Anayenufaika zaidi kwenye mahusiano ni nani, mwanamke au mwanaume?

Anayenufaika zaidi kwenye mahusiano ni nani, mwanamke au mwanaume?

Mwanaume atapambana kwa kila njia, iwe vibarua, kazi ngumu, kukopa, ufisadi ilimradi tu aweze kumuhudumia mpenzi wake, iwe kwenye kumlisha, kumvisha, kulipa kodi, kusomesha, pamoja na gharama nyingi zilizojificha; hapo mwanaume ananufaikaje?

Mwanaume atajitahidi kujinyima na kusomesha, baada ya miaka kadhaa kupita watoto wakiwa wakubwa watamchukua mama yao na kwenda kuishi naye, huku mzee/baba akitelekezwa; mbaya zaidi mtoto anaanza kukuimbia ''nanii kama mamaaaa..aaa'' bila kujua ya kuwa baba yao ndio aliyekuwa mpambanaji mpaka wao kufikia pale; hapo mwanaume ananufaikaje?

Baada ya kuligundua hilo, kwa sasa najipa raha mwenyewe.​
mahusiano nje ya ndoa halali hayana faida kwa yeyote.
 
Wanawake unawajua vizuri lakini?Anakuchonganisha na yeyote atakayemuhakikishia maisha mema zaidi ya unayompa.
Umenena kweli.
Akina mama hutengeneza mazingira ya kuonekana wema kwa watoto kuliko baba.
Ogopa sana mwanamke. Kama anathubutu kukubali kumdhuru mume kwa ushauri wa mchepuko, atashindwa kuteka na kushawishi watoto wake wamdharau baba yao?

Karibu 95% ya wamama wote ndivyo walivyo.
 
Umenena kweli.
Akina mama hutengeneza mazingira ya kuonekana wema kwa watoto kuliko baba.
Ogopa sana mwanamke. Kama anathubutu kukubali kumdhuru mume kwa ushauri wa mchepuko, atashindwa kuteka na kushawishi watoto wake wamdharau baba yao?

Karibu 95% ya wamama wote ndivyo walivyo.
Ndio maana maandiko yanatusihi tuishi nao kwa akili
 
Wanawake unawajua vizuri lakini?Anakuchonganisha na yeyote atakayemuhakikishia maisha mema zaidi ya unayompa.
Umenena kweli.
Akina mama hutengeneza mazingira ya kuonekana wema kwa watoto kuliko baba.
Mtoto akikosea, hachukui hatua ya kumwonya, utasikia "ngoja aje baba yako nitakusema". Sasa baba ukichukua jukumu la kuonya hata isiwe kwa kiboko, mtoto tayari anahenga chuki kuwa kumbe baba ni mbaya.
 
Back
Top Bottom