Anayejua Rais Magufuli anatupeleka wapi atuambie, naona kama tumepotea

Anayejua Rais Magufuli anatupeleka wapi atuambie, naona kama tumepotea

Status
Not open for further replies.
Hapa sasa watakutana wahanga wa ajira...waliofukuziwa baba zao/mama zao toka kwa system ya pesa..wapiga dili za magendo na walio kosa mikopo vyuoni....endeleeni kudanganyana hapa...
Pambana na hali yako[emoji23][emoji23][emoji23]
Nimecheka mnooo tena mnooo[emoji38] [emoji38] [emoji38]
 
Ni wachache tu atakayeamini kuwa CDM ndio ingeweza kuleta maendeleo
 
Mm nimemuelewa mkulu kwenye kipengele cha kuliparanganyua hili taifa sasa aendelee kulibomoa kitakuja kichwa makini kupanga tofali
 
  • Thanks
Reactions: SDG
Mimi kama Mtanzania kijana ninae jielewa nimesoma naona ni ujinga na upumbavu wa hali ya juu kuamini huyu Magufuli ataleta maendeleo katika nchi hii

Jana usiku nlikua naangalia video jinsi watu wanavyofanya kazi katika International Space Station ,kile chombo kimetengenezwa kwa technology ya hali ya juu kutoka kwa wamarekani na nchi tajiri kama 15 hivi duniani
Nkajiuliza hapa kwetu kuna mtu anaitwa Magufuli ambae ndo mkuu wa nchi watu wamemwona kama mkombozi wao ndo mzalendo eti anaweza kuibadilisha Tz wakati yeye mwenyewe kakalia majungu,mipasho ,kejeli masimango kwa watu ambao wanaweza wakaipaisha Tanzania yetu kwenye maendeleo ya kufikia kuanzisha ISS yetu
Tumeshaona jinsi serikali ya pombe inavyokopa hela kimya kimya tena mabilioni ya dola
Pangaboi yetu moja imekamatwa Canada kwa madeni yasiyo na kichwa wala miguu mtu katoa taarifa anaitwa mchochezi
Pombe hajaongeza salary kwa watumishi
Pombe kavuruga katiba kwa kuminya mikutano ya kisiasa ambayo ipo kisheria
Pombe kavuruga uchumi wananchi wake now wanateketea kwa njaa ya mkwanja na mlo mmoja
Pombe kabana Uhuru wa kuongea na kutoa maoni yani hataki kukosolewa kana kwamba nchi ni Mali yake
Vikao vya chama POMBE anavifanyia ikulu yani jumba la watanzania wote wenye vyama na wasio na vyama yeye anafanyia kikao cha chama chake huu ni ujuha
Itafika 2020 naamini pombe hakuna la maana atakalofanya kwa nchi na wananchi kwa ujumla zaidi ya kuongeza Shida tu
2020 huyu jamaa tumpige chini anatuharibia tu nchi yetu
NB: SINA CHAMA NA HAYO MAPOVU YENU WANA FISIEMU MYAPELEKE KWA WAKE/WAUME ZENU WAKAFULIE CHUPI SITAKI SHOBO HAPA HUNA HOJA KAA PEMBENI[emoji41] [emoji41] [emoji41] [emoji41]
Mkuu sigara kali, nimeelewa andiko lako umenena ukweli sema umetumia lugha kali kama jina lako.

Kwa uelewa wangu mdogo wa sheria nafahamu katiba ya tz ibara ya 64(5), katiba iinatamka wazi kwamba; hakuna sheria yoyote haitakuwa juu ya katiba na sheria yoyote inayotugwa nje ya katiba inahesabiwa batili moja kwa moja.

Kitendo cha kupiga marafuku mikutano ya kiasia wakati katiba inatamka tanzania ni nchi inayofuta mfumo wa vyama vingi ni ukiukaji na uvunjifu wa katiba wa wazi. Vitendo vya watu wasiujulika kuteka na kutesa watu na mauaji ni ukiukwaji wa haki za binadamu(bill of rights) na uvunjivu wa katiba maana katiba yetu inatamka wazi kila mtu ana haki ya kuishi hata km nimwalifu au humpendi.

Tanzania itakumbolewa na watanzania wenyewe
 
Mimi kama Mtanzania kijana ninae jielewa nimesoma naona ni ujinga na upumbavu wa hali ya juu kuamini huyu Magufuli ataleta maendeleo katika nchi hii

