Anayejua Wasifu wa Ramadhan Kingai (ACP) atusaidie

Anayejua Wasifu wa Ramadhan Kingai (ACP) atusaidie

Umesikia alichongea mahakamani senior officer kama yeye?


Hakupitia hati ya mashtaka kabla kuongea kujua kilichomo ajue aongeaje3kaiweka serikali ya Mama Samia pabaya unnecessarily loo

Hivi mama Samia kamkosea nini au yeye mjahidina asiyependa wanawake kuwa maraisi wakae ndani tu?


I hate him to the maximum senior officer wa police kama yeye hakutakiwa kutoa Ushahidi hovyo kama ule.
inabidi useme kwa dalili hizo mbowe ana uhakika upi wa kushinda kesi.

vinginevyo bado sioni faida ya nyumbu kushangilia.
 
Lakini pia maswali ya mawakili yana mitego sana,anakuuliza vitu we unaona maswali marahisi kumbe unaenda kujifunga huko mbele
leo ndio mara ya kwanza kusikiliza kesi mkuu!!!

hii huwa ni kawaida mahakamani,na mwisho watu huwa wanahukumiwa.
 
Polisi ajirieni watu kwa elimu na kuwapandisha vyeo kwa elimu na weledi sio Udini tu ona sasa aibu hii mtu ana mivyeo kibao hata Hati ya mashtaka hakusoma inaasema nini msisikilize wanasiasa
Nchi nyingine vijana wanaomaliza degree na first class au 2:1 wanaombwa kujiunga katika ngazi ya uongozi wa taasisi mbali mbali. Huko hakuna mtoto wa fulani hapana, unakaribishwa kwa maongezi kutokana na ufaulu wako.
 
We jamaa inamatatizo ya akili,udini tu

USSR
Lumumba mbona mnaparuana..
Umesikia alichongea mahakamani senior officer kama yeye?


Hakupitia hati ya mashtaka kabla kuongea kujua kilichomo ajue aongeaje3kaiweka serikali ya Mama Samia pabaya unnecessarily loo

Hivi mama Samia kamkosea nini au yeye mjahidina asiyependa wanawake kuwa maraisi wakae ndani tu?


I hate him to the maximum senior officer wa police kama yeye hakutakiwa kutoa Ushahidi hovyo kama ule.
Mlionywa mapema.....
 
RPC Kinondoni leo ni shahidi aliyesimama Mahakamani kutoa ushahidi kwenye kesi ya Mbowe na wenzake ya Ugaidi.

Katika kufuatilia cross examination kiongozi huyu wa Jeshi la Polisi amejichanganya sana na hivyo kushindwa kusimama kwa nafasi ya afisa mkubwa kwenye Jeshi na mchunguzi.

Yawezekana tatizo ni elimu au tatizo ni aina ya kesi ndiyo sababu ya yeye kubanwa mahakamani hadi wakati mwingine kupata gaidance ya Mahakama.

Ili tumfahamu vizuri kama ambavyo nchi nyingine ufanya, tunaomba tupate CV yake kuona kama kwenye criminal investigation huyu anaelewa au Basi kawekwa tu.

Lakini pia kesi hii ameanza kuichubguza akiwa Arusha wakati mazingira ya kesi yapo Kilimanjaro na Dar es Salaam, je huyu ndiye alionekana nafuu Kati ya ma RCO nchi nzima au kwanini yeye na si RCO Kilimanjaro Wala Dar?
Kwani kesi imeshaanza kusikilizwa? Gaidi Mbowe ameshazikubali charges alizokuwa anazikataa?
 
Kwani kesi imeshaanza kusikilizwa? Gaidi Mbowe ameshazikubali charges alizokuwa anazikataa?
Karibu mkuu!Magufuli alifariki 17.03.2021.Alikuwa zaidi yako Kwa Roho.Lakini sasa hivi ardhi ya chato.Karibu sana
 
Ninachojua ni muislamu

Elimu sijui sababu waislamu wengi isipokuwa wachache huwa hawapendi elimu dunia ila wanataka haki Sawa kwenye ajira na vyeo ikiwemo Polisi wakati eimu hawana
Achana na propaganda mulizo pandikizwa utotoni au makonda muislamu yule
 
Tulia unisome vizuri mlokole usikurupuke. Rudia kusoma nilichoandika.
Mwinyi alipishika uraisi alitaka alindwe na waislamu akapewa waislamu kilichomkuta diamond Jubilee alipigwa makofi na kiijana mdogo mjahidina. Muislamu sababu alipewa miislamu swala tano iliyopanda vyeo kwa kelele za kidini tu ohh tunabaguliwa kumbe elimu na competence zero akaishia kuwa Raisi wa kwanza kulambwa vibao hadharani tena na kijana mdogo muislamu kwenye hafla ya kiislamu
 
Shikamooo Lissu!!! Majuzi hapa kwenye Maria Space alimuelezea huyu afande kwamba aliwahi kukutana naye mahakamani na kumtoa jasho vibaya mno, na Lissu akasema tutashangaa atakapopanda kizimbani, kitu ambacho kimetokea [emoji12][emoji12]
 
Lakini pia maswali ya mawakili yana mitego sana,anakuuliza vitu we unaona maswali marahisi kumbe unaenda kujifunga huko mbele

Kama mchezo wa draft, kete zinasogezwa unakula kumbe unatengenezwa uingie 18, mbele unakosa pa kusogeza kete.
 
Back
Top Bottom