Anayejua Rais Magufuli anatupeleka wapi atuambie, naona kama tumepotea

Anayejua Rais Magufuli anatupeleka wapi atuambie, naona kama tumepotea

Status
Not open for further replies.
Katiba inavunjwa... Tupo kimya!

Bunge halina tena makali... Tupo kimya!

Mahakama inaingiliwa... Tupo kimya!

Viongozi wanatoa kauli zinazokinzana kwenye suala linalofanana... Tupo kimya!

Watu wanauawa... Tupo kimya!

Watu wanatekwa... Tupo kimya!

Magerezani kama sokoni... Tupo kimya!

Watumishi,wafanyabiashara, wakulima, wastaafu, wahitimu na wananchi kwa ujumla wanalia... Wapo kimya!

JE, TUTAAMKA LINI??? TUTOKE NYUMA YA keyboard! MAKELELE MITANDAONI HAYATASAIDIA!

LET'S NOW WAKE UP AND TAKE ACTION!
Bila watu kujitoa mhanga kufa, dictators never surrender!
 
Kama unaona kuna shida ni wewe,sisi tunaona Magufuli is the best President ever.Infact he is our dream President.Kama wewe hupendi Magufulization it's simple,hama nchi.Magufulization is here to stay.Mbona nchi ilipokuwa inafujwa kwenye awamu ya tatu na nne hamkusema?Sasa tumepata Rais anayejali taifa lake na kufanya mambo ya msingi,mnapiga makelele,viumbe wa ajabu sana ninyi.
Mkuu hawa walalamishi wa humu JF ndio sehemu ya iliyokuwa minufaika ya ufisadi.
Na hawa kinachowauma ni jinsi wengi wa wafadhili wao walivyotumia mapesa kuhakikisha wanaingia ikulu lakini wakashindwa.
Na wengi walizowea kuishi Dar kwa kutumia vimemo,sasa magufulization kahamishia serikali dodoma,na mazoea hataki.
Ndio hizi sumu zinazowatesa hawa wafuasi wa mifumo iliyopita.
 
Wewe ni mbumbumbu mmoja usiyejitambua, unateswa na laana ya waafrika, Rais wa hovyo kabisa ktk historia ya Tanzania eti unasema ni bora?
Tuwekee mkataba wa manunuzi ya ndege, Airport ya Chato na tuonyesh e zilipo Trilioni 2 zilizotoweka Kwenye Report ya CAG.
Tuambie alipo Azori Gwanda, Ben Saanane na Kanguye.
Laana yako tutolee hapa
Tuwekeeni matumizi ya billion kila mwez kama ruzuku ya chama chenu chadema. Unaita wenzako mbumbumbu we una akili? Kunguru manga we!
 
Unasema hatuko kimya, kwahiyo unataka kuaminisha kwamba wewe ndiye Fatima Karume?
 
Katiba inavunjwa... Tupo kimya!

Bunge halina tena makali... Tupo kimya!

Mahakama inaingiliwa... Tupo kimya!

Viongozi wanatoa kauli zinazokinzana kwenye suala linalofanana... Tupo kimya!

Watu wanauawa... Tupo kimya!

Watu wanatekwa... Tupo kimya!

Magerezani kama sokoni... Tupo kimya!

Watumishi,wafanyabiashara, wakulima, wastaafu, wahitimu na wananchi kwa ujumla wanalia... Wapo kimya!

JE, TUTAAMKA LINI??? TUTOKE NYUMA YA keyboard! MAKELELE MITANDAONI HAYATASAIDIA!

LET'S NOW WAKE UP AND TAKE ACTION!
Si tayari we ushaongea
 
Ccm haitaki kutoka madarakani kwa njia ya amani, tuko kimya!

Bunge live limefutwa na kuanzisha ikulu live na uteuzi live, tuko kimya.
Mkuu bunge ulikua unasikiliza au Maneno tu mana navyo jua bunge linaanza sa2 asubuh ww huna kazi za kufanya
 
Kama unaona kuna shida ni wewe,sisi tunaona Magufuli is the best President ever.Infact he is our dream President.Kama wewe hupendi Magufulization it's simple,hama nchi.Magufulization is here to stay.Mbona nchi ilipokuwa inafujwa kwenye awamu ya tatu na nne hamkusema?Sasa tumepata Rais anayejali taifa lake na kufanya mambo ya msingi,mnapiga makelele,viumbe wa ajabu sana ninyi.
Unadhani hati za kusafiria zingepatikana kirahisi ungeona makelele kutokea humu?
 
Mitanzania mingi mijinga acha ibanwe hadi sote tuwe na akili sawa.
Mtu anakuja kwenu hamna maji anasifia kununua ndege na fly over na sgr wakati wengi wenu hamtafika Dar
Kisha watu wanashangilia kama mazuzu vile. Na sio watu wa kawaida hata hao wanaoitwa viongozi wanashuhudia hayo maneno tokea jukwaani huku wanatetemeka kama kuku wa kideri.
Tuna viongozi wa ajabu sana tena wachumia tumbo wakubwa.
Leo hii ukienda Rukwa ambako Rais yupo, kusanya viongozi 100 ufanye utafiti nani kaombwa unyumba na mkewe au mumewe na alitoa? Hakuna, yaani hofu mpaka ndulele haisimami. Woga wa kufukuzwa kazi au kuaibishwa hadharani. Lakini hao badala ya kushirikiana na wenye nia ya kumuondoa huyo dikteta unakuta wanawapiga vita.
 
Kweli ni heri kuwa mjinga, kuliko mpumbavu. Wewe unamsifia huyo muuaji kwa lipi? Uwizi wa T 2.4, kufanya serikali, bunge na mahakama viko chini yake au? Acheni kusifia huku mkijua ni uongo, hukumu yenu ni kifo.
Kama unaona kuna shida ni wewe,sisi tunaona Magufuli is the best President ever.Infact he is our dream President.Kama wewe hupendi Magufulization it's simple,hama nchi.Magufulization is here to stay.Mbona nchi ilipokuwa inafujwa kwenye awamu ya tatu na nne hamkusema?Sasa tumepata Rais anayejali taifa lake na kufanya mambo ya msingi,mnapiga makelele,viumbe wa ajabu sana ninyi.
 
Mleta post shame on you peleka huko pumba zako acha kutuaminisha ujinga wako humu pambana tu shida zako hamna namna.
Katiba inavunjwa... Tupo kimya!

Bunge halina tena makali... Tupo kimya!

Mahakama inaingiliwa... Tupo kimya!

Viongozi wanatoa kauli zinazokinzana kwenye suala linalofanana... Tupo kimya!

Watu wanauawa... Tupo kimya!

Watu wanatekwa... Tupo kimya!

Magerezani kama sokoni... Tupo kimya!

Watumishi,wafanyabiashara, wakulima, wastaafu, wahitimu na wananchi kwa ujumla wanalia... Wapo kimya!

JE, TUTAAMKA LINI??? TUTOKE NYUMA YA keyboard! MAKELELE MITANDAONI HAYATASAIDIA!

LET'S NOW WAKE UP AND TAKE ACTION!
 
Katiba inavunjwa... Tupo kimya!

Bunge halina tena makali... Tupo kimya!

Mahakama inaingiliwa... Tupo kimya!

Viongozi wanatoa kauli zinazokinzana kwenye suala linalofanana... Tupo kimya!

Watu wanauawa... Tupo kimya!

Watu wanatekwa... Tupo kimya!

Magerezani kama sokoni... Tupo kimya!

Watumishi,wafanyabiashara, wakulima, wastaafu, wahitimu na wananchi kwa ujumla wanalia... Wapo kimya!

JE, TUTAAMKA LINI??? TUTOKE NYUMA YA keyboard! MAKELELE MITANDAONI HAYATASAIDIA!

LET'S NOW WAKE UP AND TAKE ACTION!
Kuongea kwa fake id ni rahisi,unataka watu waamke wewe upo gizani,watanzania kwa unafiki tunaongoza
 
Katiba inavunjwa... Tupo kimya!

Bunge halina tena makali... Tupo kimya!

Mahakama inaingiliwa... Tupo kimya!

Viongozi wanatoa kauli zinazokinzana kwenye suala linalofanana... Tupo kimya!

Watu wanauawa... Tupo kimya!

Watu wanatekwa... Tupo kimya!

Magerezani kama sokoni... Tupo kimya!

Watumishi,wafanyabiashara, wakulima, wastaafu, wahitimu na wananchi kwa ujumla wanalia... Wapo kimya!

JE, TUTAAMKA LINI??? TUTOKE NYUMA YA keyboard! MAKELELE MITANDAONI HAYATASAIDIA!

LET'S NOW WAKE UP AND TAKE ACTION!

Uoga ndio tatizo kwa sasa. Kama mtu ana cha kupoteza atakuwa muoga, lakini kunazalishwa kundi kubwa la wasio na cha kupoteza, hao wakifikia idadi fulani uoga utahamia kwa watawala.
 
Aisee aisee acha tu nipambane na hali yangu. Maisha ya dunia ni matamu japo yanatatiza.
 
Hii ndiyo shida ya kuzaliwa tz mawazo kama haya.


Hii ndiyo shida ya watu wenye maneno bila vitendo, Nyerere, Nkrumah, Mandela, Kenyatta Mugabe, Samora nk, wangalikuwa na maneno tu leo tungekuwa huru!!??, they said and did, people saw them and followed them in the struggles.

Huwezi kujificha chumbani huku unapiga kelele eti tufanye hiki na hiki !!🤣 , utampata mjinga.
 
Mkuu bunge ulikua unasikiliza au Maneno tu mana navyo jua bunge linaanza sa2 asubuh ww huna kazi za kufanya

Sasa mbona hata hizo teuzi live na ikulu live zinafanyika muda na siku za kazi! Kwa hiyo na hao wanaofuatilia mubashara kupitia vituo vya luninga hawana kazi za kufanya!
 
kwanini usianze wewe kuingia barabarani ukayaongea haya kwa kipaza sauti badala ya kurudia kosa lile lile la kujificha nyuma ya keyboard?
 
Penye moshi kuna moto, sasa ni dhahiri kabisa kuwa Magufuli hana mpango wa kuachia madaraka hata baada ya muda wake kuisha.

Mtu ambaye hata kipindi chake kimoja cha Urais hakijaisha tayari anatamani tena aendelee kuwa Rais huku akijiona yeye ni bora kuliko wenzake.

Kipindi kimoja tu cha Urais wake nchi ipo hoi kiuchumi huku kundi la mambumbumbu la UVCCM likishangilia Kila janga, hiyo si ajabu sana kwa sababu hata Hitler naye alikuwa na kundi la majuha lililokuwa linamshangilia.

Tunaojitambua tusikubali Magufuli aivuruge Hii nchi.

Amefanikiwa kuliweka bunge mfukoni na mahakama pia.

Hizo ni elements za udikteta, tukimwachia Magufuli afanye apendavyo hii Tanzania itakuwa Kama Burundi au Congo, ataiharibu sifa ya Tanzania kimataifa.
Amejitahidi sana kuzima nguvu za upinzani kwa uwezo wake wote.

Tusimame wote tumwambie Magufuli aheshimu katiba ya nchi
 
Hivi rais Magufuli anaipasua nchi au anainyoosha?. Hii ni kufuatia kukabidhiwa nchi aliyoikuta imepinda sana hadi kupindukia, ameikuta nchi imeoza na kunuka uvundo mzito wa rushwa na ufisadi huku ikifanywa ni shamba la bibi. Kazi ya kwanza ya Magufuli ilikuwa ni safisha safisha kwa utumbuaji majipu na kuinyoosha nchi. Hata chuma kilichopinda kikinyoonywa kinapata moto.
Acha Magufuli ainyooshe Tanzania hadi inyooke, heri dikiteta mzalendo mwenye uchungu na umasikini wa Watanzania kuliko a smiling dhaifu huku nchi ikifanywa ni shamba la bibi!.
P
 
Hivi rais Magufuli anaipasua nchi au anainyoosha kutokana kuikuta imepinda sana?. Hata chuma kilichopinda kikinyoonywa kinapata moto.
Acha Magufuli ainyooshe Tanzania hadi inyooke, heri dikiteta mzalendo mwenye uchungu na umasikini wa Watanzania kuliko a smiling dhaifu huku nchi ikifanywa ni shamba la bibi!.
P
haueleki kabisa upo kama sijui kitu gani zikiletwa habari za kuvunja sheria unajikuta unapondea.asaivi ananyoosha nchi
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom