Anayekunyima wakati wa uchumba atakunyima hata ukimuoa

Anayekunyima wakati wa uchumba atakunyima hata ukimuoa

Sexless

JF-Expert Member
Joined
Mar 11, 2017
Posts
23,683
Reaction score
55,898
Msome mchumba wako vema kabla hamjafunga ndoa.

Kama unanyimwa unyumba ama pesa wakati wa uchumba kwasabb zozote zile, basi ukae ukijua kuwa utanyimwa hata kwenye ndoa kwasabb zinazofanana na hizo.

Kazi kwako. Endelea kulea uzembe huku ukijifariji kuwa utaisha mkiingia kwenye ndoa.
 
Acha kupotosha watu. Ndio maana ndoa nyingi haziishi migogoro kwa sababu watu kipindi cha urafiki anataka muishi kama ndoa.

Akupe unyumba wewe ni mume wake. Vijana mi nawashauri pitieni vipindi vitatu kabla hujaingia kwenye ndoa yaani Urafiki, Uchumba na ndoa. Oa au Olewa na rafiki yako jengeni urafiki kabla hamjaingia kwenye uchumba.

Haya mambo mnadanganyana kufanya sex kabla ya ndoa mnakaribisha shetani kwenye ndoa migogo kibao. Sex ni tendo la kiroho ni agano unaweka agano na X unaolewa na Y

Issue ya ndoa ni very sensitive ili kupata mtu sahihi mtangulize Mungu. Vinginevyo mtakataa ndoa wakati ndoa ni baraka.
 
Acha kupotosha watu. Ndio maana ndoa nyingi haziishi migogoro kwa sababu watu kipindi cha urafiki anataka muishi kama ndoa.

Akupe unyumba wewe ni mume wake. Vijana mi nawashauri pitieni vipindi vitatu kabla hujaingia kwenye ndoa yaani Urafiki, Uchumba na ndoa. Oa au Olewa na rafiki yako jengeni urafiki kabla hamjaingia kwenye uchumba.

Haya mambo mnadanganyana kufanya sex kabla ya ndoa mnakaribisha shetani kwenye ndoa migogo kibao. Sex ni tendo la kiroho ni agano unaweka agano na X unaolewa na Y

Issue ya ndoa ni very sensitive ili kupata mtu sahihi mtangulize Mungu. Vinginevyo mtakataa ndoa wakati ndoa ni baraka.
Ujinga mtupu, lisichana limetombwa weee Wala sio bikira alafu eti Leo ndio amnyime mwenzake, Kama bikira sawa
 
Acha kupotosha watu. Ndio maana ndoa nyingi haziishi migogoro kwa sababu watu kipindi cha urafiki anataka muishi kama ndoa.

Akupe unyumba wewe ni mume wake. Vijana mi nawashauri pitieni vipindi vitatu kabla hujaingia kwenye ndoa yaani Urafiki, Uchumba na ndoa. Oa au Olewa na rafiki yako jengeni urafiki kabla hamjaingia kwenye uchumba.

Haya mambo mnadanganyana kufanya sex kabla ya ndoa mnakaribisha shetani kwenye ndoa migogo kibao. Sex ni tendo la kiroho ni agano unaweka agano na X unaolewa na Y

Issue ya ndoa ni very sensitive ili kupata mtu sahihi mtangulize Mungu. Vinginevyo mtakataa ndoa wakati ndoa ni baraka.
Vijana chukueni ushauri huu endapo mchmba wako atakuwa bado ni bikra hadi siku ya ndoa.

Lkn siyo hawa waliopigwa mashine mpk wanaingiza vyupa ukeni halafu wewe unajitia mashauzi ya kuto kuwabandua.

Mtaibiwa. Huu ushauri ulikuwa unafanya kaxi enzi zile za ujio wa Yesu. Na wanaotoaga ushauri huu huwa ni watu wazima Sana ama walokole waliovurugwa.
 
Msome mchumba wako vema kabla hamjafunga ndoa.

Kama unanyimwa unyumba ama pesa wakati wa uchumba kwasabb zozote zile, basi ukae ukijua kuwa utanyimwa hata kwenye ndoa kwasabb zinazofanana na hizo.

Kazi kwako. Endelea kulea uzembe huku ukijifariji kuwa utaisha mkiingia kwenye ndoa.
Naomba kukutambua kwanza ni wale wale KATAA NDOA au WELE WA KUOA kabla sijaaanza kutililika
 
Ujinga mtupu, lisichana limetombwa weee Wala sio bikira alafu eti Leo ndio amnyime mwenzake, Kama bikira sawa
Mwambie mzee huyu. Asituletee nyimbo za zamani ktk Zama hizi ambazo binti anatongozwa hata akiwa na boyfriend wake kitandani .
 
Mwambie mzee huyu. Asituletee nyimbo za zamani ktk Zama hizi ambazo binti anatongozwa hata akiwa na boyfriend wake kitandani .
Ukiwa mwizi unadhani kila mtu ni mwizi. Kuna vijana wa zama zenu hawafanyi huo ujinga. Kwa sababu uko unafanya hayo unadhani hakuna wasichana bikira. Wasichana bikira wapo sema Mungu atakupa wa kufanana naye. Mungu ni Mungu wa haki.

Kama upo mazingira ya zinaa utakutana na wazinzi wenzio
 
Acha kupotosha watu. Ndio maana ndoa nyingi haziishi migogoro kwa sababu watu kipindi cha urafiki anataka muishi kama ndoa.

Akupe unyumba wewe ni mume wake. Vijana mi nawashauri pitieni vipindi vitatu kabla hujaingia kwenye ndoa yaani Urafiki, Uchumba na ndoa. Oa au Olewa na rafiki yako jengeni urafiki kabla hamjaingia kwenye uchumba.

Haya mambo mnadanganyana kufanya sex kabla ya ndoa mnakaribisha shetani kwenye ndoa migogo kibao. Sex ni tendo la kiroho ni agano unaweka agano na X unaolewa na Y

Issue ya ndoa ni very sensitive ili kupata mtu sahihi mtangulize Mungu. Vinginevyo mtakataa ndoa wakati ndoa ni baraka.
Vivyo hivyo kama unyumba haupo mpaka ndoa,basi na pesa hakuna mpaka tutakapooana
 
Vijana chukueni ushauri huu endapo mchmba wako atakuwa bado ni bikra hadi siku ya ndoa.

Lkn siyo hawa waliopigwa mashine mpk wanaingiza vyupa ukeni halafu wewe unajitia mashauzi ya kuto kuwabandua.

Mtaibiwa. Huu ushauri ulikuwa unafanya kaxi enzi zile za ujio wa Yesu. Na wanaotoaga ushauri huu huwa ni watu wazima Sana ama walokole waliovurugwa.
NAKAZIA [emoji419][emoji375] WALIOVURUGWA
 
Back
Top Bottom