Anayesema Moshi pagumu kwa wageni, ugumu wake ni nini?

Anayesema Moshi pagumu kwa wageni, ugumu wake ni nini?

Thubutu. Jidanganye na wajinga wenzio ni wapi mchagga ana ardhi kubwa hapa Rocky City. Mmebaki kuuza majengo tu kwa sababu ya mikopo kwenye mabenki. Tai five msukuma kabeba. Halafu ohh tuna ardhi Mwanza. Wewe umechanganyikiwa siyo bure.
Mbona kila Siku unazungumzia Tai five? Kwann hutaji mahotel mengine makubwa ya wachaga? Nikutajie? Nasema hivi mwanza tunakaribia kuimaliza nyie si mpo busy porini kuchunga?
 
Kwa hiyo robo eka ya mchaichai tayari ni bepari ? Poleni sana
Tunamiliki makampuni makubwa example usafirishaji kampuni za mabasi 70% ni za wachaga,Hakuna mkoa wowote utakosa basi la kampuni ya MCHAGA, upo? Na precious AIR nayo ya MCHAGA shirima
 
Back
Top Bottom