Kingsmann
JF-Expert Member
- Oct 4, 2018
- 4,805
- 17,850
Nimeona mkuu, nakujibu soonHey nilikucheki PM sijui umeona?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nimeona mkuu, nakujibu soonHey nilikucheki PM sijui umeona?
Hawa wanajisemea TU. Vitimbwi vya Hawa mbavu zetu hawavijui. Nyumba nyingine zinamiliki hata walinzi.Kuna mageti yanafungwa kwa komeo kwa ndani kwani funguo ni rahisi vibaka kutengeneza. Na pia wanawake wengine wanaweza kufanya makusudi ya kufunga kwa ndani ili kukomoa
Mkuu sio jina halisi. Angalao ID yake iwekewe RIP kama kawaida.Ili ikusaidie nini mkuu,hakutaka umjue alivyokua hai,kwa nini Sasa umjue?wewe andika R.I.p tu Kisha kausha
Kwani huko kwenye ndoa mnagawa hela?Nina uhakika kwa hizi comment zako haujaolewa, Nimekosea? Inaonekana una kiburi
Masanja mkandamizaji kafa lini?Kisa kama cha marehem Charles masanja
Ova
Atakuwa singo maza au supawuman tuNina uhakika kwa hizi comment zako haujaolewa, Nimekosea? Inaonekana una kiburi
Nakadori una point na mimi nakubaliana na wewe. Ila wakati mwingine, wanawake wanaweza kuamua kufunga kwa ndani ili kutoa funzo. Hapa ndipo unapokuja ulazima wa sisi wanaume kubadilika. Pombe za kila siku na kurudi kwa usiku hata kama unaondoka na funguo hazifai.Eti kwa sababu ni baba mwenye nyumba a.k.a mume ukaleweeee weee hadi night kali halafu unikatishie usingizi wangu nikufungulie.... hapana kwa kweli. Kuwa na funguo za ziada... kama geti sio la kitasa basi kitengenezwe.
Ukute mke wa watu hata outing hajawahi kutolewa yeye Ana kazi ya kufungua mageti tuu....
Tuweni wakweli asee.
Nimefarijika Sana kuona koment hii toka kwa mwanamke anayejitambuaIfikie hatua MTU kama hupendi tabia za mume urudi tu kwenu,kuliko unajua mume ni mlevi umekomalia kwenye Nyumba yake na mlango unamfungia.
Nao ni watoto wa wanawake wenzenu walipata uchungu kama muupatao. Pumzika Mkuu,pumzika Kamanda!
Huyu Masanja alikuwa sijui kiongozi wa michezo. Ni kisa cha zamani.Masanja mkandamizaji kafa lini?
Mkuu kumbe wewe ni me?Nakadori una point na mimi nakubaliana na wewe. Ila wakati mwingine, wanawake wanaweza kuamua kufunga kwa ndani ili kutoa funzo. Hapa ndipo unapokuja ulazima wa sisi wanaume kubadilika. Pombe za kila siku na kurudi kwa usiku hata kama unaondoka na funguo hazifai.
Sababu za kuto kuoa au kutokuolewa kila mtu ana sababu zake Ila kwako sababu iliyokufanya usiolewe ni kiburi na majivuno.Kwani huko kwenye ndoa mnagawa hela?
Ukioa au ukiolewa wewe inatosha sio kila mtu analilia ndoa bwana
Haya mkuu tuma salamu then ukojoe ulale. ByeSababu za kuto kuoa au kutokuolewa kila mtu ana sababu zake Ila kwako sababu iliyokufanya usiolewe ni kiburi na majivuno.
Nikajua kumfuata katibu wakeHuyu Masanja alikuwa sijui kiongozi wa michezo. Ni kisa cha zamani.
Achana naee bwegee mmoja tu huyoo....!
Lengo lake limetimia.Duh, uyo mke wake atakua kwenye majuto Sana,kitendo Cha kufungua geti asingechukua ata dakika moja, Sasa ameshapoteza mume