Ndiho
JF-Expert Member
- Feb 23, 2013
- 2,306
- 1,532
Kambi imeingia doa. Vumilianeni. Mungu ndiyo Mkuu. Kila mtu na abebe msalaba wakeWe jamaa inamatatizo ya akili,udini tu
USSR
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kambi imeingia doa. Vumilianeni. Mungu ndiyo Mkuu. Kila mtu na abebe msalaba wakeWe jamaa inamatatizo ya akili,udini tu
USSR
Hivi mkuu ni kipengele gani kimechekesha zaidi alipokuwa anapigwa maswali pale mahakamani?😉😉😉Usicheke sana Mkuu.Ana family ujue?😝😝😝😝
@FaizaFoxy na Jumbe Brown hawatakubali kabisa haya maneno ya shombo kutoka kwa kada mwenzao.Ninachojua ni muislamu
Elimu sijui sababu waislamu wengi isipokuwa wachache huwa hawapendi elimu dunia ila wanataka haki Sawa kwenye ajira na vyeo ikiwemo Polisi wakati eimu hawana
Usisahau... baada ya ile kesi ya uhaini 1983 this is another landmark case in Tanzania's history. Bonge la rejea kwa vizazi vijavyo namna gani serikali inaweza kuzushia raia wake kesi hatari kama hizi! Kwa wale ambao hawaamini serikali inaweza kubambika raia wake kwa sababu mbalimbali this is a vivid example.
... Ok. Ila Zanzibar sio nchi na hivyo baadhi ya makosa hayawezi kutendeka Zanzibar like uhaini. Wala sina hakika kama nchi wanachama wa Commonwealth wanaweza kurejea maamuzi ya mahakama ya Zanzibar.Usisahau
SMZ vs hamisi machano & others
Shetani hajawahi kumshinda MunguKwani CV ya Mbowe yenyewe ikoje ?Subirini dawa iwaingie. Mtu anakwenda jela maisha.
Haya ulipaswa uwaeleze wakristo wenzako wanaowateua watu ambao hawako competencePolisi ajirieni watu kwa elimu na kuwapandisha vyeo kwa elimu na weledi sio Udini tu ona sasa aibu hii mtu ana mivyeo kibao hata Hati ya mashtaka hakusoma inaasema nini msisikilize wanasiasa
😁😁😁Ninachojua ni muislamu
Elimu sijui sababu waislamu wengi isipokuwa wachache huwa hawapendi elimu dunia ila wanataka haki Sawa kwenye ajira na vyeo ikiwemo Polisi wakati eimu hawana
... au Kamuhanda RPC wa Iringa enzi zile aliyewazushia Chadema kumuua Mwangosi! Isingekuwa video, dah Chadema wangepotezwa vibaya sana. Hichi chama kimevuka vigingi vingi mno; Mungu aendelee kukipigania!Kwa Hali aliyokutana mayo leo Kingai huenda atalala anaweweseka. Lakini ndo polisi wetu hao kumbuka yule wa Iringa aliyemshtaki Abdul Nondo kuwa kajiteka. Ni watu ambao wamejishusha kwa kiwango cha kutosha.
Jambo kama la kweli MTU anaflow bila hata kituo .Huyu lazima ajichanganye maana anaungaunga story.Jamaa kajichanganya sanaa,hadi inatafakarisha na kujiuliza what is the meaning of that?
Au ndo vitu vya kubumba huwa vile?
Hua una element zote za ukichaa.Kwani CV ya Mbowe yenyewe ikoje ?Subirini dawa iwaingie. Mtu anakwenda jela maisha.
Naona huyo atakuwa wale wapiga majungu ofisini ooh hatupandi vyeo kwa kuwa sisi waislamu tunaonewa na mfumo Kristo wakaamua Polisi wampe mivyeo lukuki sasa ona ujinga aliofanya cheo hakilingani na uwezo wake aibu !Hiyo sura kwa sisi tuliopitia psychology anaonekana kabisa na mental case… he looks like mongolian idiot!!
Ukweli ni kwamba kesi ni ya kubambikia kama kawaida yenu ccm Mungu amewaumbua.Naona huyo atakuwa wale wapiga majungu ofisini ooh hatupandi vyeo kwa kuwa sisi waislamu tunaonewa na mfumo Kristo wakaamua Polisi wampe mivyeo lukuki sasa ona ujinga aliofanya cheo hakilingani na uwezo wake aibu !
Anaonekana kama Checkbob hivi...yani ule muonekana wa kiongozi hanaMuonekano wake hauonyeshi hata kama kusoma na kuandika anajuaView attachment 1939177
Ni Kama vile watu wamechoka kuangalia Isidingo na serikali imeamua kutuleta tamthilia yake na Maafande chenga chenga... sasa subirini siku Kamanda Siro akiwekwa mtu kati uone atavyogombaniwa kama mpira wa kona... siku hiyo bundle zitawaishiwa watu kwa kuangalia tu online live huko mahakamani toka Jamuhuri ya twitter.RPC Kinondoni leo ni shahidi aliyesimama Mahakamani kutoa ushahidi kwenye kesi ya Mbowe na wenzake ya Ugaidi.
Katika kufuatilia cross examination kiongozi huyu wa Jeshi la Polisi amejichanganya sana na hivyo kushindwa kusimama kwa nafasi ya afisa mkubwa kwenye Jeshi na mchunguzi.
Yawezekana tatizo ni elimu au tatizo ni aina ya kesi ndiyo sababu ya yeye kubanwa mahakamani hadi wakati mwingine kupata gaidance ya Mahakama.
Ili tumfahamu vizuri kama ambavyo nchi nyingine ufanya, tunaomba tupate CV yake kuona kama kwenye criminal investigation huyu anaelewa au Basi kawekwa tu.
Lakini pia kesi hii ameanza kuichubguza akiwa Arusha wakati mazingira ya kesi yapo Kilimanjaro na Dar es Salaam, je huyu ndiye alionekana nafuu Kati ya ma RCO nchi nzima au kwanini yeye na si RCO Kilimanjaro Wala Dar?