Anayesema Yanga imeshuka anatumia moyo badala ya ubongo kufikiri

Anayesema Yanga imeshuka anatumia moyo badala ya ubongo kufikiri

Ni mtu mjinga tu anaeweza kuamini kuwa Man City kupoteza mechi 5 mfululizo imeshuka kiwango. Yanga ilifungwa goli 2 na Al-hilal lakini hata Al-hilal wenyewe hawaamini kama walichomokaje pale bila kufungwa. Simba wameifunga Bravos lakini hata Simba wenyewe wanashangaa walishindaje mechi ile. Kila mtu anaona Kamara ndiye aliwashindia mechi ile na sio vinginevyo. Hata Bravos wanajilaumu wenyewe kushindwa mechi na sio ubora wa Simba. Yanga ni bora hata kesho na keshokutwa
Hakuna timu bora inayofungwa fungwa. Ukiona unafungwa fungwa ujue una mapungufu na kuwa na hayo mapungufu ndio kushuka ubora, hiyo ni simple logic. Hoja zako ni za mtoto wa darasa la pili eti Al Hilal hawaamini , Yaani Al hilal ameona mlivyofungwa na Tabora halafu asiamini kuwafunga , halafu wapi walipokuambia hawaamini?

Hivi wewe unafikiri vizuri kweli?Kwani camara ni mchezaji wa timu gani? Hujui kuwa ubora wa timu ni pamoja na kuwa na kipa bora?
 
Hakuna timu bora inayofungwa fungwa. Ukiona unafungwa fungwa ujue una mapungufu na kuwa na hayo mapungufu ndio kushuka ubora, hiyo ni simple logic. Hoja zako ni za mtoto wa darasa la pili eti Al Hilal hawaamini , Yaani Al hilal ameona mlivyofungwa na Tabora halafu asiamini kuwafunga , halafu wapi walipokuambia hawaamini?

Hivi wewe unafikiri vizuri kweli?Kwani camara ni mchezaji wa timu gani? Hujui kuwa ubora wa timu ni pamoja na kuwa na kipa bora?
Hayo unayasema wewe lakini ukimuuliza Ibenge hawezi kusema utumbo huo unaousema wewe. Tabora waliifunga Yanga wakati Yanga ikiwa haina wachezaji wake muhimu sana. Kwenye mechi ile ni kama vile Simba ingecheza na Tabora ikiwa inawakosa Chemalone, Kapombe, Hamza na Zimbwe kwa wakati mmoja kule nyuma. Wakati Azam wanaifunga Yanga goli moja Yanga walikuwa pungufu, na wakati Al-Hilal anaifunga Yanga kuna wachezaji muhimu saaana kama Aucho, Boka, Mzize hawakuwepo. Ubora na umuhimu wa Aucho na Boka pale Yanga haupatikani kwenye mbao ndefu. Wachambuzi uchwara hawati kuchambua kwanini Yanga ilifungwa kwenye mechi tatu mfululizo kwenye ligi ambayo kila timu ilisajili kwa kuogopa kufungwa na Yanga goli 5 msimu huu tena.
 
Nipo na natamba nayo,Kawaidaa Tutacheza Fainali CAF CL tulia hapohapoo chief
Labda mtachezea chooni..kwa timu ipi, hii hii wachexaji wanachapana makonde kambini kisa mademu, au wanaenda club kila uchwao na kuvuta mashisha na kugombania maraya..au timu ipi hio..
Hamuendi popote timu ya hovyo kwanza mnatumia madawa ya kuongeza nguvu
 
Ni mtu mjinga tu anaeweza kuamini kuwa Man City kupoteza mechi 5 mfululizo imeshuka kiwango. Yanga ilifungwa goli 2 na Al-hilal lakini hata Al-hilal wenyewe hawaamini kama walichomokaje pale bila kufungwa. Simba wameifunga Bravos lakini hata Simba wenyewe wanashangaa walishindaje mechi ile. Kila mtu anaona Kamara ndiye aliwashindia mechi ile na sio vinginevyo. Hata Bravos wanajilaumu wenyewe kushindwa mechi na sio ubora wa Simba. Yanga ni bora hata kesho na keshokutwa
Mnapenda kujikuza tangu lini utopolo imefikia hadhi ya kulinganiahwa na Man City.
 
