Anayejua Wasifu wa Ramadhan Kingai (ACP) atusaidie

Anayejua Wasifu wa Ramadhan Kingai (ACP) atusaidie

Polisi ajirieni watu kwa elimu na kuwapandisha vyeo kwa elimu na weledi sio Udini tu ona sasa aibu hii mtu ana mivyeo kibao hata Hati ya mashtaka hakusoma inaasema nini msisikilize wanasiasa
Nimefurahi Sana mara baada ya kuona Leo umeweka propaganda za uchama pembeni na kusimamia ukweli Kwa kile unachokiamini.

Sijui Sirro ataficha wapi uso wake??
 
We jamaa inamatatizo ya akili,udini tu

USSR
Umesikia alichongea mahakamani senior officer kama yeye?


Hakupitia hati ya mashtaka kabla kuongea kujua kilichomo ajue aongeaje3kaiweka serikali ya Mama Samia pabaya unnecessarily loo

Hivi mama Samia kamkosea nini au yeye mjahidina asiyependa wanawake kuwa maraisi wakae ndani tu?


I hate him to the maximum senior officer wa police kama yeye hakutakiwa kutoa Ushahidi hovyo kama ule.
 
RPC Kinondoni leo ni shahidi aliyesimama mahakamani kutoa ushahidi kwenye kesi ya Mbowe na wenzake ya Ugaidi.

Katika kufuatilia cross examination kiongozi huyu wa jeshi la Polisi amejichanganya sana na hivyo kushindwa kusimama kwa nafasi ya afisa mkubwa kwenye Jeshi na mchunguzi.

Yawezekana tatizo ni elimu au tatizo ni aina ya kesi ndiyo sababu ya yeye kubanwa mahakamani hadi wakati mwingine kupata gaidance ya Mahakama.

Ili tumfahamu vizuri kama ambavyo nchi nyingine ufanya, tunaomba tupate CV yake kuona kama kwenye criminal investigation huyu anaelewa au Basi kawekwa tu.

Lakini pia kesi hii ameanza kuichubguza akiwa Arusha wakati mazingira ya kesi yapo Kilimanjaro na Dar es Salaam, je huyu ndiye alionekana nafuu Kati ya ma RCO nchi nzima au kwanini yeye na si RCO Kilimanjaro Wala Dar?
Ni mwanachama wa CCM, zaidi ya hapo hakuna.
 
Nimefurahi Sana mara baada ya kuona Leo umeweka propaganda za uchama pembeni na kusimamia ukweli Kwa kile unachokiamini.

Sijui Sirro ataficha wapi uso wake??
Siyo Sirro ni wote wanaokomaa kusikiliza kuwa ohh waislamu hawapewi vyeo majeshini vikubwa haya matokeo hayo sasa mtu anapewa mivyeo mikubwa elimu na weledi zero ale tu mishahara na miposho ya jeshi
 
Umesikia alichongea mahakamani senior officer kama yeye?


Hakupitia hati ya mashtaka kabla kuongea kujua kilichomo ajue aongeaje3kaiweka serikali ya Mama Samia pabaya unnecessarily loo

Hivi mama Samia kamkosea nini au yeye mjahidina asiyependa wanawake kuwa maraisi wakae ndani tu?


I hate him to the maximum senior officer wa police kama yeye hakutakiwa kutoa Ushahidi hovyo kama ule.
Ha ha ha! Na huyo ndiye mpelelezi Mkuu wa hii case; what a joke! Yaani ushahidi wake ndio unategemewa kwa asilimia kubwa kumtia Mbowe hatiani! Ha ha ha! Kama mazuri vile!
 
Siyo Sirro ni wote wanaokomaa kusikiliza kuwa ohh waislamu hawapewi vyeo majeshini vikubwa haya matokeo hayo sana mtu anapewa mivyeo mikubwa elimu na weledi zero ale tu mishahara na miposho ya jeshi
... ni nani angepewa KAZI ya ku-engineer hii case asichemke? Hata Sirro, mseminari angechemka vibaya sana. Tatizo ni case za kutunga kuifurahisha CCM.
 
Polisi ajirieni watu kwa elimu na kuwapandisha vyeo kwa elimu na weledi sio Udini tu ona sasa aibu hii mtu ana mivyeo kibao hata Hati ya mashtaka hakusoma inaasema nini msisikilize wanasiasa
Lakini pia maswali ya mawakili yana mitego sana, anakuuliza vitu we unaona maswali marahisi kumbe unaenda kujifunga huko mbele
 
Back
Top Bottom