nyboma
JF-Expert Member
- Aug 29, 2021
- 2,308
- 7,366
Single mama aliyeachika huyo asikupe stress kabisa huyo,Hua una element zote za ukichaa.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Single mama aliyeachika huyo asikupe stress kabisa huyo,Hua una element zote za ukichaa.
Hilo halipingikiNinachojua ni lazma alifeli form four
Nawewe utaishi maisha.Kwani CV ya Mbowe yenyewe ikoje ?Subirini dawa iwaingie. Mtu anakwenda jela maisha.
Sio check on mkuu.Anaonekana kama Checkbob hivi...yani ule muonekana wa kiongozi hana
Alienda kuharisha unaambiwaNasikia bwana kinga hadi mavi yakambana ikabidi aende kwanza kushusha mzigo ili arudi kuhojiwa vizuri
Single maza huyo hana akili, achana naeHiyo siyo akili !Ni dalili ya mwanamke asiyefikishwa kileleni huwa ana stress.Wewe ni mgonjwa tafuta tiba
He looks like a certified idiotHiyo sura kwa sisi tuliopitia psychology anaonekana kabisa na mental case… he looks like mongolian idiot!!
Una elimu gani mbona umeandika vibaya hivo ,unawasema wengine we mwenyewe kuandika hujuiHanna haja ya sivii wengi wahawa ni "fomu foo feliazi" wakaanza ungaunga shule zakutafuta vyeti sio kuelimika!!
Pia kazizingine ukikilikili unapanda vyeo sio akili...ukatili!! Unamkumbuka ma ii taa nzee wa mahechijii
Mkuu umesahau kama huyu n CCM mwenzako au sababu anasimamia ukweli tambua hili hata CCM wapo watu wanaojitambua piaKama mwenyekiti wako mbowe alipiga zero na huchoki kumtetea humu we ni kilaza mkubwa
USSR
Acha ujinga wa kupotoshaaa. Muhammad kazaliwa mwaka 570 Baada ya Kristo, na uislam umesimikwa mwaka 610 Baada ya Krsto. Ikiwa Muhammad hakusoma na yeye ndiyo msimikaji wa hiyo dini, Hao wangeanzishaje elimu ambayo tayari ilishakuwepo?Waislamu waanzilishi dunia nzima,wa elimu,kuanzia Maandishi,namba,kuhesabu,kusoma,na elimu kadhaa.Hata neno ALFABETI,neno la kiislamu,Kwa maana ya ALFI,BE,TE.Na namba 0 1 2 3 4 5 6 7 8.Ukija kwenya ALJEBRA,ni huko huko kwa waislamu.Ukija kwenye KEMIA,ni huko huko kwenye uslamu.Hata kwenye elimu ya anga,ni wao pia.Katika vyuo vikuu ,chuo kikuu cha zamani sana,ni chuo kikuu kilichoanzishwa na Mwanamke wa kiislamu,University of Al Qarawinyyin,kilianzishwa 1611,kiko Afrika,Morocco,na mpaka leo kiko,kinaendelea.Ukija chuo kikuu Cha misri cha Al zhar 970 AD.Chuo kikuu cha Salamanca,kiko spain,1134,wakati spain iko mikononi mwa waislamu.
Aibu Kwa nani? Kama unamaanisha, aibu hii iwafikie PT na shishiemu utakuwa umejitendea haki! Na hili liwe fundisho la kuwapa walozi vyeo huko serikalini!Aibu loo
Utakufa kwa CHUKI zako dhidi ya UISLAMU, achana na UDINI fanya mambo yako boss.Mwinyi alipishika uraisi alitaka alindwe na waislamu akapewa waislamu kilichomkuta diamond Jubilee alipigwa makofi na kiijana mdogo mjahidina. Muislamu sababu alipewa miislamu swala tano iliyopanda vyeo kwa kelele za kidini tu ohh tunabaguliwa kumbe elimu na competence zero akaishia kuwa Raisi wa kwanza kulambwa vibao hadharani tena na kijana mdogo muislamu kwenye hafla ya kiislamu
Mpelelez mkuu wa kesi kajiharishia mahakaman mkuu tuliokuwa karibu tmeteseka Sana kwa harufu dahKwani CV ya Mbowe yenyewe ikoje ?Subirini dawa iwaingie. Mtu anakwenda jela maisha.
Naona usingizi umekutoka maana sio Kwa kutetea uozo wa shishiemu wenzako kabla ya Leo! Mtaamka wote wafia shishiemu na hakutakiwa na hata mmoja wenu atakayekaa upande ule mlikokuwa!Mimi muwazi Polisi na najeshi wazingatie elimu na weledi tukiangalia Udini tu itakuuwa shida huyo alifikaje kuwa na cheo kikubwa hivyo wakati kichwani mweupe?
Saa ngapi mkuu niweke alarm kabisa na mic niombe?Kesho Space ya Maria Sarungi si ya kukosa kabisa