TANZIA Anayesadikiwa kuwa MwanaJF afariki dunia

Kuna member mmoja humu Jf aliwahi kuandika/kuleta uzi hapa akisema: "Wanawake sio wa kuonea huruma hata mara moja" Hivi ingemchukuwa dk. ngapi kumfungulia geti mwenza wake? Je, Baada ya tukio hili (Matokeo ya kiburi chake) anadhani itamchukua muda gani kumpata tena mwenza mwingine? akina mama tafadhali chukueni tahadhari mnapofanya maamuzi dhidi ya wenza wenu. Asante.
 

kwa sasa ndugu jamaa na majirani hawaelewi kama shemeji yetu alikuwa amechoka amelala,wanachomuuliza ni kwanini hakumfungulia mwenye nyumba!!!!!

kila maamuzi yana faida na hasara zake,ukipima ukaona faida ni ndogo kuliko hasara usifanye.
 
kwa sasa ndugu jamaa na majirani hawaelewi kama shemeji yetu alikuwa amechoka amelala,wanachomuuliza ni kwanini hakumfungulia mwenye nyumba!!!!!

kila maamuzi yana faida na hasara zake,ukipima ukaona faida ni ndogo kuliko hasara usifanye.
Ndo hivo dunia yote inamlaumu yeye kwa kuwa chanzo cha mauaji kumbe chanzo ni mlevi mwenyewe
 
Utakuja kulewa watu wabebe funguo waje kufanya Yao nyumbn.
 
Weka mlinzi getini ili ukifika akufungulie angalau uingie hata ndani ya boma!
Hawa viumbe "wakezetu' akiamua anafunga ,na funguo anaingia Nazo ndani.
Mlinzi anabaki geitini TU. Hapa Cha mhimu kama mtu anamiliki ka IST ni kuhakikisha unatembea na "chan" ukiona hawafunguwi funga chan ,vuta geiti lifunguke lenyewe.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Chezea wengine mkuu..ulimkubali huyo mtu ukijuwa kabisa ni mlevi, mimi nikuweke wazi tu niko tayari kuuza chochote ili nikupoteze kama ulivyochangia ndugu yangu kupotea ...
Mkuu kifo kitokanacho na ulevi hakijawahi kuwa na kesi. jamaa kaji peleka mwenyewe kuzimu.
 
Aisee! Una roho mbaya sana hadi saa nane usiku unasubiri tu ujue jirani karudi sa ngapi, nyie ndio mnaweza mkapeleka umbea kwa mke wake ili wavurugane
 
So sad,RIP.Kwa vyovyote vile huyu mama dhambi aloifanya itamtesa milele,sitaki kutoa hukumu Ila apa akinamama Ina bidi wajifunze maana ndoa ni kiapo na pia mapungufu yapo Kila iitwayo ndoa hakuna ndoa yenye amani tu milele hiyo haipo.
 
jamii forum member tuwe na utaratibu wa kufahamiana au kukutana hata kwa mwaka mara moja na kusaidiana inapotokea ishu kama za kifo au maradhi ,
 
Ndio tatizo la kuficha ID zetu, sasa hata rambirambi hatujatuma. All in all, R.I.P Member.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…