"Ukiwa Raisi unatakiwa ujue hali za wananchi wako na kuzifanya ziwe bora",,raisi anapigania matatizo ya jumla kama elimu,dawa,barabara,maji,umeme na miundo mbinu kwa ujumla,tatizo nyie mnaongelea matatizo binafsi ndo maana nilikupa mifano fulani.Ok.. mfano mwingine USA tunaiita LAND OF OPPORTUNITY,ila marekani hiyo hiyo kuna wabongo kibao wanalalamika mambo magumu na kulalamikia system,tofauti kule unakufa kivyako tu,hakuna wakukusikiliza,maana yangu ni kuwa mtu mweusi ameumbwa mlalamishi sana.Tangu serikali ya Nyerere mpaka hii awamu ya tano hakuna siku watu hawajalalamikia serikali hata ingefanya nini.Pambaneni na hali zenu.