Anayenipenda mimi Moniccca awe na sifa hizi:

Anayenipenda mimi Moniccca awe na sifa hizi:

We unafikili kwenda mara saba ndio kutosheka inawezekana hujakutana mtaalam wa mambo hayo kama mimi pole sana utawapata haohao
 
1.mwenye hela hawezi piga bao nane hana huo muda wa kukata kiuno aache kuwaza mishe zake za hela......bao nane tafuta jobless atakufaa zaidi
 
Jana tu nimemuuliza monicca, leo kaibuka na kioja. nimeishiwa nguvu
 
Sifa unazotaka ninazo, je wewe unatosheleza matamanio ya macho Yangu?.
 
Mwanaume anayejua kutumia pesa.
Namaanisha kutumia pesa yaani hela, siyo unampeleka mtu bar anakunywa vibia viwili tayari kalewa, au unampeleka shopping anachagua kakadet ka sh40elf hapo yeye anaona katumia!

Mwanaume anayejua mapenzi na tendo husika. Siyo unakwenda round tatu upo hoi unageukia na ukutani.
Angalau uwe na kauwezo ka kwenda round saba au nane.

Ambaye naweza mgeuza nitakavyo.

Anayefua boxer kila siku. Maana wanaume wengi hasa walio single hawafui boxer zao mpaka zinanuka looh! Wa hivyo mie moniccca simuwezi.
Ni hayo tu.
Tumekuchoka tumekuchoka huna unalo liwaza zaidi ya ngono tu, hizo pesa siutafte mwenyewe ukanywe mabia unayo ya taka?? Unataka round nane na hela upewe????
Nashauri wanaume tuazishe operation ya kuwa toza nyinyi mnaopenda mabao mengi!!!!![emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji13]
 
Ndugu wana Jamii, mnaonaje tuache kucomment kwenye thread za Monica maana anatuchezea akiri kwa kiwango cha hali ya juu sana
 
Back
Top Bottom