Jana usiku nlikua naangalia video jinsi watu wanavyofanya kazi katika International Space Station ,kile chombo kimetengenezwa kwa technology ya hali ya juu kutoka kwa wamarekani na nchi tajiri kama 15 hivi duniani
Nkajiuliza hapa kwetu kuna mtu anaitwa Magufuli ambae ndo mkuu wa nchi watu wamemwona kama mkombozi wao ndo mzalendo eti anaweza kuibadilisha Tz wakati yeye mwenyewe kakalia majungu,mipasho ,kejeli masimango kwa watu ambao wanaweza wakaipaisha Tanzania yetu kwenye maendeleo ya kufikia kuanzisha ISS yetu
Tumeshaona jinsi serikali ya pombe inavyokopa hela kimya kimya tena mabilioni ya dola
Pangaboi yetu moja imekamatwa Canada kwa madeni yasiyo na kichwa wala miguu mtu katoa taarifa anaitwa mchochezi
Pombe hajaongeza salary kwa watumishi
Pombe kavuruga katiba kwa kuminya mikutano ya kisiasa ambayo ipo kisheria
Pombe kavuruga uchumi wananchi wake now wanateketea kwa njaa ya mkwanja na mlo mmoja
Pombe kabana Uhuru wa kuongea na kutoa maoni yani hataki kukosolewa kana kwamba nchi ni Mali yake
Vikao vya chama POMBE anavifanyia ikulu yani jumba la watanzania wote wenye vyama na wasio na vyama yeye anafanyia kikao cha chama chake huu ni ujuha
Itafika 2020 naamini pombe hakuna la maana atakalofanya kwa nchi na wananchi kwa ujumla zaidi ya kuongeza Shida tu
2020 huyu jamaa tumpige chini anatuharibia tu nchi yetu
NB: SINA CHAMA NA HAYO MAPOVU YENU WANA FISIEMU MYAPELEKE KWA WAKE/WAUME ZENU WAKAFULIE CHUPI SITAKI SHOBO HAPA HUNA HOJA KAA PEMBENI[emoji41] [emoji41] [emoji41] [emoji41]
Jiwe kizani. Ukisikia kelele limewapata watembea kizani. Inauma na inasikitisha sana.
 
Alisukumizwa tu! Hajui atendalo yuko busy kuteka, kutesa na kuwinda wanaomkosoa kwa SMG. Janga kubwa huyu.

Huku kanda ya ziwa tumesubiria meli mbili mpaka basi. Sasa hivi usafiri Wa maji na bandari zimekufa.rais yupo kimya
 
  • Thanks
Reactions: SDG
Mimi kama Mtanzania kijana ninae jielewa nimesoma naona ni ujinga na upumbavu wa hali ya juu kuamini huyu Magufuli ataleta maendeleo katika nchi hii

Jana usiku nlikua naangalia video jinsi watu wanavyofanya kazi katika International Space Station ,kile chombo kimetengenezwa kwa technology ya hali ya juu kutoka kwa wamarekani na nchi tajiri kama 15 hivi duniani
Nkajiuliza hapa kwetu kuna mtu anaitwa Magufuli ambae ndo mkuu wa nchi watu wamemwona kama mkombozi wao ndo mzalendo eti anaweza kuibadilisha Tz wakati yeye mwenyewe kakalia majungu,mipasho ,kejeli masimango kwa watu ambao wanaweza wakaipaisha Tanzania yetu kwenye maendeleo ya kufikia kuanzisha ISS yetu
Tumeshaona jinsi serikali ya pombe inavyokopa hela kimya kimya tena mabilioni ya dola
Pangaboi yetu moja imekamatwa Canada kwa madeni yasiyo na kichwa wala miguu mtu katoa taarifa anaitwa mchochezi
Pombe hajaongeza salary kwa watumishi
Pombe kavuruga katiba kwa kuminya mikutano ya kisiasa ambayo ipo kisheria
Pombe kavuruga uchumi wananchi wake now wanateketea kwa njaa ya mkwanja na mlo mmoja
Pombe kabana Uhuru wa kuongea na kutoa maoni yani hataki kukosolewa kana kwamba nchi ni Mali yake
Vikao vya chama POMBE anavifanyia ikulu yani jumba la watanzania wote wenye vyama na wasio na vyama yeye anafanyia kikao cha chama chake huu ni ujuha
Itafika 2020 naamini pombe hakuna la maana atakalofanya kwa nchi na wananchi kwa ujumla zaidi ya kuongeza Shida tu
2020 huyu jamaa tumpige chini anatuharibia tu nchi yetu
NB: SINA CHAMA NA HAYO MAPOVU YENU WANA FISIEMU MYAPELEKE KWA WAKE/WAUME ZENU WAKAFULIE CHUPI SITAKI SHOBO HAPA HUNA HOJA KAA PEMBENI[emoji41] [emoji41] [emoji41] [emoji41]
kasome kwanza maendeleo ni nini alafu ndio uje mada yako hapa. usituchoshe wakati hata neno maendeleo hujui maana yake.
 
Tutajie basi hao watakaoleta maendeleo hapa nchini, kwa kurejelea uchaguzi uliopita!
Unaongelea uchaguzi gani, kwa sababu nijuavyo mimi hapa Tanzania huwa tunatumbukiza vikaratasi visandukuni. Kisha policcm na usalama wao wanavitumia vikaratasi hivyo kumpigia kura wanayemtaka. Safari hii eti walimtaka Pombe!!!!!!!
 
Sahihi kabisa inakubidi uwe mwendowazimu kuamini hii serikali inayoendeshwa na mawazo ya mtu mmoja tena mtu mwenyewe ni mpuuzi ambae hajui kitu, itakuletea mabadiliko chanya kwenye nyanja yoyote ile.
 
