Anayejua Rais Magufuli anatupeleka wapi atuambie, naona kama tumepotea

Anayejua Rais Magufuli anatupeleka wapi atuambie, naona kama tumepotea

Status
Not open for further replies.
Kosa la upinzani ni kucheza muziki wa CCM. Leta safu mpya za uongozi, zama za Mbowe zimefika ukomo, upinzani wa Leo ili ukuwe unahitaji mawazo makubwa Na uthubutu mkubwa kuliko alionao Mbowe.
Ni wakati wa wapinzani kuwafikiria umma badala ya matumbo yao
Mbujibuji leo uko chini ya kiwango?? Tunaingelea demokrasia ya nchi Mbowe anatoka wapi hapo?? Je akitoka Mbowe ndo katiba inayoruhusu Uhuru wa kisiasa ikiwa ni pamoja na kuruhusu mikutano ya siasa na maandamano itafuatwa??

Je Mbowe akiondoka ndo wapinzani hawatanyanyaswa , kutishiwa kuuwawa ama kuuwawa kabisa?? Yaani Uwepo wa Mbowe kama mwenyekiti CHADEMA ndo hatutaona maiti koko za watuwasiojulikana???

Inapaswa tujue tunachokihitaji je ni maendeleo ama CCM kuendelea kutawala?? Kama ni CCM kuendelea kutawala lawezafanikiwa kwa muda tu ila kama ni maendeleo ya wananchi hakuna kitu hapo!
 
Kunywa sumu, bado ana miaka nane!
Endelea kushikiwa akili na Da Mange
We ndio Mungu mpaka unajua atakuwa hai baada ya miaka 8?? Mungu akiamua hata kesho asubuhi huyo magufuli anaenda kaburini

Mkumbusheni kuna maisha baada ya kifo.... Kuna kuzimu na moto wa milele...vyeo vinapita tu ila huko ataenda kulipia machafu yote aliyofanya... afu sijui kwanini anasemaga tumuombee ilihali ana roho mbaya kiasi hiki
 
Huko ulikokuzwa utakuwa umekuzwa kishetani maana wa dini aandiki haya.
 
Kunywa sumu, bado ana miaka nane!
Endelea kushikiwa akili na Da Mange, wewe kwenda kufungulia miguu kila mtu leo mambo yamekuwa tight sababu ya ugawaji wako unataka kutafuta wa kumtupia lawama zako?? Pambana na hali yako, umeyachagua mwenyewe hayo maisha. Shule si ulikuwa unagawa tu u***, pambana.
Tulia wewee
 
  • Thanks
Reactions: BAK
Wewe unaesema bado miaka nane una ahadi na Mungu? Mungu sio dhalm kiasi hicho unavyofikiria.

Kwa anayo yafanya huyu gharama atazilipa hapa hapa na yana mwisho wakoapi kina kaarun,Firaun

Na wabishi wengine? Kuna mtu anakusaidia anafanya kazi serikalini ndo maana unatetea ujinga.

Mange anaongea tu kuamini ni hiari yako sasa unataka useme kila mtu anamsoma mange? Na kumuamini yeye?

Nonsense.
 
Kosa la upinzani ni kucheza muziki wa CCM. Leta safu mpya za uongozi, zama za Mbowe zimefika ukomo, upinzani wa Leo ili ukuwe unahitaji mawazo makubwa Na uthubutu mkubwa kuliko alionao Mbowe.
Ni wakati wa wapinzani kuwafikiria umma badala ya matumbo yao
Kwa mazingira ya sasa Mbowe anajitahidi sana angalia vyama vingine is almost dead
 
Namchukia sana Rais John Pombe Magufuli. Sijajua watanzania tulimkosea nini muumba tukapewa adhabu hii nzito kwa miaka hii kumi(kama hataamua kung'ang'ania madarakani)

Ndani ya utawala huu, tunashuhudia nchi ikiendeshwa kwa decrees kutoka ikulu, pasipo tena kuzingatia utawala wa sheria na katiba!!! Katiba imeainisha haki kadhaa ikiwemo haki ya kufanya shughuli za kisiasa , zinazo jumuisha mikutano, maandamano na mambo mengine. Cha ajabu, katika utawala huu, siasa zimepigwa marufuku hadi kipindi cha uchaguzi, na maandamano yana adhabu ya kifo kwa kupigwa risasi, kama wauza madawa ya kulevya nchini China.

Ni utawala ambao mbali na matakwimu ya kupika, maisha ya watanzania wengi yamekua ya dhiki kuu kiuchumi kwa kuvurugwa mifumo na utawala huu wa mhe Rais.

Nakumbuka wakati anaingia madarakani, alisema anatamani watanzania waishi kama mashetani, na naona anatimiza ahadi hii kwa kasi!!!!

Binafsi, namchukia mno Rais Magufuli(naamini kumpenda au kumchukia mtu sio kosa, hivyo sitegemei moderators kufuta Uzi wangu huu)
Ukipotea usilalamike , huku siyo Marekani.
 
Hivi nchi ya Tanzania kumbe kuwa na maisha mazuri ni kosa. Vyuma vimekaza weka gilisi,nakupenda kikwete
 
We ndio Mungu mpaka unajua atakuwa hai baada ya miaka 8?? Mungu akiamua hata kesho asubuhi huyo magufuli anaenda kaburini

Mkumbusheni kuna maisha baada ya kifo.... Kuna kuzimu na moto wa milele...vyeo vinapita tu ila huko ataenda kulipia machafu yote aliyofanya... afu sijui kwanini anasemaga tumuombee ilihali ana roho mbaya kiasi hiki
Wewe na wenzako mnajikumbusha maisha baada ya leo!
Angalieni makalio yenu kwanza kabla ya kuangalia ya wengine.
Watanzania tunamuombea, miaka 8 ataimaliza na kuivusha nchi kwenda ardhi ya ahadi.
Mifisadi lazima ilambe chuma cha moto.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom