Anayejua sehemu yoyote penye ujenzi wa barabara kwa sasa anistue. Mimi sijaona tangu awamu ya 6 iingie madarakani

Kila siku tunawaletea Takwimu humu hamuelewi,kwa taarifa yenu Samia kwenye Kila sekta unayoijua wewe si tuj anafanya bali aliongeza bajeti..

Vituo vya afya zaidi ya 200 vinajemgwa kwa mpigo Nchi nzima .

Tarura walikuwa na bajeti ya bil 200 hivi sasa iko zaidi ya bil.900 ,kwani saizi unasikia kelele nyingi kama awali?..
 
Mambo ni mengi mda ni mchache, acheni kuangalia pono angalieni TV vyote mtaviona. πŸ‘‡

Samia anaupiga mwingi Sana ila hapendi shobo.





































 
MATAGA wameomba commercial break watoe burudani kidogo kwani siku bado ni ndefu😁😁😁
Your browser is not able to display this video.
 
Huyu mama siyo mwizi shida usimamizi tu ni changamoto kwake ndiyo maana wahuni wanaokula kulingana na urefu wa kamba yao hawawezi kusema hafanyi kitu hata siku moja
Nani aliyekula unayemfahamu wewe? Pesa ya serikali hailiwi kirahisi kwa sasa pesa iko kwenye mfumo kuitoa tuu ni ishu.
 
Kuna r

kwenye kurasa za TAMISEMI kuna mengi yame fanyika. Ila watanzania ni watu wa kupinga na chuki binafsi. Mtu ana mchukia JK ukimuuliza hana sababu.
Watafute TikTok,insta ,fb na kwenye ujinga mwingine ila kwenye mambo ya msingi huwezi kuwakuta huko..

Afu watu wengi wa mjini huwa hawaoni impacts ya maendeleo kwa sababu Wana options nyingi.
 
Mbona hati chafu zipo nyingi kila ukaguzi ukifanyika
Lini ziliwahi isha hizo hati chafu? Hati chafu ni kukosa nyaraka ambatanishi ,sio lazima kwamba watu wameiba..

Afu hapa Tzn watu ni wadokozi sio wezi,wezi wako Kenya,Nigeria nk
 
Watafute TikTok,insta ,fb na kwenye ujinga mwingine ila kwenye mambo ya msingi huwezi kuwakuta huko..

Afu watu wengi wa mjini huwa hawaoni impacts ya maendeleo kwa sababu Wana options nyingi.
Natumia facebook kidogo kwakua kuna habari za haraka, ila sasa mtu ana mtukana January Makamba ukimuuliza sababu hata hajui utaskia team msoga.
Yani huko wana mtusi raisi wazi, kuna ile heshima tu ya kwamba huyu kanizidi umri nimuheshimu kule hamna
 
Nenda website ya TANROADS kuna miradi yote. By the way, miradi ya barabara sio kukurupuka.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…