Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hapa pana utata aiseeAmbaye naweza mgeuza nitakavyo.
Zinaenda poa kabisaPoa Valentina, za siku?
Kwa taarifa yako moniccca ni dume na mda mfupi ujao atakupandia PM!Zinaenda poa kabisa
Ha haa wacha aje tuKwa taarifa yako moniccca ni dume na mda mfupi ujao atakupandia PM!
Tumekuchoka tumekuchoka huna unalo liwaza zaidi ya ngono tu, hizo pesa siutafte mwenyewe ukanywe mabia unayo ya taka?? Unataka round nane na hela upewe????Mwanaume anayejua kutumia pesa.
Namaanisha kutumia pesa yaani hela, siyo unampeleka mtu bar anakunywa vibia viwili tayari kalewa, au unampeleka shopping anachagua kakadet ka sh40elf hapo yeye anaona katumia!
Mwanaume anayejua mapenzi na tendo husika. Siyo unakwenda round tatu upo hoi unageukia na ukutani.
Angalau uwe na kauwezo ka kwenda round saba au nane.
Ambaye naweza mgeuza nitakavyo.
Anayefua boxer kila siku. Maana wanaume wengi hasa walio single hawafui boxer zao mpaka zinanuka looh! Wa hivyo mie moniccca simuwezi.
Ni hayo tu.