usiwatukane, wengi hawaujui ukweli. kuna propaganda mbaya sana imeenezwa kwa muda mrefu dhidi ya wachaga. ni wajibu wako kuwaeleza watu ukweli.Watuache na Moshi yetu. Pumbavu hawa watu, wanasumbulia na chuki
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
usiwatukane, wengi hawaujui ukweli. kuna propaganda mbaya sana imeenezwa kwa muda mrefu dhidi ya wachaga. ni wajibu wako kuwaeleza watu ukweli.Watuache na Moshi yetu. Pumbavu hawa watu, wanasumbulia na chuki
Wahaya nawajua in and out,hayo maeneo kulipo makabila mengine mostly ni pembezoni mfano nyakabango,kimwani,kishuro yaan sii kule kwenye wahaya pure,huwez kwenda nshamba, kamachumu,kyaka,kanyigo etc ukakuta mchanganyiko wa Kabila tofauti na wahayaUnatupiga Kama hapa.
Bukoba Kuna emails za kihaya??!! Hebu toa mfano.
Halafu acha kulinganisha bukoba na Moshi kwenye swala la ubinafsi na Tabia zenu za ajabu.
Bukoba Kuna wasukuma kibao,waha kibao,wanyarwanda kibao,waganda ndo husiseme,wajita na wajaluo Hadi nyie wachaga wenyew mpo huku bukoba.
Sema bukoba watu wengi wanapenda kuongea kihaya lakin sio kwamba ni pagumu kwa mgeni.
NB. Ukiwa mgeni hupaswi kudharau wahaya hata kidogo hapo utajuta. Wahaya hawapendi dharau..
Kwan Kuna ajabu gan kufa?
Unaesononeka ni wewe sukuma gang baada ya jiwe kufariki sisi tunajenga nchi ndio maana tupo Tanzania nzima kama wawekezaji , kuhusu vyeo mbona tunavyo tena vya kudumu? Kila idara tupo nje ya nchi etc we ulidhani vyeo ni kuteuliwa na rais tu?Wewe naye kila wakati unawaza uchagga tu. Sasa hivi mtasononeka sana. Enzi za wachagga kupendeleana vyeo zimeshapita shirikiane na watanzania kujenga nchi. Hakuna namna.
Kunywa tusker lite mangi bili juu yanguMzee upo confused sana
Unakataa Wahaya hawaongei Kihaya maofisini,then unarudi nyuma unasema Wahaya wanapenda kuongea Kihaya sana
Yaani upo confused.
Hoja zako ni mtazamo wako,na hoja zangu ni mtazamo wangu
Mwisho wa siku tutakaa hapa kuzungumzia haya makabila kila mmoja anatetea upande wake,hatutafika mwisho
Issue hapa ni kwamba Bukoba labda kwa macho yako unaona wageni wapo ni sababu kuna ardhi kubwa ya bure,Moshi hakuna ardhi kabisa,mgeni hawezi pewa ardhi maana haipo
Ndio maana unaona hakuna wageni maana ardhi ya kuwapa haipo
Wachagga ni watu wazuri tu kama walivyo watu wengine,shida hapa mna chuki ya ajabu sana bila sababu
Kutokumuuzia mgeni ardhi sababu huna ni "tabia ya ajabu"?
Kujifanya sijui wageni wapo wengi sana kwenu ndio sifa,soon mtakua replaced mercilessly kama mlivyowafuta Wazaramo mkoa wa Dar
Soon Bukoba yenu yooote itakua dominated na foreigners na msidhani foreigners wana sympathy na wenyeji kwa lolote lile,soon mtakua pushed out na mwisho mtakua wiped out.
Soon land kwenu itaisha,hamna pengine watakubali kuwapa their land,mtakua landless,na kabila likiwa landless maaan yake hilo kabila lina-cease to exist by definition.
Mmeona raha sana kuja Dar na kumeza Wazaramo wote wameisha,sasa the same is coming at you and you will be landless,wait and see!
We mchunga mbuz huna hoja wakati nyie mkichunga mbuz sisi tulikuwa ughaibun tunabukua usiwe na wivu omeraWnaubaguzi sana hawa jamaa. Heri mpaka ungesogezwa wawe kenya kwa wabaguzi wenzao. Nashangaa hata serikali inavyowapa nafasi sekta nyeti maana ni ulaji kwanza huduma baadae!
Nyie vibaraka wa mwenda ndio mmetupwa mmebaki na umaskini wenu ktk mikoa yenuMlishatupwa kwenye dust bin. Kikichobaki ni kuunga mkono ugaidi tu fyuuuuu
Naam lazma tuzikwe nyumbn sisi tunathamin nyumbn sio kama nyie mnaojenga vi slope hata mkifa mnaogopa kuzkwa kwenuKumbe ndio hivyo ! Kumbe Kilimanjaro ni makaburini ?
Sasa povu la nn ? Vipi na zile zenu mlizojenga za nyasi zina generate income?Kwa hiyo tuwaonee wivu kwa idle capital waliyowekeza kwenye nyumba za kulala na makaburi Moshi na Nyumba za kulala Christmas na misiba?
.Kwani hizo nyumba za kulala Christmas na makaburi vina generate income gani hadi tuwaonee wivu?
