TANZIA Anayesadikiwa kuwa MwanaJF afariki dunia

TANZIA Anayesadikiwa kuwa MwanaJF afariki dunia

Jaman wale mnaopenda kulewa au kuchelewa kurudi majumbani mwenu kwa sababu za starehe kama hizi muwe mnakuwa na funguo za ziada ili ukirudi unajifungulia mwenyewe kuepusha vifo visivyo vya lazima.

Inachosha sana kuamshwa na mtu aliyetoka kwenye starehe zake ukatishe usingizi wako ili umfungulie
Mimi ananijua vizuri, asiponifungulia anajua ntakapoenda kulala. Afu atakufa kwa wivu

Mimi nina funguo za geti na za mlango kabisa. Sitakagi ujinga nikimiminia K Vant tumboni
 
Bado niponipo sana. Na mimi nikidedi nafahamiana na members zaidi ya 200 hapa. Kwahiyo habari italetwa mubashara

Itoshe kusema kwa hivi sasa sina mpango wa kudedi hivi karibuni....
🤣🤣
Babu kama babuu bado anataman raha za dunia...
 
Mimi ananijua vizuri, asiponifungulia anajua ntakapoenda kulala. Afu atakufa kwa wivu

Mimi nina funguo za geti na za mlango kabisa. Sitakagi ujinga nikimiminia K Vant tumboni
Babu ukifungiwa uje me ntakufungulia...
Kisebule changu ni kikubwa utalala kwenye ile sofa paleee
 
Babu ukifungiwa uje me ntakufungulia...
Kisebule changu ni kikubwa utalala kwenye ile sofa paleee
Afu nalala without kabisa ili kikojoleo chako kidanganywe na ibilisi mpaka uje without afu tunalala pamoja in kind afu masihara yanaleta utamu....
 
Afu nalala without kabisa ili kikojoleo chako kidanganywe na ibilisi mpaka uje without afu tunalala pamoja in kind afu masihara yanaleta utamu....
Babu me nakusaidia kupata Hifadhi wewe unataka na mengine? Basi bora ukaruke tu ukuta nondo ikamate shati ubembee 🤣🤣🤣
 
Pole kwa wafiwa..

Mi nilikuwa na mazoea hayo ya kulewa na kurudi usiku naruka hizo nondo asubuhi najikuta nimekwaruzika mwili mzima kisa cha kuacha mchezo huo sitasahau.

Nilirudi siku hiyo kilevi kimezidi kuliko kawaida nikapiga simu na kugonga sikufunguliwa nikachukua maamuzi ya kuruka. Niliacha kila kitu juu ya nondo surwali shati hadi boksa. Nikaingia ndani nikalala na viatu tuu. Asubuhi kidogo mama angu afe kwa presha akajua nimeuliwa nikatupwa juu ya nondo kumbe nguo. Akaingia ndani nimelala uchi akanikagua mzima zaidi ya michubuko tuu. Sitasahau
Nimecheka sanaaa aisee wanywa pombe shughuli zenu si za kitoto
 
Babu me nakusaidia kupata Hifadhi wewe unataka na mengine? Basi bora ukaruke tu ukuta nondo ikamate shati ubembee 🤣🤣🤣
Ushaanza uchoyo.... dah!

Ama kweli kukataliwa kubaya
 
Fanyeni kazi ya kuwatag wote wanaoishi maeneo ya huko, asiyeitika tutajua ndio mnywa pombe, mlevi hadi mkewe akaamua kumfungia nje akafia kwenye fence.
 
Jaman wale mnaopenda kulewa au kuchelewa kurudi majumbani mwenu kwa sababu za starehe kama hizi muwe mnakuwa na funguo za ziada ili ukirudi unajifungulia mwenyewe kuepusha vifo visivyo vya lazima.

Inachosha sana kuamshwa na mtu aliyetoka kwenye starehe zake ukatishe usingizi wako ili umfungulie
Kwenye shida na raha
 
Back
Top Bottom