Equation x
JF-Expert Member
- Sep 3, 2017
- 33,679
- 49,841
Inategemea uliishi maisha gani na Mama yao.Mwanaume atajitahidi kujinyima na kusomesha, baada ya miaka kadhaa kupita watoto wakiwa wakubwa watamchukua mama yao na kwenda kuishi naye
Nyie ni km mitambo ya kutengeneza barabara mkiweka lami tu hamruhusiwi kupita mtaharibu
Wewe wape tu haki yao ya mavazi,malazi na chakula. Hayo mengine tutayajadili mbeleni.Mwanaume atapambana kwa kila njia, iwe vibarua, kazi ngumu, kukopa, ufisadi ilimradi tu aweze kumuhudumia mpenzi wake, iwe kwenye kumlisha, kumvisha, kulipa kodi, kusomesha, pamoja na gharama nyingi zilizojificha; hapo mwanaume ananufaikaje....
Inabidi tuishi maisha yetu sasa, haya mambo ya kujinyima huku ukijipa matumaini uzeeni, hayaaminiki.Ngoja waje mkuu
Unajipoza sio?Mfano wako umeeleweka zaidi, ila hii inaumiza sana. Bora kujipa raha mwenyewe nyakati hizi, haya ya kutegemea uzeeni ni sawa na hadithi za kusadikika.
Wanawake unawajua vizuri lakini?Anakuchonganisha na yeyote atakayemuhakikishia maisha mema zaidi ya unayompa.Inategemea uliishi maisha gani na Mama yao.
UBAYA HULIPWA KWA UBAYA, NA UPENDO HULIPWA KWA UPENDO.
KaziKweliKweli/JobTrueTrue
Sawa......uko wapiMwanaume atapambana kwa kila njia, iwe vibarua, kazi ngumu, kukopa, ufisadi ilimradi tu aweze kumuhudumia mpenzi wake, iwe kwenye kumlisha, kumvisha, kulipa kodi, kusomesha,....
Chukulia mfano, huyo uliye naye kwa sasa, ananufaika na nini pamoja na kugharamia vitu mbali mbali?Inategemeana mkuu
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Nyie ni km mitambo ya kutengeneza barabara mkiweka lami tu hamruhusiwi kupita mtaharibu
Mambo ya baadaye hayaelewekikazi kweli kweli
AaahaaaNyie ni km mitambo ya kutengeneza barabara mkiweka lami tu hamruhusiwi kupita mtaharibu
Wengi wanapeleka upendo kwa mama, na baba anatelekezwa kama simba mzee; ndio maana wazee wa kisasa wanajiwekezea akiba yao uzeeni bila kufikiria familia.Inategemea uliishi maisha gani na Mama yao.
UBAYA HULIPWA KWA UBAYA, NA UPENDO HULIPWA KWA UPENDO.
KaziKweliKweli/JobTrueTrue
Tunatoa tukiamini tunaweka akiba, kumbe sio akiba tena bali ni mateso.Wewe wape tu haki yao ya mavazi,malazi na chakula.Hayo mengine tutayajadili mbeleni.
Unajipoza sio?