Anayesema Yanga imeshuka anatumia moyo badala ya ubongo kufikiri

Hakuna cha kukosea kwa sababu wanazozijua , walipigwa Kutokana na kuzidiwa uwezo na mbinu. Uto ni timu ya kawaida haijawahi kuwa na kiwango hicho mnachoiimba .
 
Jkt 0 - 0 yanga, anayekataa kuwa yanga haijashuka kiwango anafikiria kwa kutumia moyo
Hakuna timu isiyofungwa kwenye ligi yake. Kutoka sare au kufungwa mechi chache sio timu imeshuka.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…