Anayenipenda mimi Moniccca awe na sifa hizi:

Anayenipenda mimi Moniccca awe na sifa hizi:

Ivi mabinti wa siku hizi mnakaa na mama zenu angalau 30 mins mkapewa ABC's za maisha ya mahusiano?sishangai mnamegwa na kutemwa kila siku kisa mtindio wenu wa ubongo na si ajabu kuona picha zenu za utupu kwenye social networks zikiwa zimezagaa,nawakumbusheni kukaa na mama zenu na muwe mnaawangalia mama zenu wanavyoishi na baba zenu ambao baiskeli ni kitendawili hizi sarafu zitachakaza sana sehemu zenu nyeti maana mna hulka mna thamani ya dhahabu ila mnamegwa bure kisa utahira wenu.
 
It's so funny sometimes unajua hivi kwanini mnashindwa kumuelewa moniccca lakini?
Bila kujali jinsia yake ameamua kuja na aina hii ya uandishi...wenye kugusa hisia za watu kwa vitu wasivyopenda kuvisikia maishani hasa kwenye ishu za mapenzi,
moniccca knows how to provoke minds with provocative posts then sits behind the keyboard & screen and enjoying the trending
Anajaribu kuwakilisha kundi fulani katika jamii kwa kuvaa uhusika yeye mwenyewe, na kwakweli amefanikiwa kwenye hili
So pls next moniccca 's post read it with content
a0610ea99a37f52cd7b46830ab97282d.jpg
 
It's so funny sometimes unajua hivi kwanini mnashindwa kumuelewa moniccca lakini?
Bila kujali jinsia yake ameamua kuja na aina hii ya uandishi...wenye kugusa hisia za watu kwa vitu wasivyopenda kuvisikia maishani hasa kwenye ishu za mapenzi,
moniccca knows how to provoke minds with provocative posts then sits behind the keyboard & screen and enjoying the trending
Anajaribu kuwakilisha kundi fulani katika jamii kwa kuvaa uhusika yeye mwenyewe, na kwakweli amefanikiwa kwenye hili
So pls next moniccca 's post read it with content
Anacheza na akili za watu kwa kujifanya ni rude but sivyo alivyo
 
Fikira za mtu ndo mfumo wa maisha yake tahadhali kwako monica jiheshim utaheshimiwa, mada zako zitakuponza!
 
huyu kama ni mwanaume basi nina wasiwasi naye!!
 
Lete contact zako nikupe job kwa one day tu... nione kama unaweza vumilia goli 7
 
Mwanaume anayejua kutumia pesa.
Namaanisha kutumia pesa yaani hela, siyo unampeleka mtu bar anakunywa vibia viwili tayari kalewa, au unampeleka shopping anachagua kakadet ka sh40elf hapo yeye anaona katumia!

Mwanaume anayejua mapenzi na tendo husika. Siyo unakwenda round tatu upo hoi unageukia na ukutani.
Angalau uwe na kauwezo ka kwenda round saba au nane.

Ambaye naweza mgeuza nitakavyo.

Anayefua boxer kila siku. Maana wanaume wengi hasa walio single hawafui boxer zao mpaka zinanuka looh! Wa hivyo mie moniccca simuwezi.
Ni hayo tu.

Nimekosa Sifa Moja tuu,
Hizi Zote Ninazo, Lakini angalau ungesema anayejua kutumia na kutafuta.
SASA ME NAJUA KUTUMIA NA KUTAFUTA, NADHANI HATUTAENDANA au vipi Bi Harusi, hivi Honey Money iliisha???
 
Back
Top Bottom