Baba wa Mapaka
JF-Expert Member
- Oct 17, 2016
- 1,827
- 1,655
Wanawake wapi tofauti
Mimi mke wangu nikichelewa kurudi hawezi kulala aisee atasubiri hadi nirudi...
Bahati mbaya situation kileo na nikichelewa ujue nimempa taarifa kabla.
Mimi mke wangu nikichelewa kurudi hawezi kulala aisee atasubiri hadi nirudi...
Bahati mbaya situation kileo na nikichelewa ujue nimempa taarifa kabla.