TANZIA Anayesadikiwa kuwa MwanaJF afariki dunia

Mke kawa mjane ghafla
Dah

Mara nyingi tafakari jambo kabla ya kutenda
 
Kwanza poleni wanajamii forams kwakuondokewa na mwenzetu.

Kuhusu ushauli wako huu ,ebu wambie wifi zako mama zako wadogo, waache adhabu zakikatiri. Unaanzaje Kugoma kumfungulia mwezio? Ona Sasa amekua mjane .

Sent using Jamii Forums mobile app
Wakati unakunywa mipombe huku ulimwita mjumuike pamoja wanaume tuache ubabe tembea na funguo zako utadhibiti hayo yote
 
Hama kwenu

Kapange
 
Eti kwa sababu ni baba mwenye nyumba a.k.a mume ukaleweeee weee hadi night kali halafu unikatishie usingizi wangu nikufungulie.... hapana kwa kweli. Kuwa na funguo za ziada... kama geti sio la kitasa basi kitengenezwe.
Ukute mke wa watu hata outing hajawahi kutolewa yeye Ana kazi ya kufungua mageti tuu....
Tuweni wakweli asee.
 
Ametoa ushauri muwe na funguo zenu, hujaona? Umeona tu roho mbaya ya huyo alogoma kufungua mlango?

Yan mtu umejizoelea kulala saa 4, mumeo mlevi anakaa bar mpaka saa7/8/9, kuamshwa kila wakati hivyo inaboa sana.
Ushauli wake wa kumiliki funguo, nimeiona sijaubedha Wala sijaupuuza.

Shida inakuja pale ambako mwenza ameamua kumunyosha huyo unae muita mlevi. Mageiti mengi hunguliwa kwa vitasa ukiwa nje.
Alieko ndani akiamua kukomoa anafunga makomeo kwa ndani , au kama Kuna asikali anatia na makufuri kabisa.

Je hapo funguo Yako itasaidia?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Lina hela? Kama lina hela usijemtibulia mazako mdogo
 
Tupige kura kumbaini huyo mwenzetu mi naanza na..............maana siju ya pili hii hajacomment humu wala kupost
Mkuu soma uzi vizuri. Jamaa kasema week mbili zilizopita ndo alipata hiyo taarifa ya msiba.
 
Nina uhakika kwa hizi comment zako haujaolewa, Nimekosea? Inaonekana una kiburi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…