Equation x
JF-Expert Member
- Sep 3, 2017
- 33,679
- 49,841
- Thread starter
- #101
kuchangamsha jukwaa tu 😀@equations mr mapenzi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
kuchangamsha jukwaa tu 😀@equations mr mapenzi
sawa sawa unasubiriwaNitakuja no mara waaaa
🔥🔥🔥 yeah man naelewa😂kuchangamsha jukwaa tu 😀
maua hujambooo..Wewe ni me au ke
Maua sio jina langu wewe mtumaua hujambooo..
mahusiano nje ya ndoa halali hayana faida kwa yeyote.Mwanaume atapambana kwa kila njia, iwe vibarua, kazi ngumu, kukopa, ufisadi ilimradi tu aweze kumuhudumia mpenzi wake, iwe kwenye kumlisha, kumvisha, kulipa kodi, kusomesha, pamoja na gharama nyingi zilizojificha; hapo mwanaume ananufaikaje?
Mwanaume atajitahidi kujinyima na kusomesha, baada ya miaka kadhaa kupita watoto wakiwa wakubwa watamchukua mama yao na kwenda kuishi naye, huku mzee/baba akitelekezwa; mbaya zaidi mtoto anaanza kukuimbia ''nanii kama mamaaaa..aaa'' bila kujua ya kuwa baba yao ndio aliyekuwa mpambanaji mpaka wao kufikia pale; hapo mwanaume ananufaikaje?
Baada ya kuligundua hilo, kwa sasa najipa raha mwenyewe.
Lakini kuna wanandoa wanaoachana na kugawana malimahusiano nje ya ndoa halali hayana faida kwa yeyote.
Nipo tu hapa jukwaani sina pa kwendaEquation x Choka mbaya upo??
Umenena kweli.Wanawake unawajua vizuri lakini?Anakuchonganisha na yeyote atakayemuhakikishia maisha mema zaidi ya unayompa.
InawezekanaNani kama mama ni hasa kile kipindi ulichokaa tumboni kwa mama, baba hana hilo tumbo. Ndilo chimbuko la hako kawimbo.
Ndio maana maandiko yanatusihi tuishi nao kwa akiliUmenena kweli.
Akina mama hutengeneza mazingira ya kuonekana wema kwa watoto kuliko baba.
Ogopa sana mwanamke. Kama anathubutu kukubali kumdhuru mume kwa ushauri wa mchepuko, atashindwa kuteka na kushawishi watoto wake wamdharau baba yao?
Karibu 95% ya wamama wote ndivyo walivyo.
Hakuna cha kutegeeana.Inategemeana mkuu
Umenena kweli.Wanawake unawajua vizuri lakini?Anakuchonganisha na yeyote atakayemuhakikishia maisha mema zaidi ya unayompa.
Mbwembwe tu za maandishi 😀Mimi nanufaika zaidi japo nayeye anasema ananufaika zaidi.
KWa ufupi naogopa kumpoteza nayeye anaogopa kunipoteza.
Basi mapenzi matamu hatariiii.
Ngoja niweke simu chaji akanikojoze mie.
☹️Hakuna cha kutegeeana.
Almost 95% ya akina mama hujimilikisha upendo kwa watoto, na hata kushawishi indirectly au directly watoto wasiwasaidie baba zao.