Anayenufaika zaidi kwenye mahusiano ni nani, mwanamke au mwanaume?

Anayenufaika zaidi kwenye mahusiano ni nani, mwanamke au mwanaume?

Anayapitia
Sasa hilo ni kosa lake,alishindwa kuchagua mke sahihi.

Jitahidi wewe sasa utafute mke sahihi ili usiwarisishe wanao chuki,ubinafsi na uoga kama unavowaza mda huu.

Familia ni upendo,furaha na amani haya maswala ya sijui mimi natoa nini yasikuumize kichwa mzee ni vitu vidogo na mwisho wa siku wanawake ni viumbe dhaifu waliletwa waje watuletee watoto na kula tunavyotafuta
 
Sasa hilo ni kosa lake,alishindwa kuchagua mke sahihi.

Jitahidi wewe sasa utafute mke sahihi ili usiwarisishe wanao chuki,ubinafsi na uoga kama unavowaza mda huu.

Familia ni upendo,furaha na amani haya maswala ya sijui mimi natoa nini yasikuumize kichwa mzee ni vitu vidogo na mwisho wa siku wanawake ni viumbe dhaifu waliletwa waje watuletee watoto na kula tunavyotafuta
Ndio maana jogoo hatunzi vifaranga
 
Mwanaume atapambana kwa kila njia, iwe vibarua, kazi ngumu, kukopa, ufisadi ilimradi tu aweze kumuhudumia mpenzi wake, iwe kwenye kumlisha, kumvisha, kulipa kodi, kusomesha, pamoja na gharama nyingi zilizojificha; hapo mwanaume ananufaikaje?

Mwanaume atajitahidi kujinyima na kusomesha, baada ya miaka kadhaa kupita watoto wakiwa wakubwa watamchukua mama yao na kwenda kuishi naye, huku mzee/baba akitelekezwa; mbaya zaidi mtoto anaanza kukuimbia ''nanii kama mamaaaa..aaa'' bila kujua ya kuwa baba yao ndio aliyekuwa mpambanaji mpaka wao kufikia pale; hapo mwanaume ananufaikaje?

Baada ya kuligundua hilo, kwa sasa najipa raha mwenyewe.​
Mwanaume unanufaika nini?
 
Back
Top Bottom