Anayesema Yanga imeshuka anatumia moyo badala ya ubongo kufikiri

Anayesema Yanga imeshuka anatumia moyo badala ya ubongo kufikiri

Tuwaombee Mzize, Boka, Aucho na Job wapone haraka majeraha yao. Hawa pamoja na Bacca na Yao ndio UTI wa mgongo wa beki ya Yanga. Hata hivyo nadhani Yanga wamekosea pia kuachana na Gamondi.
 
Tuwaombee Mzize, Boka, Aucho na Job wapone haraka majeraha yao. Hawa pamoja na Bacca na Yao ndio UTI wa mgongo wa beki ya Yanga. Hata hivyo nadhani Yanga wamekosea pia kuachana na Gamondi.
Kwa hiyo wewe ndio ulitumia moyo badala ya kufikiri au bado unaendelea kuhamisha magoli ambapo huwa unamtaja hadi Andambwile kukosekana. Uto ni uto.
 
Kwa hiyo wewe ndio ulitumia moyo badala ya kufikiri au bado unaendelea kuhamisha magoli ambapo huwa unamtaja hadi Andambwile kukosekana. Uto ni uto.
Kikosi cha Yanga hakuna mbadala wa halid Aucho, Job, na Boka. Hawakuwepo aisei. Andabwile na Fred Gift wangekuwepo huenda wangesaidia jambo baada ya kuwakosa hawa.
 
Wanangu twenzetu tukamchukuwe john bocco bado anakitu au freddy koublani
 
Sema tu Yanga kwa sasa tumeanza kukumbwa na wimbi la majeruhi! Alianza Yao Kwasi, na leo Boka na Kibabage nao wameshindwa kumaliza mchezo.

Hii hali haitakiwi kuendelea. Maana inaweza kuathiri timu siku za usoni.
Kale kawimbo ka Yanga imeshuka kiwango kameanza kufifia huko kwa wachambuzi uchwara.
 
Elie Mpanzu kaimbwa sana lakini hana hata assist Moja mpaka sasa.
 
Kwa hiyo wewe ndio ulitumia moyo badala ya kufikiri au bado unaendelea kuhamisha magoli ambapo huwa unamtaja hadi Andambwile kukosekana. Uto ni uto.
Ulitumia moyo kusema Yanga imeshuka kiwango. Mechi 5 magoli 18, hiyo ikoje.
 
Kwa hiyo wewe ndio ulitumia moyo badala ya kufikiri au bado unaendelea kuhamisha magoli ambapo huwa unamtaja hadi Andambwile kukosekana. Uto ni uto.
Nilikwambia unatumia moyo badala ya ubongo kuchambua mpira. Yanga 3-1 TP Mazembe. Moyo una tabia mbaya sana, siku zote hautaki kusikia na kukubali mabaya na yasiyomfirahisha mtu, Hivyo moyo uko tayari kudanganywa na kudanganya ili kukwepa mabaya (avoidance and escaping behavior) ili kupata false hope and joy.
 
Yanga inatisha!!
Wachambuzi wetu baadhi yao ni hovyo kabisa. Wanatumia microphones za taasisi ya habari ya mtu kwa manufaa yao badala ya kuelilimisha, kufurahisha na kuhabarisha watu ukweli WA mambo.
 
Al-Hikal 0-1 YANGA. wanaotumia moyo kuchambua mpira badala ya akili wanakosa cha kuchambua. Eti Yanga imeshuka, nyambafu!!!
 
Yanga 0 - 0 Mc Alger's, wanaotumia moyo kukataa kuwa yanga haijashuka wamegusa wakaachia wakarudi nbc
 
Yanga 0 - 0 Mc Alger's, wanaotumia moyo kukataa kuwa yanga haijashuka wamegusa wakaachia wakarudi nbc
Kupata sare kwa MC Alger unaona ni kazi ndogo wewe!! Unatumia moyo kuchambua mdogo wangu. Bugeti ya mc Alger huwezi kuifananisha na ya Yanga na hata kikosi cha mc Alger huwezi kukifananisha na akina Kibwana shomari wetu. Yanga walikosea kwenye zile mechi 2 za awali kwa sababu wanazozijua.
 
Yanga 0 - 0 Mc Alger's, wanaotumia moyo kukataa kuwa yanga haijashuka wamegusa wakaachia wakarudi nbc
Simba 1-1 Fountain. Anaesema Yanga mbovu anatumia moyo kufikiria.
 
Back
Top Bottom