Anayejua Wasifu wa Ramadhan Kingai (ACP) atusaidie

Anayejua Wasifu wa Ramadhan Kingai (ACP) atusaidie

Hanna haja ya sivii wengi wahawa ni "fomu foo feliazi" wakaanza ungaunga shule zakutafuta vyeti sio kuelimika!!
Pia kazizingine ukikilikili unapanda vyeo sio akili...ukatili!! Unamkumbuka ma ii taa nzee wa mahechijii
Una elimu gani mbona umeandika vibaya hivo ,unawasema wengine we mwenyewe kuandika hujui
 
Leo mapolisi wa Kinondoni Wameona kwamba dogo anayewadindishia si chochote si lolote. Ni boya tu.
Hata mchepuko wake umeona baby wake alivyoshika na mkojo ZLIVE
 
Waislamu waanzilishi dunia nzima,wa elimu,kuanzia Maandishi,namba,kuhesabu,kusoma,na elimu kadhaa.Hata neno ALFABETI,neno la kiislamu,Kwa maana ya ALFI,BE,TE.Na namba 0 1 2 3 4 5 6 7 8.Ukija kwenya ALJEBRA,ni huko huko kwa waislamu.Ukija kwenye KEMIA,ni huko huko kwenye uslamu.Hata kwenye elimu ya anga,ni wao pia.Katika vyuo vikuu ,chuo kikuu cha zamani sana,ni chuo kikuu kilichoanzishwa na Mwanamke wa kiislamu,University of Al Qarawinyyin,kilianzishwa 1611,kiko Afrika,Morocco,na mpaka leo kiko,kinaendelea.Ukija chuo kikuu Cha misri cha Al zhar 970 AD.Chuo kikuu cha Salamanca,kiko spain,1134,wakati spain iko mikononi mwa waislamu.
Acha ujinga wa kupotoshaaa. Muhammad kazaliwa mwaka 570 Baada ya Kristo, na uislam umesimikwa mwaka 610 Baada ya Krsto. Ikiwa Muhammad hakusoma na yeye ndiyo msimikaji wa hiyo dini, Hao wangeanzishaje elimu ambayo tayari ilishakuwepo?
 
Mwinyi alipishika uraisi alitaka alindwe na waislamu akapewa waislamu kilichomkuta diamond Jubilee alipigwa makofi na kiijana mdogo mjahidina. Muislamu sababu alipewa miislamu swala tano iliyopanda vyeo kwa kelele za kidini tu ohh tunabaguliwa kumbe elimu na competence zero akaishia kuwa Raisi wa kwanza kulambwa vibao hadharani tena na kijana mdogo muislamu kwenye hafla ya kiislamu
Utakufa kwa CHUKI zako dhidi ya UISLAMU, achana na UDINI fanya mambo yako boss.
 
Mimi muwazi Polisi na najeshi wazingatie elimu na weledi tukiangalia Udini tu itakuuwa shida huyo alifikaje kuwa na cheo kikubwa hivyo wakati kichwani mweupe?
Naona usingizi umekutoka maana sio Kwa kutetea uozo wa shishiemu wenzako kabla ya Leo! Mtaamka wote wafia shishiemu na hakutakiwa na hata mmoja wenu atakayekaa upande ule mlikokuwa!
By the way, Lumumba fc wanakusoma au wanakuchungulia na kusepa?
@ USSR, jingalao, idegenda, et Al mnaitwa hapa kwani mwenzenu anavunja mwiko wenu!
 
Back
Top Bottom