TANZIA Anayesadikiwa kuwa MwanaJF afariki dunia

Kule Njombe kuna jamaa alimua Mke wake kwa kiss kama hicho cha Mke kutofungua mlango.Jamaa akavunja mlango Mke alipokea kipigo mpaka mauti.

Badaye Jamaa aliachiliwa baada ya miezi 6 kwa kuua pasipo kukusudia.
 
Kwa mtazamo wa haraka haraka hii nyumba tayari ilikuwa haina amani,shetani alikuwa ameshafanya yake,upendo ulikuwa umeshatoweka,ni dakika chache tu ambazo angefungua mlango na mume angeingia, na yeye angerudi kulala,lakini hizo dakika chache alizo dharau ameruhusu kifo kwa mume wa maisha yake,najua saa hizi anajutia lakini it's too late...
 
Zamani wakati nakunywa mwanamke alikataa kunifungulia nikapiga ngumi mlangoni na kuna vioo,ilikua nife.Hawa viumbe wako kama nyuki,Asali yao tamu ila ukin'gatwa maumivu
 
Jitahidi kumaindi bizinezi zako mkuu, unaonekana unapenda kufuatilia mambo ya jirani yako, achana nae kila mtu ana maisha yake ili mradi hakusumbui au kukukwaza.
Ku mind your own business ni vizuri ila kumjua jirani yako ni vizuri zaidi
 
shida inaanziaga pale manapokutana na kukubaliana kuoana.

usioea wala kuoelewa kwa bahati mbaya.
ndoa zasasa nyingi ni za bahati mbaya aka kuviziana.

Unakuta mmoja kaviziwa kakubalia kuoa au kuolewa lakini kiuhalisia hakuwa tayari au mhusika sio chaguo lake hapo sasa ndio balaa linapoanzia.
 
[emoji16] si kweli mkuu

Hao watu walishafikia either kuchokana, au kudharauliana.

Me napenda usuluhishi, sidhani kama naweza fikia mfungia mtu nje aisee.. huko ni mbali sana.
Sasa we unakuta daily ni ukifungua geti ni unakumbana na harufu Kali ya nyagi na Shah.wa + plus lipstick kwenye shati

Hizo nguvu za kufungua geti unazipata wapi?
 
Kwenye dini zote kuoa/kuolewa ni ibada lakini hizo hizo dini zinatutaka tuwe makini kwenye kuoa/kuolewa.

Kwa tafsiri ni kuoa au kuolewa na mtu sahihi, kwa mtu sahihi hata shida ikitokea inaweza kutatuliwa kiakili na wote mkawa salama.
 
Sasa we unakuta daily ni ukifungua geti ni unakumbana na harufu Kali ya nyagi na Shah.wa + plus lipstick kwenye shati

Hizo nguvu za kufungua geti unazipata wapi?

Wakati anakuoa hukujua kama anatabia hizo? kama ulijua na ukakubali kuolewa nawe hilo ni tatizo lako na ni either ukubaliane naye au muachane haraka.

Kama hakuwa na tabia hizo, kwanini amezianza ghafla ?
 
Haijalishi, usitetee ukatili hapa. Hakuna sababu yoyote inayoweza kuhalalisha alichokifanya huyo mama zaidi ya ubinafsi. Halafu ninyi wanawake acheni hulka ya kujifanya victims wa kila sintofahamu inayotokea katika ndoa/mahusiano. Ninyi huweza kuwa chanzo/villains wa mambo mengi tu.
 
Kuishi na mwanamke unatumika akili ya ziada, angejiongeza atoke na funguo zake baada ya kusoma tabia za mwanamke. RIP.
 
Tayari amekufa, Mimi mke ninapochoka na tabia za mume mama ake alikuwa bado anamhitaji.

Tayari amekufa.....okay,ni bahati mbaya ngoja awe huru sasa
Una busara sana aisee. Hakika mumeo ana bahati kukuoa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…