harakati za siri
JF-Expert Member
- Aug 23, 2020
- 1,074
- 2,870
Kuna mwingine tena alifariki hivihivi, miezi siyo mingi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Babu tulihisi ni wewe 😂😂😂K
heri kabisa mkuu ndugu yangu....
Bado niponipo sana. Na mimi nikidedi nafahamiana na members zaidi ya 200 hapa. Kwahiyo habari italetwa mubasharaBabu tulihisi ni wewe 😂😂😂
Mimi ananijua vizuri, asiponifungulia anajua ntakapoenda kulala. Afu atakufa kwa wivuJaman wale mnaopenda kulewa au kuchelewa kurudi majumbani mwenu kwa sababu za starehe kama hizi muwe mnakuwa na funguo za ziada ili ukirudi unajifungulia mwenyewe kuepusha vifo visivyo vya lazima.
Inachosha sana kuamshwa na mtu aliyetoka kwenye starehe zake ukatishe usingizi wako ili umfungulie
🤣🤣Bado niponipo sana. Na mimi nikidedi nafahamiana na members zaidi ya 200 hapa. Kwahiyo habari italetwa mubashara
Itoshe kusema kwa hivi sasa sina mpango wa kudedi hivi karibuni....
Maisha haya mafupi kwanini kujiumiza?🤣🤣
Babu kama babuu bado anataman raha za dunia...
Babu ukifungiwa uje me ntakufungulia...Mimi ananijua vizuri, asiponifungulia anajua ntakapoenda kulala. Afu atakufa kwa wivu
Mimi nina funguo za geti na za mlango kabisa. Sitakagi ujinga nikimiminia K Vant tumboni
Mara nyingi siku kama hiyo umemaliza pesa zote umebaki na buku mbiliNikiona hataki kufungua naenda zangu guest kulala, tena kama yupo mchepuko naupigia simu uje tuutumie usiku wetu kwa faida [emoji1787]
Mke anakataa vipi kufungua geti, hiyo ndoa ilikuwa na shida sana!!
Afu nalala without kabisa ili kikojoleo chako kidanganywe na ibilisi mpaka uje without afu tunalala pamoja in kind afu masihara yanaleta utamu....Babu ukifungiwa uje me ntakufungulia...
Kisebule changu ni kikubwa utalala kwenye ile sofa paleee
Babu me nakusaidia kupata Hifadhi wewe unataka na mengine? Basi bora ukaruke tu ukuta nondo ikamate shati ubembee 🤣🤣🤣Afu nalala without kabisa ili kikojoleo chako kidanganywe na ibilisi mpaka uje without afu tunalala pamoja in kind afu masihara yanaleta utamu....
Ni Kiranga huyo jamaa alikuwa analeta Logic zake kwenye ndoa mke kamshughulikia 😊😜😜😜Mnatoa RIP hewa mbn aliyekufa mwenyewe hajulikani
Ova
GentapopomaTupige kura kumbaini huyo mwenzetu mi naanza na..............maana siju ya pili hii hajacomment humu wala kupost
Nimecheka sanaaa aisee wanywa pombe shughuli zenu si za kitotoPole kwa wafiwa..
Mi nilikuwa na mazoea hayo ya kulewa na kurudi usiku naruka hizo nondo asubuhi najikuta nimekwaruzika mwili mzima kisa cha kuacha mchezo huo sitasahau.
Nilirudi siku hiyo kilevi kimezidi kuliko kawaida nikapiga simu na kugonga sikufunguliwa nikachukua maamuzi ya kuruka. Niliacha kila kitu juu ya nondo surwali shati hadi boksa. Nikaingia ndani nikalala na viatu tuu. Asubuhi kidogo mama angu afe kwa presha akajua nimeuliwa nikatupwa juu ya nondo kumbe nguo. Akaingia ndani nimelala uchi akanikagua mzima zaidi ya michubuko tuu. Sitasahau
Ushaanza uchoyo.... dah!Babu me nakusaidia kupata Hifadhi wewe unataka na mengine? Basi bora ukaruke tu ukuta nondo ikamate shati ubembee 🤣🤣🤣
Kwenye shida na rahaJaman wale mnaopenda kulewa au kuchelewa kurudi majumbani mwenu kwa sababu za starehe kama hizi muwe mnakuwa na funguo za ziada ili ukirudi unajifungulia mwenyewe kuepusha vifo visivyo vya lazima.
Inachosha sana kuamshwa na mtu aliyetoka kwenye starehe zake ukatishe usingizi wako ili umfungulie