luambo makiadi
JF-Expert Member
- Nov 28, 2017
- 10,602
- 8,798
Hajui kitu huyo mcheza ngomaKitu ambacho haukijui Kuna wanaklimnjaro wanaweka pesa benki mpka wanasaidia benki mzunguko uwe mzur , mwisho wa sku benki inampa zawadi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hajui kitu huyo mcheza ngomaKitu ambacho haukijui Kuna wanaklimnjaro wanaweka pesa benki mpka wanasaidia benki mzunguko uwe mzur , mwisho wa sku benki inampa zawadi
Kama hayo ni kweli mbona Kilimandjaro ni mkoa wa pili watu wake kuishi maisha Bora,per capital income (individual), na miundombn toshelez kwa 90%? Kilimandjaro yote nyumba za kisasa ni 90% hivi mtu mwenye maisha magumu anaweza kujenga nyumba ya kisasa? ACHA upuuziMoshi hakuna maisha aisee hali ni mbaya mno hakuna viwanda,hakuna uvuvi,hakuna madini,hakuna ardhi ya kutosha !!!, vimebaki vipande vya mashamba ya kahawa!!! ,
Itakuwa kama parishivi kwa mfano tanzania tukipata rais mchagga nchi itakuwaje?
Huna uwezo huo maana wanamiliki maeneo kihalali na ww kamiliki popote au ngawira huna?kwanini na sisi mikoani tusiwafukuze
Unaesononeka ni wewe sukuma gang baada ya jiwe kufariki sisi tunajenga nchi ndio maana tupo Tanzania nzima kama wawekezaji , kuhusu vyeo mbona tunavyo tena vya kudumu? Kila idara tupo nje ya nchi etc we ulidhani vyeo ni kuteuliwa na rais tu?
Wachagga kwisha habari yao. Wamebaki kutapatapa tuWe mchunga mbuz huna hoja wakati nyie mkichunga mbuz sisi tulikuwa ughaibun tunabukua usiwe na wivu omera
Naam lazma tuzikwe nyumbn sisi tunathamin nyumbn sio kama nyie mnaojenga vi slope hata mkifa mnaogopa kuzkwa kwenu
Mkoa gani mna maeka ? Acha kujidanganya kupitia mmea wa ArushaWe hujui kitu,hyo ardhi ya nyumbn ni Lulu,mtu hata akimilk robo heka huko mikoan unakuta Ana mahekar mengi hii n kutokn na nature
Kwan utajir wa mtu lazma uwe single area? Think big
Huna lolote ww kibarua wa beacon alafu idara za ardhi ktk halmashaur nying zinaongozwa na wachaga upo
Mwanza tunakaribia kuimaliza kwanzia pasians,makoroboi had nje igoma kule tunazd kuhamisha wasukuma
Si kweli kila mwaka kuanzia tarehe 15 mpaka 20 Disemba watu huenda makwao kula sikukuu na mwaka mpya, narudia kila mwaka hilo hufanyika, hiyo ni mbali na kuja kwenye misiba ambayo haina ratiba maalum. Hapa Tanzania huu mkoa unaoongoza kwa kukutana na ku connect each other which strengthen family ties, kushauriana, kuwekana sawa, kusaidiana, vikao vya familia & ukoo, watoto na ndugu wapya kujuana etc. Hii ndiyo sababu kubwa ya hawa watu kukataa kuuza ardhi maana ni aibu kwa wenzako ikionekana kwamba eti huna eneo tena baada ya kuliuza.
Thamani ya ardhi Moshi ipo juu mtu maskini kama we huwez ku afford ndio maana unaona kugumu,mm nikiuza ekari moja pale rombo nikienda mikoa mingine hiyo hela nanunua hekari 20 na chenji nabaki nayo,hapo ni land value ndio inasumbua wengi Hakuna ugumu wowote mbele ya pesa
Jidanganye , jiulize kwann wapare wasianzishiwe mada Kama wachaga wanamiliki robo heka ya mchaichai tu?
Hiyo ndoto ya mchana, hatatokea na wala haiwezi kutokea nchi hii kuwa na Rais mwenye meno kama kashatahivi kwa mfano tanzania tukipata rais mchagga nchi itakuwaje?
Wachaga wana meno kama kashata? Au ujuu kutofautisha wachaga na waarusha?Hiyo ndoto ya mchana, hatatokea na wala haiwezi kutokea nchi hii kuwa na Rais mwenye meno kama kashata
Unaona unavyotoa povu?Tanzania nzima ya wapi ? Matokeo yake mnaishia kwenye ugaidi tu
Waliobaki wanatapatapa ni nyie wachunga mbuz wafuasi wa mwenda mlikuwa kupe wake Leo kawaacha wakiwa,sis hata miaka 100 ijayo tutazid kubaki stable both educationally,and economicallyWachagga kwisha habari yao. Wamebaki kutapatapa tu
Mtu kwao,kama we akili yako inakuambia ujenge slope kwenu shauri yako,sisi tutazid kuporomosha maghorofa huko migombn hadi mshangaeMakaburini. Khaaa. Kumbe sawa tu na Kinondoni makaburini
Nenda pwani mkuranga,kibaha,morogoro kule kilombero,kilosa ,njoo mbeya Sasa yan everywhere unadhan tunaswaga ngombe kama ww?Mkoa gani mna maeka ? Acha kujidanganya kupitia mmea wa Arusha
Hakuna Cha zamani had Sasa hiv pitia wilaya zote uje unipe jibu,kusoma raha bhana,sio tu ardhi idara nyingi za uchumi,fedha,uhasibu,engineering tumezi hodhi mostlyHayo yalikuwa zamani sasa hivi mnaugulia maumivu tu.