Sigara upo sahihi sema umetumia lugha Kali sana Mkuu,punguza ukali wa maneno utaeleweka tuu..
 
Kweli wewe ni mjinga kuliko watu wote duniani na mbaya zaidi hujui kama ni mjinga. Nani alikuambia maendeleo ya nchi yanaletwa na mtu mmoja hata hapo kwako maendeleo yataletwa na wanafamilia wote!! Sasa itakuwa nchi?? Ila kukiwa na kiongozi makini anaweza kusaidia kuleta maendeleo!!
Elimu yako please
 
Ni bora tu ubaki kuwa mjinga kuliko kujifanya mwerevu wakati unajua huyo ndio rais wako hadi 2025.

Mambo mengine ya kuwaza waza haya wakati ukijua hakuna chochote unachoweza kukifanya zaidi ya kupigana na hali yako katika kujiletea maendeleo yako wewe mwenyewe bila kusubiri maendeleo ya Magufuli ni upuuzi.

Unasubiri Magufuli akuletee maendeleo. Waliomtangulia wenyewe hawajaleta maendeleo na hata hao tunaowasubiri wakiingia madarakani walete maendeleo tutasubiri sana na wakiingia hawawezi kuleta hayo maendeleo.

Maendeleo yaanze kwa mtu mmoja katika maisha yake. Hayo ya Magufuli yakija au yasipokuja atajua mwenyewe.
Aaalah kumbe ccm wote niwaongo kwa watanzania?? Umesahau ilani za ccm?? Nenda kaisome vizuri
 
Maendeleo ya kweli yataletwa na watanzania wenyewe na ni kwa kuchapa kazi tu hakuna njia nyingine
MAGUFULI:najua maneno haya ni machungu lakini ndio ukweli asiyefanya kazi na asile
Tulimchagua atuambie ukweli
Hapa ni kazi
Sio machungu ila nikipuuzi,uchape kazi wakati mfumo mzima umevulugwa
 
Tena sio ujinga tu,ni ukichaa kabisa.labda maendeleo ya kupiga wapinzani risasi,kuwaweka rumande kila siku,kuwaita wachochezi ktk kila mahakama ya Tanzania.kulipua mabomu maofisini,na nyumbani kwa shehe,kuchangaya jeshi na diwani wa ccm na mchungaji uchwara.hayo ndo maendeleo ya magufuli nchini na asiyotaka yakosolewe wala uchunguzi huru uafanyike dhidi ya kusudio la kumu uwa Lisu.yaani huyu mtu ni Bomu la Korea kaskazini !
 
Mimi kama Mtanzania kijana ninae jielewa nimesoma naona ni ujinga na upumbavu wa hali ya juu kuamini huyu Magufuli ataleta maendeleo katika nchi hii

Jana usiku nlikua naangalia video jinsi watu wanavyofanya kazi katika International Space Station ,kile chombo kimetengenezwa kwa technology ya hali ya juu kutoka kwa wamarekani na nchi tajiri kama 15 hivi duniani
Nkajiuliza hapa kwetu kuna mtu anaitwa Magufuli ambae ndo mkuu wa nchi watu wamemwona kama mkombozi wao ndo mzalendo eti anaweza kuibadilisha Tz wakati yeye mwenyewe kakalia majungu,mipasho ,kejeli masimango kwa watu ambao wanaweza wakaipaisha Tanzania yetu kwenye maendeleo ya kufikia kuanzisha ISS yetu
Tumeshaona jinsi serikali ya pombe inavyokopa hela kimya kimya tena mabilioni ya dola
Pangaboi yetu moja imekamatwa Canada kwa madeni yasiyo na kichwa wala miguu mtu katoa taarifa anaitwa mchochezi
Pombe hajaongeza salary kwa watumishi
Pombe kavuruga katiba kwa kuminya mikutano ya kisiasa ambayo ipo kisheria
Pombe kavuruga uchumi wananchi wake now wanateketea kwa njaa ya mkwanja na mlo mmoja
Pombe kabana Uhuru wa kuongea na kutoa maoni yani hataki kukosolewa kana kwamba nchi ni Mali yake
Vikao vya chama POMBE anavifanyia ikulu yani jumba la watanzania wote wenye vyama na wasio na vyama yeye anafanyia kikao cha chama chake huu ni ujuha
Itafika 2020 naamini pombe hakuna la maana atakalofanya kwa nchi na wananchi kwa ujumla zaidi ya kuongeza Shida tu
2020 huyu jamaa tumpige chini anatuharibia tu nchi yetu
NB: SINA CHAMA NA HAYO MAPOVU YENU WANA FISIEMU MYAPELEKE KWA WAKE/WAUME ZENU WAKAFULIE CHUPI SITAKI SHOBO HAPA HUNA HOJA KAA PEMBENI[emoji41] [emoji41] [emoji41] [emoji41]
Ahahahaaaa....!! Emoji uliyotumia umenifanya nimkumbuke Mshana Jr...Steve Wounder pamoja na mchekeshaji wa Marekani Mzee, Bill Cosby...[emoji23] [emoji23] [emoji23] kweli hutaki Shobo...
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom