Kutanguliza ushabiki mbele kwa masuala ya msingi ni kujidanganya kabisa....kesi IPO ...Jamhuri sio wajinga kihivyo Kama mnavyojidanganya...kwenye kesi za namna hii evidence moja tu...inaweza ikaamua hatima ya kesi ...sisi wengine ni wafuatiliaji wazuri wa kesi za Aina Hii zikiwemo za uhaini dhidi ya wale waliotaka kumpindua Nyerere..Hapa hamna kes
Mama akiona mavyeo ya watu wakiongea kwenye vikao vyao anajua wapo sahihi hiyo Ijumaa Kamanda Sirro ataomba udhuru maana nae ana maswali yake ya kitata akitoka hapo havui viatu mpaka jumamosi...Watamuaibisha sana na nadhani jana ameanza kupata picha ya aibu ya taifa inayokuja!!
Tanzania ina muungano wa Wakristo na waislamu kwa kiwango kikubwa labda kama hujui historia ya hizi dini zetu nikiona mpo busy na ma udini yenu najua kuna vitu mlikosa...Prof Lipumba Ni kafiri?
Pro SAFARI Ni kafiri?
Prof SHIVJI Ni kafiri?
Prof ASSAD Ni kafiri?
Prof JUMANNE MWENDA
Ni kafiri?
Suala siyo uislamu wa kingai Bali mashtaka na ushahidi utolewao ni wa kubumba.ALLAH japo Mbowe Ni kafiri ila msimamie katika haya mapito anayopita.
Upo sahihi Mkuu hawa wengine inabidi tuwaangalie tuu unaona uwezo wake ndio umefikia pale na huwezi kumbadilisha mtu mwenye chuki za kidini au ukabila ni sumu mbaya sana kwa Taifa hao...Wewe mpuuzi dini inahusikaje hapo? Acha kuingiza upumbavu wako wa kidini kwenye hoja za msingi! Tangu mwanzo watu wanalalamika ukakasi wa kesi husika sasa dini inahusika vipi? Issue ni kukosa justifiable grounds haijalishi dini gani? Kama maswali hayajibiki, hata muabudu sanamu au muabudu msalaba au muabudu Mungu angechemka. Usihusishe dini na mambo ya hovyo.
Yule hata kama kasoma hamna kitu mule...Tupe kwanza CV yako tuone kwa elimu yako, kama una uwezo wa kuichambua CV ya RPC wa Kinondoni!
KaHivi unajua sisi Makafiri tunapenda Ilmu dunia kuliko hawa wafuasi wa Mwamedi Wanaoswali na Majini misikitini?
Ashakhum si matusi sijasema wewe unaswali na majini s
Hivi unajua sisi Makafiri tunapenda Ilmu dunia kuliko hawa wafuasi wa Mwamedi Wanaoswali na Majini misikitini?
Ashakhum si matusi sijasema wewe unaswali na majini s
Tulikuwa tunamuonyesha kuwa suala si uislamu wa kingai Bali kesi ya mbowe Haina mashiko,pia kingai hayupo mahakamani kuutetea uislamu Bali anatetea kazi za mabosi wake waliomtuma.Tanzania ina muungano wa Wakristo na waislamu kwa kiwango kikubwa labda kama hujui historia ya hizi dini zetu nikiona mpo busy na ma udini yenu najua kuna vitu mlikosa...
Tanzania ina muungano wa Wakristo na waislamu kwa kiwango kikubwa labda kama hujui historia ya hizi dini zetu nikiona mpo busy na ma udini yenu najua kuna vitu mlikosa...
Jamaa anachojua ni kunyoosha "yunifomu" tu.πππππNaomba nikakojoe kwanzaπππ
View attachment 1939380
Mbogamboga mwenzako huyo π€£π€£We jamaa inamatatizo ya akili,udini tu
USSR
Nitake radhi mkuuMuonekano wake hauonyeshi hata kama kusoma na kuandika anajuaView attachment 1939177
Wenye degree wapo tele ila kupata nafasi hata za kupiga depo la nyota wamebanwa. JuziJuzi wameambiwa waanzie depo la usajent . Hebu fikiri kama sio mbinu za kuwachelewesha.Nchi nyingine vijana wanaomaliza degree na first class au 2:1 wanaombwa kujiunga katika ngazi ya uongozi wa taasisi mbali mbali. Huko hakuna mtoto wa fulani hapana, unakaribishwa kwa maongezi kutokana na ufaulu wako.
Ila urudi.ππππDuh Mheshimiwa Jaji nimebanwa na haja ndogo.
Ila urudi.ππππ
Jitahidi usiwe na mkojo mrefu kama ghorofa.ππππMtukufu Jaji itategemea kama haja ndogo itamalizika πππ
Sawa muingerezaAndika kiswahili lugha hujui, siyo hawako competence, usahihi andika hawako competent.
Sidhani,binafsi kwa muelekeo na namna ya utendaji wake huyu ni bingwa wa torture!!!Huyu anaelekea kabobea katika kutesa!Mpelelezi anateuliwa kulingana na aina na mazingira ya kesi
Kuna kundi la wapelelezi walipelekwa kusomea uchunguzi wa makosa ya ugaidi kwa ufadhili wa USA kingai yumo
Kwa hiyo hata angekua RCO Mtwara angeewa tu hilo faili
Muhimu ni kujikita kwenye utetezi sio kutafuta cv za mashahidi
Hahaha Polisi CCM kazi mnayoPolisi ajirieni watu kwa elimu na kuwapandisha vyeo kwa elimu na weledi sio Udini tu ona sasa aibu hii mtu ana mivyeo kibao hata Hati ya mashtaka hakusoma inaasema nini msisikilize wanasiasa
Ninachojua ni muislamu
Elimu sijui sababu waislamu wengi isipokuwa wachache huwa hawapendi elimu dunia ila wanataka haki Sawa kwenye ajira na vyeo ikiwemo Polisi wakati eimu hawana