luambo makiadi
JF-Expert Member
- Nov 28, 2017
- 10,602
- 8,798
Mbona kila Siku unazungumzia Tai five? Kwann hutaji mahotel mengine makubwa ya wachaga? Nikutajie? Nasema hivi mwanza tunakaribia kuimaliza nyie si mpo busy porini kuchunga?Thubutu. Jidanganye na wajinga wenzio ni wapi mchagga ana ardhi kubwa hapa Rocky City. Mmebaki kuuza majengo tu kwa sababu ya mikopo kwenye mabenki. Tai five msukuma kabeba. Halafu ohh tuna ardhi Mwanza. Wewe umechanganyikiwa siyo bure.
Waabudu mizimu kuzidi wasukuma wanaopanda fisi mchana kweupe?Shauri yao. Wala hatushituka na kuabudu kwao mizimu
Ipo ni hela yako tu Hakuna mkate mgumu mbele ya pesa, kinachowasumbua ni land value uchagani ardhi Ina value kubwa Bei ya hekari moja nikienda mkoani nanunua hekari 50Hiyo ardhi ipo ?
Tunamiliki makampuni makubwa example usafirishaji kampuni za mabasi 70% ni za wachaga,Hakuna mkoa wowote utakosa basi la kampuni ya MCHAGA, upo? Na precious AIR nayo ya MCHAGA shirimaKwa hiyo robo eka ya mchaichai tayari ni bepari ? Poleni sana
Meno ya dhahabu,ni heri meno kashata KULIKO mshambaHiyo ndoto ya mchana, hatatokea na wala haiwezi kutokea nchi hii kuwa na Rais mwenye meno kama kashata
Huyu anachunga mbuzi masaa 24 atawajulia wapi? Hana exposure yoyote msameheWachaga wana meno kama kashata? Au ujuu kutofautisha wachaga na waarusha?
Huyu anachunga mbuzi masaa 24 atawajulia wapi? Hana exposure yoyote msamehe