Labda mtachezea chooni..kwa timu ipi, hii hii wachexaji wanachapana makonde kambini kisa mademu, au wanaenda club kila uchwao na kuvuta mashisha na kugombania maraya..au timu ipi hio..
Hamuendi popote timu ya hovyo kwanza mnatumia madawa ya kuongeza nguvu
Yanga imetoa wachezaji wengi mno kwenye timu za mataifa yao, na kuyawezesha mataifa yao (Tanzania, Uganda, Bukina Faso, Mali, Zambia) kufuzu kwenda Morocco. Walitumia nguvu nyingi sana kufanikisha jambo hilo. Wana fatigue ya muda tu.
 
Usipelekeshwee na umbeaa,unauhakika na ulivyosema au ndio mashabiki wa Makolo ropooropoo.Asa ukiishangaa Yanga mpira inaochezaa huo makolo mpira ganiii saaa. Nilichojifunza kupitia Yanga Adui wa mtu hupenda Sanaa mtu apitie matatizoo hata kama hamuudu yee Binafsi.
 
Usipelekeshwee na umbeaa,unauhakika na ulivyosema au ndio mashabiki wa Makolo ropooropoo.Asa ukiishangaa Yanga mpira inaochezaa huo makolo mpira ganiii saaa. Nilichojifunza kupitia Yanga Adui wa mtu hupenda Sanaa mtu apitie matatizoo hata kama hamuudu yee Binafsi.
YANGA 0 AL HILAL 2.

YANGA 0 AZAM 1.

YANGA 1 TABORA 3.

LEO :
YANGA 0 NAMUNGO 5
 
Yanga ilishuka lini? Wakati wa pre-season ilichukua ubingwa wa mashindano ya ToYOTA, kwenye Yanga day ilishinda, kwenye ngao ya jamii ilishinda, kwenye ligi imeshinda mechi zote bila kufungwa na kwenye mashindano ya CAF imeingia hatua ya makundi. Yanga ilishuka kiwango kuanzia lini?

Kilichotokea ni kwamba, timu zetu zoote kwenye ligi zimesajili, zinaendelea kusajili wachezaji na zinafundishwa na walimu wao kucheza ili kuepuka kufungwa goli 5 na Yanga baaasi. Timu zote na wachezaji wote wanacheza dhidi ya Yanga kwa namna ya kunusuru ajira zao na zile za walimu, viongozi na wafadhili wao.

Makocha, wachezaji na viongozi wa timu wanacheza ili kuepuka kufungwa magoli mengi na Yanga ili kulinda ajira zao.

Hii inasababisha wachezaji kukamia hata iibidi kuumia au kuwaumiza wachezaji wa Yanga, wachezaji wao wanacheza kwa tahadhari kubwa kupitiliza, viongozi wao wanafanya kila kitu kuzuia kufungwa.

Kila timu inaingia uwanjani kama timu ya pili mbele ya Yanga.

Hii ndiyo sababu Yanga haifungi magoli mengi kwenye ligi lakini inapata points. Anaesema Yanga imeshuka kiwango hayui alisemalo.
Mashabiki wa yanga bana😂😂
 
Yanga ilishuka lini? Wakati wa pre-season ilichukua ubingwa wa mashindano ya ToYOTA, kwenye Yanga day ilishinda, kwenye ngao ya jamii ilishinda, kwenye ligi imeshinda mechi zote bila kufungwa na kwenye mashindano ya CAF imeingia hatua ya makundi. Yanga ilishuka kiwango kuanzia lini?

Kilichotokea ni kwamba, timu zetu zoote kwenye ligi zimesajili, zinaendelea kusajili wachezaji na zinafundishwa na walimu wao kucheza ili kuepuka kufungwa goli 5 na Yanga baaasi. Timu zote na wachezaji wote wanacheza dhidi ya Yanga kwa namna ya kunusuru ajira zao na zile za walimu, viongozi na wafadhili wao.

Makocha, wachezaji na viongozi wa timu wanacheza ili kuepuka kufungwa magoli mengi na Yanga ili kulinda ajira zao.

Hii inasababisha wachezaji kukamia hata iibidi kuumia au kuwaumiza wachezaji wa Yanga, wachezaji wao wanacheza kwa tahadhari kubwa kupitiliza, viongozi wao wanafanya kila kitu kuzuia kufungwa.

Kila timu inaingia uwanjani kama timu ya pili mbele ya Yanga.

Hii ndiyo sababu Yanga haifungi magoli mengi kwenye ligi lakini inapata points. Anaesema Yanga imeshuka kiwango hayui alisemalo.
Nasikia kuna ugomvi

 
Back
Top Bottom