Anayejua Rais Magufuli anatupeleka wapi atuambie, naona kama tumepotea

Anayejua Rais Magufuli anatupeleka wapi atuambie, naona kama tumepotea

Status
Not open for further replies.
Hivi rmx ya Wimbo wa WAPO -Ney feat Magu na Mwakyembe imeisha toka?....maana ney aliitwa mjengoni akaongezewe mistari au nimekosea?
 
Bidhaa
Sukari dukani kilo ilikuwa sh 1800 Leo kilo 2500 hadi 2200.
Unga wa Sembe dukani kilo ulikuwa unauzwa 1300 hadi 1400. Leo kilo 1800 hadi 2200
Maharage kilo ilikuwa sh 1500 hadi 1600. Leo 2200. hadi 2500
Ajira
Serikali ilikuwa inaajiri watumishi zaidi ya 60000 kila mwaka kada zote . Leo Jpm sijui kamuajir nani. ?
Biashara
Hii ndo imedorora hatari. ...yaan wafanyabiashara wamekua wakali kama nyuki.
Democracy
Demokrasia imeshuka sana kamata kamata ...hira za kudhoofisha upinzani ,kuzuia Mikutano ya hadhara (civil right.)
Matumizi ya ubabe
Hii ndo (hot cake)....yaan viongozi wanafanya yale wayatakayo kama vile uvamizi wa media na kutamka hadharan kuwa wao hawapangiwi la kufanya (their are not under the rule of law )
........
Hebu ongezea na kupunguza zinazokukera ......
Povu ruhusa. ..
Ungeanzia.....mkapa sukari kilo 500.cementi 5000.Unga kilo 300.nk.
Leo unamlaumu magu ?
Nani kaleta yote hayo?
 
Life goes on maisha hayarudi nyuma tunasonga kwa mwendo wa farasi au kinyonga.
 
Ungeanzia.....mkapa sukari kilo 500.cementi 5000.Unga kilo 300.nk.
Leo unamlaumu magu ?
Nani kaleta yote hayo?
Nani analaumiwa rfk au hapo kati kuna muhura chama fulani kiliingilia mamlaka. ..?
 
Mama ntilie wali ulikuwa 1000 siku hizi wali maharage 1500 wali nyama 2000...na inavyoenda itafika 5000.! Maisha yanakuwa juu ya Dola 1
 
Kwa ujumla CCM wanakatalia madaraka ni lakini hawana lolote la maana kwa nchi hii. Ni ile kudhani wao ndiyo wao lakini siioni future ya taifa hili.

Huyu wa sasa ndiyo atafanya vibaya kuliko watangulizi wake, muda utasema
 
Akupeleke kwani wewe umekuwa zombie? Raisi Magufuli hayuko hapa kukupeleka wewe popote pale, bali wewe ndiyo unatakiwa ujipeleke mahali kwingine, wewe ndiyo unatakiwa ujitoe hapo ulipo na kwenda sehemu nyingine, wewe ndiyo unatakiwa ujifungue minyonyoro uliyofungwa na fisadi Lowasa, Mbowe & Co. na kuwa mtu huru Raisi Magufuli hawezi kulifanya hilo na wala siyo kazi yake!
It is true, God likes varieties . Duuu watu kama nyie hamkesekanigi
 
Huyu jamaa ndo wa kumuuliza

IMG_0629.JPG
 
Usemi wa mwalimu nyerere kuwa makabila mengine hayafai kuongoza nchi naona kama kuna kaukweli hiviiiiii
 
Usemi wa mwalimu nyerere kuwa makabila mengine hayafai kuongoza nchi naona kama kuna kaukweli hiviiiiii
Mkuu nyerere aliona mbali sana!
Na siku tukibugi tena tuwape wachaga,wahaya,wanyamwezi,wanyakusya ndio tutakuwa tunaelekea kabirini
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom