Kapeace
JF-Expert Member
- May 26, 2017
- 24,514
- 65,521
Thubutuuu mtachakaa mpaka muimbe haleluyaNa hatukai stoo, tutapendeza na kuinjoy mpaka umauti utufike.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Thubutuuu mtachakaa mpaka muimbe haleluyaNa hatukai stoo, tutapendeza na kuinjoy mpaka umauti utufike.
MbunyeUtamnufaisha nini mmeo?
Ngoja muone na hivi mmeshatushtua ni matumizi sahihi ya akili tu labda mturoge.Thubutuuu mtachakaa mpaka muimbe haleluya
Yani mkilitandaza lami tu na sie hao hamkumbukwi mnafichwa kustoo, kuishi poa inategemeana na roho ya mkeNgoja muone na hivi mmeshatushtua ni matumizi sahihi ya akili tu labda mturoge.
Wote si mna burudika?Mbunye
yeye ni zaidiWote si mna burudika?
Duh bora tuenjoy mateso yaja.Yani mkilitandaza lami tu na sie hao hamkumbukwi mnafichwa kustoo, kuishi poa inategemeana na roho ya mke
Mie kiukweli huko mbeleni itategemeana akinipiga matukio ajiandae kwenda stoo
Ebu fafanua kidogoyeye ni zaidi
Mnatia huruma🤣🤣Duh bora tuenjoy mateso yaja.
😂 mbeleni wapi na hatuijui kesho yetu. Maisha ni sasa ukijakushtuka una wajukuu wa kulea.Yani mkilitandaza lami tu na sie hao hamkumbukwi mnafichwa kustoo, kuishi poa inategemeana na roho ya mke
Mie kiukweli huko mbeleni itategemeana akinipiga matukio ajiandae kwenda stoo
Mtego huu,,na sinasi ng'oooEbu fafanua kidogo
Nawalelea kwa watoto yeye anabaki kulinda nyumba na hiki ndo alichosema mtoa mada😂 mbeleni wapi na hatuijui kesho yetu. Maisha ni sasa ukijakushtuka una wajukuu wa kulea.
njoo uninong'onezeMtego huu,,na sinasi ng'ooo
Shindwa pepo 😂njoo uninong'oneze
Kwa hilo mnatuweza na watoto wenu. Watoto wengine wabaguzi sana.Nawalelea kwa watoto yeye anabaki kulinda nyumba na hiki ndo alichosema mtoa mada
kuna ule msemo, mficha...... hazai; na hapo kwenye avatar unataka kifarangaShindwa pepo 😂
Nnavyo vitatu,,na kingine ndo naatamiakuna ule msemo, mficha...... hazai; na hapo kwenye avatar unataka kifaranga
njoo upewe junior hukuNnavyo vitatu,,na kingine ndo naatamia
Nitakuja no mara waaaanjoo upewe junior huku