Mwizukulu mgikuru
JF-Expert Member
- Oct 21, 2021
- 5,715
- 13,739
Chezea wengine mkuu..ulimkubali huyo mtu ukijuwa kabisa ni mlevi, mimi nikuweke wazi tu niko tayari kuuza chochote ili nikupoteze kama ulivyochangia ndugu yangu kupotea ...
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Chezea wengine mkuu..ulimkubali huyo mtu ukijuwa kabisa ni mlevi, mimi nikuweke wazi tu niko tayari kuuza chochote ili nikupoteze kama ulivyochangia ndugu yangu kupotea ...
alitoka kwenye kilevi usiku, akagonga geti, mke akagoma katukatu kumfungulia[emoji24]Memba mwenzetu ametangulia mbele ya haki. Pengine nisingejisumbua kuripoti huu msiba lakini mazingira ya kifo chake ni ya kuhuzunisha na yenye mafunzo. Sijui username yake ya JF kwani tulikutana ''casually'' kwenye kilevi mwezi wa tatu mwaka huu tena siku moja tu. Katika maongezi alinijulisha kuwa yeye ni ''active member'' wa JF na anapenda sana kuchangia. Baada ya kilevi (maeneo ya Boko) tulipokuwa tunaondoka akanionyesha nyumbani kwake na mimi nikaondoka kurudi kwetu Msasani ninakoishi.
Fast forward, wiki kama mbili zilizopita nilirudi tena maeneo tuliyokutana kwenye mishe zangu. Nikaona msiba kwenye boma aliloniambia ni nyumba yake. Kuulizia kulikoni nikaambiwa ni yeye, mwenye nyumba amefariki. ''Eti'' alitoka kwenye kilevi usiku, akagonga geti, mke akagoma katukatu kumfungulia. Akachukua uamuzi wa kuruka ukuta. Kwa bahati mbaya akachomwa na moja ya nondo zilizoko kwenye geti la nyumba (nadhani wengi mnafahamu nondo zinazochongwa kama mkuki na kuwekwa juu ya kuta au geti ili kuzuia vibaka). Kwa bahati mbaya akavuja damu nyingi mpaka akapoteza maisha. RIP member.
Kama wewe hauna gubu ubarikiwe ,mimi mke wangu ukifika muda wa kulala tu utasema vikao vya mahakama ndio vimeanza...naamua kushinda bar nikirudi niwe nimependezaKwahiyo kuepusha gubu ndio unaona ukwende kushinda bar? Hapo unasuluhisha nini sasa?
Hivi mtu mnapendana na kuheshimiana vizuri hizo gubu zinatoka wapi? Ingawa najua kuna watu wapo both me & ke wana lawama sana
Kwani mwanamke wa watu ni Gate man... yani kwakuwa tu umeoa basi uwe mlevi kila siku unarudi mda umeenda jalafu eti lazima ufunguliwe kwa kuwa ni kwako...Hapo ungeshauri wanawake wenzio kuwa waache viburi visivyokuwa na maàna. Sasa aligoma kufungua alitaka akalale wapi wakati hapo ndipo nyumbani kwake!!!!
Apumzike kwa Amani 🙏“Raha ya milele umpe ee Bwana, na mwanga wa milele umuangazie, apumzike kwa amani, Amina"
Memba mwenzetu ametangulia mbele ya haki. Pengine nisingejisumbua kuripoti huu msiba lakini mazingira ya kifo chake ni ya kuhuzunisha na yenye mafunzo. Sijui username yake ya JF kwani tulikutana ''casually'' kwenye kilevi mwezi wa tatu mwaka huu tena siku moja tu. Katika maongezi alinijulisha kuwa yeye ni ''active member'' wa JF na anapenda sana kuchangia. Baada ya kilevi (maeneo ya Boko) tulipokuwa tunaondoka akanionyesha nyumbani kwake na mimi nikaondoka kurudi kwetu Msasani ninakoishi.
Fast forward, wiki kama mbili zilizopita nilirudi tena maeneo tuliyokutana kwenye mishe zangu. Nikaona msiba kwenye boma aliloniambia ni nyumba yake. Kuulizia kulikoni nikaambiwa ni yeye, mwenye nyumba amefariki. ''Eti'' alitoka kwenye kilevi usiku, akagonga geti, mke akagoma katukatu kumfungulia. Akachukua uamuzi wa kuruka ukuta. Kwa bahati mbaya akachomwa na moja ya nondo zilizoko kwenye geti la nyumba (nadhani wengi mnafahamu nondo zinazochongwa kama mkuki na kuwekwa juu ya kuta au geti ili kuzuia vibaka). Kwa bahati mbaya akavuja damu nyingi mpaka akapoteza maisha. RIP member.
Tunatoa wapi lock mzeeUlevi sio shida Depal nidhamu ndio kila kitu
Upendo huvumilia yote, upendo hauhesabu mabayaJaman wale mnaopenda kulewa au kuchelewa kurudi majumbani mwenu kwa sababu za starehe kama hizi muwe mnakuwa na funguo za ziada ili ukirudi unajifungulia mwenyewe kuepusha vifo visivyo vya lazima.
Inachosha sana kuamshwa na mtu aliyetoka kwenye starehe zake ukatishe usingizi wako ili umfungulie
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] haki ni kichekeshoPole kwa wafiwa..
Mi nilikuwa na mazoea hayo ya kulewa na kurudi usiku naruka hizo nondo asubuhi najikuta nimekwaruzika mwili mzima kisa cha kuacha mchezo huo sitasahau.
Nilirudi siku hiyo kilevi kimezidi kuliko kawaida nikapiga simu na kugonga sikufunguliwa nikachukua maamuzi ya kuruka. Niliacha kila kitu juu ya nondo surwali shati hadi boksa. Nikaingia ndani nikalala na viatu tuu. Asubuhi kidogo mama angu afe kwa presha akajua nimeuliwa nikatupwa juu ya nondo kumbe nguo. Akaingia ndani nimelala uchi akanikagua mzima zaidi ya michubuko tuu. Sitasahau
Umejuaje hiyo nyumba imejengwa na mwanamke?...mlevi alale nje full stoopIfikie hatua MTU kama hupendi tabia za mume urudi tu kwenu,kuliko unajua mume ni mlevi umekomalia kwenye Nyumba yake na mlango unamfungia.
Nao ni watoto wa wanawake wenzenu walipata uchungu kama muupatao. Pumzika Mkuu,pumzika Kamanda!
AminaUmejuaje hiyo nyumba imejengwa na mwanamke?...mlevi alale nje full stoop