Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wanawekwa hao kwa misingi ya unazi /ukada wa CCM.Mimi muwazi Polisi na najeshi wazingatie elimu na weledi tukiangalia Udini tu itakuuwa shida huyo alifikaje kuwa na cheo kikubwa hivyo wakati kichwani mweupe?
Wote walishafariki.Nilikuwa Na kukumbusha kuacha Roho mbaya Kama ilivyokuwa Kwa boss wako.Uache uwakala wa shetani siku ukifa utaenda wewe na ROHO YAKO,Hawa unaowatumikia Kwa kutenda maovu ili uweze Kula hawatakuwepoKwani mama yako na baba yako hawajafa? Ardhini wote tunaenda huko. Acha kufikiri kinyumbu wewe mbw!
Kumbe na wewe kichwani umepungukiwa kiasi hiki?Kwani CV ya Mbowe yenyewe ikoje ?Subirini dawa iwaingie. Mtu anakwenda jela maisha.
acha kusapoti upumbavu..hata hao wakristo sio wote wanaelimu..swala la elimu ni mt mwenyewe co dini yake..Bora umeamua kuwa mkweli
Wakili Msomi
Haa Hapo Jobo Kanuna Tayari
Gemu Atanuna LeoYule ni afisa wanyamapori kwa taaluma au jina lingine mtaani wanaitwa magemu,
Mccm mwenzio huyo, uwezo wake wa kufikiri ndio umeishia hapo.We jamaa inamatatizo ya akili,udini tu
USSR
Hiyo siyo akili !Ni dalili ya mwanamke asiyefikishwa kileleni huwa ana stress.Wewe ni mgonjwa tafuta tibaMimi sifuati mkumbo. Natumia akili zangu.
Victoria unaongea kishabiki?Kwani CV ya Mbowe yenyewe ikoje ?Subirini dawa iwaingie. Mtu anakwenda jela maisha.
Mimba ninayo tayari. Mwakani wakili msomi anazaliwa.Victoria unaongea kishabiki?
Nakushauri ukiwa kwenye kwichikichi Leo usiku ubebe mimba utuzalie wakili msomi
Dada nawe muombe mumeo ukajisaidie haja kubwaUmesikia alichongea mahakamani senior officer kama yeye?
Hakupitia hati ya mashtaka kabla kuongea kujua kilichomo ajue aongeaje3kaiweka serikali ya Mama Samia pabaya unnecessarily loo
Hivi mama Samia kamkosea nini au yeye mjahidina asiyependa wanawake kuwa maraisi wakae ndani tu?
I hate him to the maximum senior officer wa police kama yeye hakutakiwa kutoa Ushahidi hovyo kama ule.
Atakuwa kalogwa huyo.RPC Kinondoni leo ni shahidi aliyesimama Mahakamani kutoa ushahidi kwenye kesi ya Mbowe na wenzake ya Ugaidi.
Katika kufuatilia cross examination kiongozi huyu wa Jeshi la Polisi amejichanganya sana na hivyo kushindwa kusimama kwa nafasi ya afisa mkubwa kwenye Jeshi na mchunguzi.
Yawezekana tatizo ni elimu au tatizo ni aina ya kesi ndiyo sababu ya yeye kubanwa mahakamani hadi wakati mwingine kupata gaidance ya Mahakama.
Ili tumfahamu vizuri kama ambavyo nchi nyingine ufanya, tunaomba tupate CV yake kuona kama kwenye criminal investigation huyu anaelewa au Basi kawekwa tu.
Lakini pia kesi hii ameanza kuichubguza akiwa Arusha wakati mazingira ya kesi yapo Kilimanjaro na Dar es Salaam, je huyu ndiye alionekana nafuu Kati ya ma RCO nchi nzima au kwanini yeye na si RCO Kilimanjaro Wala Dar?
Waislamu waanzilishi dunia nzima,wa elimu,kuanzia Maandishi,namba,kuhesabu,kusoma,na elimu kadhaa.Hata neno ALFABETI,neno la kiislamu,Kwa maana ya ALFI,BE,TE.Na namba 0 1 2 3 4 5 6 7 8.Ukija kwenya ALJEBRA,ni huko huko kwa waislamu.Ukija kwenye KEMIA,ni huko huko kwenye uslamu.Hata kwenye elimu ya anga,ni wao pia.Katika vyuo vikuu ,chuo kikuu cha zamani sana,ni chuo kikuu kilichoanzishwa na Mwanamke wa kiislamu,University of Al Qarawinyyin,kilianzishwa 1611,kiko Afrika,Morocco,na mpaka leo kiko,kinaendelea.Ukija chuo kikuu Cha misri cha Al zhar 970 AD.Chuo kikuu cha Salamanca,kiko spain,1134,wakati spain iko mikononi mwa waislamu.Ninachojua ni muislamu
Elimu sijui sababu waislamu wengi isipokuwa wachache huwa hawapendi elimu dunia ila wanataka haki Sawa kwenye ajira na vyeo ikiwemo Polisi wakati eimu hawana
Igp ni shahidi wa upande wa utetezi, ameitwa na KibatalaIGP lazima wamuondoe....
Maana huyo ndio kabeba Image nzima ya Polisi....
Kingai kama Hangaya, pumbavu zake yan[emoji3]
Waislamu waanzilishi dunia nzima,wa elimu,kuanzia Maandishi,namba,kuhesabu,kusoma,na elimu kadhaa.Hata neno ALFABETI,neno la kiislamu,Kwa maana ya ALFI,BE,TE.Na namba 0 1 2 3 4 5 6 7 8.Ukija kwenya ALJEBRA,ni huko huko kwa waislamu.Ukija kwenye KEMIA,ni huko huko kwenye uslamu.Hata kwenye elimu ya anga,ni wao pia.Katika vyuo vikuu ,chuo kikuu cha zamani sana,ni chuo kikuu kilichoanzishwa na Mwanamke wa kiislamu,University of Al Qarawinyyin,kilianzishwa 1611,kiko Afrika,Morocco,na mpaka leo kiko,kinaendelea.Ukija chuo kikuu Cha misri cha Al zhar 970 AD.Chuo kikuu cha Salamanca,kiko spain,1134,wakati spain iko mikononi mwa waislamu.Ninachojua ni muislamu
Elimu sijui sababu waislamu wengi isipokuwa wachache huwa hawapendi elimu dunia ila wanataka haki Sawa kwenye ajira na vyeo ikiwemo Polisi wakati eimu hawana