Anayejua Wasifu wa Ramadhan Kingai (ACP) atusaidie

Hapa hamna kes
Kutanguliza ushabiki mbele kwa masuala ya msingi ni kujidanganya kabisa....kesi IPO ...Jamhuri sio wajinga kihivyo Kama mnavyojidanganya...kwenye kesi za namna hii evidence moja tu...inaweza ikaamua hatima ya kesi ...sisi wengine ni wafuatiliaji wazuri wa kesi za Aina Hii zikiwemo za uhaini dhidi ya wale waliotaka kumpindua Nyerere..
 
Watamuaibisha sana na nadhani jana ameanza kupata picha ya aibu ya taifa inayokuja!!
Mama akiona mavyeo ya watu wakiongea kwenye vikao vyao anajua wapo sahihi hiyo Ijumaa Kamanda Sirro ataomba udhuru maana nae ana maswali yake ya kitata akitoka hapo havui viatu mpaka jumamosi...
 
Tanzania ina muungano wa Wakristo na waislamu kwa kiwango kikubwa labda kama hujui historia ya hizi dini zetu nikiona mpo busy na ma udini yenu najua kuna vitu mlikosa...
 
Upo sahihi Mkuu hawa wengine inabidi tuwaangalie tuu unaona uwezo wake ndio umefikia pale na huwezi kumbadilisha mtu mwenye chuki za kidini au ukabila ni sumu mbaya sana kwa Taifa hao...
 
Hivi unajua sisi Makafiri tunapenda Ilmu dunia kuliko hawa wafuasi wa Mwamedi Wanaoswali na Majini misikitini?



Ashakhum si matusi sijasema wewe unaswali na majini s
Ka
Hivi unajua sisi Makafiri tunapenda Ilmu dunia kuliko hawa wafuasi wa Mwamedi Wanaoswali na Majini misikitini?



Ashakhum si matusi sijasema wewe unaswali na majini s

Tanzania ina muungano wa Wakristo na waislamu kwa kiwango kikubwa labda kama hujui historia ya hizi dini zetu nikiona mpo busy na ma udini yenu najua kuna vitu mlikosa...
Tulikuwa tunamuonyesha kuwa suala si uislamu wa kingai Bali kesi ya mbowe Haina mashiko,pia kingai hayupo mahakamani kuutetea uislamu Bali anatetea kazi za mabosi wake waliomtuma.
Tanzania ina muungano wa Wakristo na waislamu kwa kiwango kikubwa labda kama hujui historia ya hizi dini zetu nikiona mpo busy na ma udini yenu najua kuna vitu mlikosa...
 
Nchi nyingine vijana wanaomaliza degree na first class au 2:1 wanaombwa kujiunga katika ngazi ya uongozi wa taasisi mbali mbali. Huko hakuna mtoto wa fulani hapana, unakaribishwa kwa maongezi kutokana na ufaulu wako.
Wenye degree wapo tele ila kupata nafasi hata za kupiga depo la nyota wamebanwa. JuziJuzi wameambiwa waanzie depo la usajent . Hebu fikiri kama sio mbinu za kuwachelewesha.


Sent from my SM-N986B using JamiiForums mobile app
 
Sidhani,binafsi kwa muelekeo na namna ya utendaji wake huyu ni bingwa wa torture!!!Huyu anaelekea kabobea katika kutesa!
 
Polisi ajirieni watu kwa elimu na kuwapandisha vyeo kwa elimu na weledi sio Udini tu ona sasa aibu hii mtu ana mivyeo kibao hata Hati ya mashtaka hakusoma inaasema nini msisikilize wanasiasa
Hahaha Polisi CCM kazi mnayo
 
Yehodaya hulka yako ya Chuki dhidi ya waislam hawauondoi uraia wao wa nchi hii.....

Unajifanya CCM kumbe mbaguzi tu....

Chama chetu hakina "upumbavu" ulionao.....

Ndio maana tunafundishana madarasa ya ITIKADI kuwafungua vichwa vyenu vilivyojaa ujinga wa DINI zenu za KIMAPOKEO hizo.....

#SiempreJMT
Ninachojua ni muislamu

Elimu sijui sababu waislamu wengi isipokuwa wachache huwa hawapendi elimu dunia ila wanataka haki Sawa kwenye ajira na vyeo ikiwemo Polisi wakati eimu hawana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…