Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ulitaka nimbebe mgongoni mkuu?Uko mahili kwenye kupiga picha ya muvi, lakini akili zako za panzi. Ndugu yake yuko Bunju, afungue JF asome hii Post kisha akapande daladala mbili mpaka Buguruni Sheli akukute wewe mwenye akili za panzi bado uko naye unpiga picha!
Kwa hiyo anapaswa afuatwe na nduguze kutoka Kibamba labda ili wamkimbize hospitali?Muwahisheni hospitalini kwanza, kisha cameras baadae..
What would have happened if the Titanic was to capsize during smartphone era??
Sad..
muda unaotumia kuchukua video ungetumia kwenda polisi kuchukua karatasi 3 ili apelekwe hospital ungeonekana wa maana sanaHuyu jamaa kamwaga Supu na Maandazi hapa Buguruni Sheli muda huu, mama muuza supu kamchoma na kisu mgongoni.
Anayemjua aje amchukue
View attachment 3191873
Una miaka mingapi wewe? Mbona boya boya sana chalii angu!Bila pf3 hospital unaendaje mkuu
Huyu jamaa kamwaga Supu na Maandazi hapa Buguruni Sheli muda huu, mama muuza supu kamchoma na kisu mgongoni.
Anayemjua aje amchukue
View attachment 3191873
Kwa huduma za kibongo bongo hatoboi... KISU CHA nyuma ni hatari SANAA.Sidhani kama atapona
Kulikuwa na watu zaidi ya 100 eneo lile, kwahiyo boya sikuwa peke yangu, kulikuwa na maboya 100 sikuwa peke yangu mkuu.Una miaka mingapi wewe? Mbona boya boya sana chalii angu!
Mgonjwa hupelekwa hospitali kwanza, pf3 itamfuata!
Acha ufala!
Akili yako imeganda kwenye kuliga picha, piga tu na ubadirishe na engo.Ulitaka nimbebe mgongoni mkuu?