Slaa kutumiwa na MAFISADI kina Mpango na Majaliwa ili kuhamisha mijadala ya CAG unaita hoja, kweli?!Jibuni hoja
Hakuna Cha umoja part tumboni hakuna kitu anapiga miayo mama amsikieNadhani ni harakati za kuichafua Chadema na kuanza kuipaisha Umoja part.
Mzee kachanganyikiwa snRecently Wilbroad Slaa amekua akitoa matamko ya kuihusisha CHADEMA na mambo ya kipuuzi sana. Leo nimeona Tena amenukuliwa akidai kuwa CHADEMA ilimtumia Mlinzi wake kufanya ukatili kwa kiongozi wa CHADEMA.
Swali ambalo Slaa hataki kujibu ni kwamba. Kwanini alikaa kimya baada ya kupata taarifa hizo? Pili, kwa Hali ilivyo, Inawezekana kweli Chadema wafanye kitu kama hicho halafu Polisi wakae kimya.
Anatumika kufifisha report ya CAGSlaa kutumiwa na MAFISADI kina Mpango na Majaliwa ili kuhamisha mijadala ya CAG unaita hoja, kweli?!
Kijana wa hovyo akili yako haina akili.
Slaa anatumika vibaya , ameamua kuwa malaya wa kisiasa.Anatumika kufifisha report ya CAG
Itakuwa wanem black mail hafanyi Kwa kupenda ila Kwa shinikizo.Sura ya Slaa imejaa LAANA, mwangalie vizuri. MaCCM sijuhi wamemfanya nini.
kuna nyepesi kwamba mshumbushi anataka kumpiga chini kama hatafuti hela, na diyo maana babu anahaha uwanja mzima kuzisaka.Padiri slaa kalogwa na mchumba wake mshumbushi.
Huyu mbabu padiri slaa anateseka sana kwa kweli ni wa kuhurumia tu.kuna nyepesi kwamba mshumbushi anataka kumpiga chini kama hatafuti hela, na diyo maana babu anahaha uwanja mzima kuzisaka.
Kinacho shangaza hicho Chama ambacho bado kusajiliwa kinaaza kujionyesha ni Cha ukanda Fulani na ni Kwa ajili ya Fulani?Tulieni mzodolewe, mlizoea kumuonea Mbatia na Lipumba sasa mjiandae, siri zenu nje nje go dr slaa. Umoja Party mnakipa umaarufu wenyewe kabla hata kusajiliwa.Nimeamini Umoja Party kina vichwa vizuri yaani chama hakijasajiliwa but tayari kimeanza kujambisha people
Laana ya usaliti double double😂Padiri slaa kalogwa na mchumba wake mshumbushi.
Kinacho shangaza hicho Chama ambacho bado kusajiliwa kinaaza kujionyesha ni Cha ukanda Fulani na ni Kwa ajili ya Fulani?
Tuletee picha za waanzilishi tunaweza kupata pichaHata chadema kuna wakati kinatuhumiwa cha watu wa Kaskazini lakini hakuna uthibitisho, vivyo hivyo hakuna uthibitisho wa Umoja part kuwa cha kikabila....
MaCHADEMA mnaumbuka pole pole. Tuliwaambia MaCHADEMA yanauana na kutekana acha uzinzi uliowajaa.
Majuzi Mange kapost Salum Mwalimu na Matiko mpaka wamezaa.
ANAHANGAIKA KUREJEA KTK USHWAWISHI LAKINI HAFIKII LEVEL ZILE.HERI ATULIYE ATABAKI NA HESHIMA.AKUMBUKE ALIPIGA MASHAMBULIZI MAKUBWA SANA WAKATI WA KAMPENI ALIPOTOKA,PIA AKAZINDUWA KITABU LAKINI VYOTE HAVIKUYUMBISHA KITU SEMBUSE YA LEO HAYA.Recently Wilbroad Slaa amekua akitoa matamko ya kuihusisha CHADEMA na mambo ya kipuuzi sana. Leo nimeona Tena amenukuliwa akidai kuwa CHADEMA ilimtumia Mlinzi wake kufanya ukatili kwa kiongozi wa CHADEMA.
Swali ambalo Slaa hataki kujibu ni kwamba. Kwanini alikaa kimya baada ya kupata taarifa hizo? Pili, kwa Hali ilivyo, Inawezekana kweli Chadema wafanye kitu kama hicho halafu Polisi wakae kimya.
Dr.Slaa alishindwa 2015 na tukaishia kuzoa Kata zote wilayani kwake ndio ataweza sahivi ambapo ameshakaa nje ya siasa miaka 7?Tulieni mzodolewe, mlizoea kumuonea Mbatia na Lipumba sasa mjiandae, siri zenu nje nje go dr slaa. Umoja Party mnakipa umaarufu wenyewe kabla hata kusajiliwa.Nimeamini Umoja Party kina vichwa vizuri yaani chama hakijasajiliwa but tayari kimeanza kujambisha people
Tikuulize mwana Sgang umekaririshwaje,kweli au uongoJambo la msingi hapa ni je alichokisema kina ukweli au la??