Anayejua Wasifu wa Ramadhan Kingai (ACP) atusaidie

Polisi ajirieni watu kwa elimu na kuwapandisha vyeo kwa elimu na weledi sio Udini tu ona sasa aibu hii mtu ana mivyeo kibao hata Hati ya mashtaka hakusoma inaasema nini msisikilize wanasiasa
Nimefurahi Sana mara baada ya kuona Leo umeweka propaganda za uchama pembeni na kusimamia ukweli Kwa kile unachokiamini.

Sijui Sirro ataficha wapi uso wake??
 
We jamaa inamatatizo ya akili,udini tu

USSR
Umesikia alichongea mahakamani senior officer kama yeye?


Hakupitia hati ya mashtaka kabla kuongea kujua kilichomo ajue aongeaje3kaiweka serikali ya Mama Samia pabaya unnecessarily loo

Hivi mama Samia kamkosea nini au yeye mjahidina asiyependa wanawake kuwa maraisi wakae ndani tu?


I hate him to the maximum senior officer wa police kama yeye hakutakiwa kutoa Ushahidi hovyo kama ule.
 
Ni mwanachama wa CCM, zaidi ya hapo hakuna.
 
Nimefurahi Sana mara baada ya kuona Leo umeweka propaganda za uchama pembeni na kusimamia ukweli Kwa kile unachokiamini.

Sijui Sirro ataficha wapi uso wake??
Siyo Sirro ni wote wanaokomaa kusikiliza kuwa ohh waislamu hawapewi vyeo majeshini vikubwa haya matokeo hayo sasa mtu anapewa mivyeo mikubwa elimu na weledi zero ale tu mishahara na miposho ya jeshi
 
Ha ha ha! Na huyo ndiye mpelelezi Mkuu wa hii case; what a joke! Yaani ushahidi wake ndio unategemewa kwa asilimia kubwa kumtia Mbowe hatiani! Ha ha ha! Kama mazuri vile!
 
Siyo Sirro ni wote wanaokomaa kusikiliza kuwa ohh waislamu hawapewi vyeo majeshini vikubwa haya matokeo hayo sana mtu anapewa mivyeo mikubwa elimu na weledi zero ale tu mishahara na miposho ya jeshi
... ni nani angepewa KAZI ya ku-engineer hii case asichemke? Hata Sirro, mseminari angechemka vibaya sana. Tatizo ni case za kutunga kuifurahisha CCM.
 
Polisi ajirieni watu kwa elimu na kuwapandisha vyeo kwa elimu na weledi sio Udini tu ona sasa aibu hii mtu ana mivyeo kibao hata Hati ya mashtaka hakusoma inaasema nini msisikilize wanasiasa
Lakini pia maswali ya mawakili yana mitego sana, anakuuliza vitu we unaona maswali marahisi kumbe unaenda kujifunga huko mbele
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…