Equation x
JF-Expert Member
- Sep 3, 2017
- 33,679
- 49,841
- Thread starter
- #41
Sasa huku kwetu, wengine wana mpaka miaka 40 bado yuko kwa mzee anaendelea kumfilisi.Na akifika umri wa miaka 18 anaenda kusamamba maisha yake kivyake
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sasa huku kwetu, wengine wana mpaka miaka 40 bado yuko kwa mzee anaendelea kumfilisi.Na akifika umri wa miaka 18 anaenda kusamamba maisha yake kivyake
Wewe mchekee mkeo uvune mapepe/machuya ya mpunga.Nilikuwa nawaza sababu ya wenzetu kutokuwa na watoto wengi, kumbe waliogopa gharama za kuhudumia, kwa sababu mwisho huwa haueleweki.
Wanawaza kurithi nyumba zetu za tembe.Wanaongea kwa kiburi kwamba hawaondoki hapo ndipo kwao.Ukibisha anakwambia na wewe uende kwa mama yako.Ya'a-Rabbi okoa hiki kizazi!Sasa huku kwetu, wengine wana mpaka miaka 40 bado yuko kwa mzee anaendelea kumfilisi.
Unakwea mnaziBaada ya kuligundua hilo, kwa sasa najipa raha mwenyewe.
Baba ako alikuwa na sonona?Haikupunguzii chochote wakati utakuwa na sonona grade one?Kuwa serious aisee!
Baba ako alipoteza?Wakati huo ulishapoteza tayari
Ukianza kuniuliza maswali ya kijinga nitakujibu kifaler.Kuwa na adabu.Id fiche isikupe ujuha wa kuandika upumbavu wako.Gunioo!Baba ako alikuwa na sonona?
Ngoja uzee ukufikie kwanza, mama achepuke uanze kuona rangi za duniaBaba ako alipoteza?
Narudia tena huo ni uoga na cha pili hili swala halipo general hivo mtoa mada.Mfano mzuri mzee wako kama bado yupo anapatia haya unayasema hapa?Ngoja uzee ukufikie kwanza, mama achepuke uanze kuona rangi za dunia
AnayapitiaNarudia tena huo ni uoga na cha pili hili swala halipo general hivo mtoa mada.Mfano mzuri mzee wako kama bado yupo anapatia haya unayasema hapa?
Na hili ndilo tunatakiwa tulijueNdivyo mambo yalivyo... kikubwa uzima, fanya majukumu yako usi expect upendo ukiwa mwanaume...
Tushachoka tayari manufaiko hamnaMwanaume atapambana kwa kila njia, iwe vibarua, kazi ngumu, kukopa, ufisadi ilimradi tu aweze kumuhudumia mpenzi wake, iwe kwenye kumlisha, kumvisha, kulipa kodi, kusomesha, pamoja na gharama nyingi zilizojificha; hapo mwanaume ananufaikaje...
Kwa sasa unaishi nao vipiTushachoka tayari manufaiko hamna
Mbali mbaliKwa sasa unaishi nao vipi
Yupo sasa?Chukulia mfano, huyo uliye naye kwa sasa, ananufaika na nini pamoja na kugharamia vitu mbali mbali?
TabuleleeeYupo sasa?