Tunapnda kuzkwa kwetu maana tumejenga,nyie mnaogopa kuzkwa kwenu maana ni aibu vijumba kama viota vya ndegeKifupi Hilo ndio jibu Kilimanjaro ni makaburini wachagav huwa wanaenda kuzika toka pande zote za Nchi na dunia mchaga akifa wanampeleka makaburini Kilimanjaro
We hujui kitu,hyo ardhi ya nyumbn ni Lulu,mtu hata akimilk robo heka huko mikoan unakuta Ana mahekar mengi hii n kutokn na natureMtu atakuwa bepari wakati anamiliki robo eka ya mchaichai ? Hauko serius
Mtu atakuwa bepari wakati anamiliki robo eka ya mchaichai ? Hauko serius
Kati ya kujenga gorofa zuri la kulala na kujenga slop ya nyasi ni kipi bora? Unajua unachekesha ww mporiporiNyumba ya kulala tu sio Asset ni liability sababu haiingizi hela linatumia hela tu
Hakuna benki itakupa pesa kisa eti una ghorofa la kufikia Christmas Moshi. Hawataki benki kuchukua kama dhamana unless likiwa na wapangaji hapo Sawa lakini ghorofa tu liko migombani Moshi liimekaa kama mtu anajisaidia haja kubwa wima linasubiri tu watu waje msibani na krismasi eti ukopee benki kama dhamana Hakuna
Asante San huyu mporipori Ana akili finyu mna hataki tujenge mighorofa huko uchagani ss ni mataita lazma tufanye kufuru migombn hukokwahiyo nyumba zote duniani zinaingiza hela?
Na gari unaloendesha linaingiza?
Haliingizi hela ni liability,kwanini hulitupi?
Nyumba uliyojenga unayoishi hapo DSM haingizii hela,kwanini huitupi?
Nyumba usiyolala ni liability,nikipeleka documents zake benki kama colateral sichukui mkopo regardless?
Hii mambo ya liability na asset ni usenge kutokana na wewe una njaa kiasi gani.
Kwahiyo kwavile watakao lala ndani ni wachache basi Moshi pasijengwe hata kama ni holiday house?
Ndio maana ya middle class,ndio maana ya watu kua na disposable income,huna ndio maana you cant afford to build in Bukoba kwenu huko,unajenga Dar halafu unakufa,basi!
Watoto wako wanabaki hawajui hata ulitokaga kijiji gani huko bukoba,wewe jamaa ni useless!
Nimeshamjibu kuwa sis nchi nzima tuna na ardhi nikamwambia utajir wa mtu sio lazma uwe single area tatizo hawa wapori hawana exposureNenda wizara ya ardhi pale,pitia majina ya land owners in Tanzania
Wachagga are the biggest land owners in Tanzania,na Im talking about real land yenye documents rasmi na zinafanya uzalishaji wa ajabu
Wewe jidanganye na kirobo heka kule Marangu ukadhani ni kweli
Kwenye post yako ulisema wachaga ni wabinafs mm nkakucheki tu nikasema hiiii HIV wachaga wanawazd wahaya ubinafs ?Hebu Soma vzr post yangu.
Una mihemuko sana
Wapi wewe utakufa kioro kwamba wahindi wanamiliki ardhi kuzid sis watz acha ufalaSi kweli wahindi ndio wengi,wachaga wanamiliki uswekeni,na owners wengi ni wanawake wa makabila tofauti Tanzania
Hahahah yeye ni kibarua anajiita ofisa hahaha wakati hajui watu tumepiga masters zetu za Land management tumetulia tunamchora tuNipo kwenye keyboard just like you
Huna tofauti na mimi,then una audacity ya kuniita "keyboard warrior" wakati na wewe upo kwenye keyboard?
"Mere say" ni Kingereza cha wapi ndugu?
Your English is in ICU,try to polish it up for God'sake!
Ofisa Ardhi usiejua Kingereza sijui ni wa wapi aisee.
Nenda site kashike beacon za kuchimbia!
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Una chuki binafsi. Hawaendi Christmas tu wanaenda vipindi vingine vya mwaka sababu sk hizi barabara zimetengenezwa na watu wengi wana magari si kama zamani.
Zile nyumba zinarithishwa kwa hiyo vizazi na vizazi vinaendekea kuishi kwenye makazi bora, sio kunywa supu mjini ukirudi kijijini kwenu unaenda kunya vichakani.
Huna lolote ww kibarua wa beacon alafu idara za ardhi ktk halmashaur nying zinaongozwa na wachaga upoUmepanic mkuu take a glass of cold water and relax for a bit,we waenda wizarani kutafuta data za land owners in Tanzania,mie nalog in na kukupa hizo data[emoji23][emoji1363][emoji120]
Chasaka hawa Wana low thinking capacity dawa ni kuwapa za usoHuwezi login popote
Mimi nina vibaraka wangu kama wewe wa kutosha wizarani,napiga simu anytime wananitumia data yeyote nitakayo
Nimepaniki sababu "Kipepeo wa Chuma1" kasema?
Nikupanikie wewe mtu ambae hata sikujui aisee?
Napaniki when my life is on the line,sio huu usenge unaosemea hapa mzee?
Wewe sio threat to my life,sina sababu ya kutishika na wewe!
Plus I even dont know you kabisa!