Anayemjua huyu jamaa; kachomwa kisu muda huu Buguruni hapa

Anayemjua huyu jamaa; kachomwa kisu muda huu Buguruni hapa

Sasa hapo sheli, polisi ni unavuka road tu aiseee, amana dakika 5 nyingi mnafika.

Wahuni akili zenu sijui zikoje aisee
Bila pf3 hospital unaendaje mkuu
 
Uko mahili kwenye kupiga picha ya muvi, lakini akili zako za panzi. Ndugu yake yuko Bunju, afungue JF asome hii Post kisha akapande daladala mbili mpaka Buguruni Sheli akukute wewe mwenye akili za panzi bado uko naye unpiga picha!
Ulitaka nimbebe mgongoni mkuu?
 
Kauli mbiu ya 2025
Ukimwaga supu,tunamwaga kisu...cha mgongoni

Watu wamedata kinyama

Sijui anaendeleaje aise
 
muda unaotumia kuchukua video ungetumia kwenda polisi kuchukua karatasi 3 ili apelekwe hospital ungeonekana wa maana sana
Mkuu unawajua polisi wetu?
Unaweza kujikuta unalisaidia jeshi la polisi kwa kesi ambayo hata hauhusiki.
 
Sidhani kama atapona
Kwa huduma za kibongo bongo hatoboi... KISU CHA nyuma ni hatari SANAA.

Unakuta alimwaga supu na akamletea dharau mama wakapishana kauli / mama mwenyewe ukute anacheza vikoba/ kausha damu..

Siku zoteee tujifunze kua humble tutaepukana ugomvi na machafuko yasiyo na lazimaa
 
Kauli mbiu ya 2025
Ukimwaga supu,tunamwaga kisu...cha mgongoni

Watu wamedata kinyama

Sijui anaendeleaje aise
Mpaka naondoka Mwenyekiti alikuwa keshaitwa tayari wanafanya mpango wa kumpeleka hospital
 
muda unaotumia kuchukua video ungetumia kwenda polisi kuchukua karatasi 3 ili apelekwe hospital ungeonekana wa maana sana
Unaandika simple kama vile kwenda kuchukua pf3 ni kama kwenda kununua soda dukani
 
Kwa hiyo anapaswa afuatwe na nduguze kutoka Kibamba labda ili wamkimbize hospitali?
Siyo ndugu zake, kuna serikali ndiyo wanapaswa waje wampeleke hospitali.
Kuna mjumbe, Mwenyekiti n.k
 
Back
Top Bottom