa vyombo vya habari. Lakini sasa anaomba malaika ashuke amsaidie kusimamia uhuru huo. Tembelea lin 6.

Link6. Uchambuzi wa ahadi za mgombea urais kwa tiketi ya CCM, Dr. John Pombe Magufuli

Link7. Ahadi za magufuli

Ni vizuri Magu ashauriwe aangalie na awe makini anapotoa ahadi zake, wapo watu wanaoziorodhesha na iko siku watamkumbusha au kumwanika.

Je Mahakama ya ufisadi itayafukua makaburi au ndio ufisadi wa nyavu za samaki tu?
 
Udini na ukanda viko wazi kabisa awamu hii, -
ndio maana hata neema na baraka vimeondoka nchini! kuna dini moja wanafurahia kudhulumu na kupendelewa
 
Acheni upuuzi hao wanaosema dini waulize wamesomesha madaktari wangapi mabingwa ili tuanzie kuwagawa kidini kila mkoa na wilaya.somesheni watoto nyie wenye dini.
 
Huyu ni muislamu katili, wala siyo mkristo
Halafu ana vinasaba na JF vinginevyo huu uzi ungefutwa
 
Haya mambo ya dini huwa siyapendi kabisa,maana mara nyingi huwa ni unafiki na uzandiki tu nyambafu
 
Akupeleke kwani wewe umekuwa zombie? Raisi Magufuli hayuko hapa kukupeleka wewe popote pale, bali wewe ndiyo unatakiwa ujipeleke mahali kwingine, wewe ndiyo unatakiwa ujitoe hapo ulipo na kwenda sehemu nyingine, wewe ndiyo unatakiwa ujifungue minyonyoro uliyofungwa na fisadi Lowasa, Mbowe & Co. na kuwa mtu huru Raisi Magufuli hawezi kulifanya hilo na wala siyo kazi yake!
Hadi leo wewe utakuwa umeisoma namba, au na wew ni miongoni mwa wateule
 
Huyu rais wetu amekuwa akijinasibu kuwa nchi hii ni tajiri na imechezewa kwa mda mrefu mbona anaharibu hata yale mazuri aliotuachia baba Riz wanafunzi wa Elimu ya juu watapata shida, Watumishi wa Umma vile vile waendesha dala dala kwa Dar, boda boda, hospitalini dawa shida
*Kubwa zaidi ni hili la kagera alishindwa kufika kule watu hawakutoa pesa zao ili zijenge miundo mbinu bali ilikuwa kuwachangia wahanga ile ilikuwa ni misaada ya kibinadamu wao wamebadilisha matumizi na kufanyia shughuli za kiserikali zile pesa ambazo mkuu amekuwa akijinasibu nazo zako wapi*
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom