Mshana Jr
Platinum Member
- Aug 19, 2012
- 301,577
- 754,412
Hahhahahaaaa [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Kama umechoka nenda kalale
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hahhahahaaaa [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Kama umechoka nenda kalale
mr mi nashda kweli yani nataka kujua kiswanglishi cha kuongea nifanyejeHahhahahaaaa [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Anacheza na akili za watu kwa kujifanya ni rude but sivyo alivyoIt's so funny sometimes unajua hivi kwanini mnashindwa kumuelewa moniccca lakini?
Bila kujali jinsia yake ameamua kuja na aina hii ya uandishi...wenye kugusa hisia za watu kwa vitu wasivyopenda kuvisikia maishani hasa kwenye ishu za mapenzi,
moniccca knows how to provoke minds with provocative posts then sits behind the keyboard & screen and enjoying the trending
Anajaribu kuwakilisha kundi fulani katika jamii kwa kuvaa uhusika yeye mwenyewe, na kwakweli amefanikiwa kwenye hili
So pls next moniccca 's post read it with content
Monica ni binti mzuri sana na ntamsaka nile utamu wakehaaaaaa apo balaaa sifa kaztoa utamtibua uyo
monica kaniacha hoiSiku moniccca akija hapa na kudai kuwa yeye ni 'me' wala sitashangaa!!........
Ahahaha hii comment imenichekeshaWe nae umetuchosha mara umeolewa mara mbegu za mmeo zimekuunguza
Mwanaume anayejua kutumia pesa.
Namaanisha kutumia pesa yaani hela, siyo unampeleka mtu bar anakunywa vibia viwili tayari kalewa, au unampeleka shopping anachagua kakadet ka sh40elf hapo yeye anaona katumia!
Mwanaume anayejua mapenzi na tendo husika. Siyo unakwenda round tatu upo hoi unageukia na ukutani.
Angalau uwe na kauwezo ka kwenda round saba au nane.
Ambaye naweza mgeuza nitakavyo.
Anayefua boxer kila siku. Maana wanaume wengi hasa walio single hawafui boxer zao mpaka zinanuka looh! Wa hivyo mie moniccca simuwezi.
Ni hayo tu.