Anayejua Wasifu wa Ramadhan Kingai (ACP) atusaidie

Anayejua Wasifu wa Ramadhan Kingai (ACP) atusaidie

Pale unapo politicise professional agency kama hii haya hutokea

Unapo politicise professionals kama hawa hua akili zinapotea wanakua mataahira,na hili limejidhibitisha

Hawa polisi wamechoka kutumiwa na serikali,waangalie tu walinyong'onyea

SIo kwamba wanafurahi wanapofanya huu upumbavu kwa niaba ya maCCM,wamechoka na itafika kipindi watawaambia maCCM,fanyeni wenyewe!
I wish kwenye hilo jopo la akina Kibatala na Lissu angekuwepo aisee.
 
RPC Kinondoni leo ni shahidi aliyesimama Mahakamani kutoa ushahidi kwenye kesi ya Mbowe na wenzake ya Ugaidi.

Katika kufuatilia cross examination kiongozi huyu wa Jeshi la Polisi amejichanganya sana na hivyo kushindwa kusimama kwa nafasi ya afisa mkubwa kwenye Jeshi na mchunguzi.

Yawezekana tatizo ni elimu au tatizo ni aina ya kesi ndiyo sababu ya yeye kubanwa mahakamani hadi wakati mwingine kupata gaidance ya Mahakama.

Ili tumfahamu vizuri kama ambavyo nchi nyingine ufanya, tunaomba tupate CV yake kuona kama kwenye criminal investigation huyu anaelewa au Basi kawekwa tu.

Lakini pia kesi hii ameanza kuichubguza akiwa Arusha wakati mazingira ya kesi yapo Kilimanjaro na Dar es Salaam, je huyu ndiye alionekana nafuu Kati ya ma RCO nchi nzima au kwanini yeye na si RCO Kilimanjaro Wala Dar?
We uko kama mzee Mpili au Haji Manara
 
Kibatala kampiga maswali jamaa alipata presha mpaka akasema anahisi haja ndogo apewe break
Kibatala: Shahidi nitakosea nikikuita kaka yangu? Shahidi : Hapana kwa sababu nimekuzidi umri, Kibatala : shahidi utakasirika ninapokuwa namtetea Mteja wangu? [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] Daaah wee Kibatala wewe....
 
Mkumbuke kati ya mashahidi wetu, tulimtaja Lengai Ole Sabaya na IGP Simon Nyakoro Sirro na watapaswa kufika mahakamani.

Wakigoma tutaomba kibali cha mahakama, waamrishwe kufika mahakamani.

Mwenzao leo kaomba brekii, aende haja ndogo kwanza.... Hivyo, wajiandae. Hatutanii..
 
Hanna haja ya sivii wengi wahawa ni "fomu foo feliazi" wakaanza ungaunga shule zakutafuta vyeti sio kuelimika!!
Pia kazizingine ukikilikili unapanda vyeo sio akili...ukatili!! Unamkumbuka ma ii taa nzee wa mahechijii
 
Karibu mkuu!Magufuli alifariki 17.03.2021.Alikuwa zaidi yako Kwa Roho.Lakini sasa hivi ardhi ya chato.Karibu sana
Kwani mama yako na baba yako hawajafa? Ardhini wote tunaenda huko. Acha kufikiri kinyumbu wewe mbw!
 
Ninachojua ni muislamu

Elimu sijui sababu waislamu wengi isipokuwa wachache huwa hawapendi elimu dunia ila wanataka haki Sawa kwenye ajira na vyeo ikiwemo Polisi wakati eimu hawana
Ujinga huu kwhy siro na mabeyo wanna PhD Rudi shule dogo usitukane imani za watu
 
RPC Kinondoni leo ni shahidi aliyesimama Mahakamani kutoa ushahidi kwenye kesi ya Mbowe na wenzake ya Ugaidi.

Katika kufuatilia cross examination kiongozi huyu wa Jeshi la Polisi amejichanganya sana na hivyo kushindwa kusimama kwa nafasi ya afisa mkubwa kwenye Jeshi na mchunguzi.

Yawezekana tatizo ni elimu au tatizo ni aina ya kesi ndiyo sababu ya yeye kubanwa mahakamani hadi wakati mwingine kupata gaidance ya Mahakama.

Ili tumfahamu vizuri kama ambavyo nchi nyingine ufanya, tunaomba tupate CV yake kuona kama kwenye criminal investigation huyu anaelewa au Basi kawekwa tu.

Lakini pia kesi hii ameanza kuichubguza akiwa Arusha wakati mazingira ya kesi yapo Kilimanjaro na Dar es Salaam, je huyu ndiye alionekana nafuu Kati ya ma RCO nchi nzima au kwanini yeye na si RCO Kilimanjaro Wala Dar?
Huyi bwana, kwa namna tu alivyokuwa akijibu maswali, inaonekana uwezo wa akili yake (IQ), kama ilivyo kwa polisi wengi, ni mdogo sana. Amekaririshwa kwa karibu mwaka mzima lakini bado haikusaidia kitu.

Mara nyingi, watu wenye akili ndogo ndio huwa tayari kutumika kwa sababu uwezo wao wa kuona mambo huishia mita 2.
 
TUME IUNDWE NA MAMA..../

TUME IUNDWE HARAKA NA IENDE KUMCHUNGUZA VZR HUYU KURUTI....
 
Back
Top Bottom