Inside10
JF-Expert Member
- May 20, 2011
- 29,909
- 32,414
Cc RitzNaona usingizi umekutoka maana sio Kwa kutetea uozo wa shishiemu wenzako kabla ya Leo! Mtaamka wote wafia shishiemu na hakutakiwa na hata mmoja wenu atakayekaa upande ule mlikokuwa!
By the way, Lumumba fc wanakusoma au wanakuchungulia na kusepa?
@ USSR, jingalao, idegenda, et Al mnaitwa hapa kwani mwenzenu anavunja mwiko wenu!