Anayeshtakiwa kumuua Mkewe adai haogopi Kunyongwa

Haina tofaut mzazi yeyeto akimuua mwenza wake ameshatengeneza uadui na wanae.
Ni Kama kaiingizia familia laana
 
Mfanyabiashara Hamis Luwonga mwenye umri wa miaka 38 anayetuhumiwa kumuua mkewe Naomi Marijani na kumchoma moto kwa kutumia magunia mawili ya mkaa, amedai haogopi kunyongwa hadi kufa wala adhabu nyingine yoyote.

"Kitu ambacho ninakikataa Mhe. Hakimu, ni kuwa niliua kwa makusudi, mimi sikuua kwa makusudi hata ninyongwe leo hadi kufa kwa kile cha kweli, nitaangamia kimwili lakini siyo kiroho, siogopi kunyongwa wala siogopi adhabu yoyote ile lakini ninataka kama nikinyongwa basi ninyongwe kwa haki kwamba niliua bila kukusudia kwasababu ni ajali tu ilitokea"

"Kama shetani angeendelea kunishikilia hadi leo hii, hakuna mtu angejua kitu gani nimefanya lakini roho mtakatifu alinishukia na nilikuwa nasukumwa kusema ukweli kwasababu nilikaa miezi miwili na siku moja bila ukweli kujulikana, hadi sasa Naomi asingejulikana yuko wapi, kutokana na hofu ya Mungu niliamua kusema ukweli siyo kwasababu nilipata mateso kutoka kwa Askari polisi, hapana, ni mimi mwenyewe niliamua"- amejitetea Luwonga kisha akaendelea kujieleza kuwa

"Mhe. Naomba utambue jambo moja, Mawakili wangu ninawaomba wanitetee kwa haki na siyo kupindisha-pindisha mambo kwasababu mimi mwenyewe ndiye niliyeamua kuzungumza ukweli"

Luwonga amemalizia kwa kuiomba Mahakama wamalize kesi yeke kwani Rais na Watanzania wanatamani kujua nini hatima kesi yake kwasababu ilitika nchini mwaka 2019 lilipozuka sakata hilo la kutisha la Luwonga kumuua mkewe kisha kumchoma na magunia mawili ya mkaa nyumbani kwake Kigamboni jijini Dar es salaam.
 
Wanaumme tunapashwa kua na uvumilivu sana ukiamua kuoa wanawake ni mitihani mkubwa.
 
Wakati LULU kwa kosa lile lile yupokitaa maisha yakiendelea
Yule aliyemuua kwa kuchoma moto nyumba aliyomo mchumba ake, ambaye ni kinyozi wa salon? Kule mbezi?? Nikajua kafungwaa tayari jela. Lol
 
Wabongo Tunajifanya tuna hasira za kipumbavu sana, ona sasa anaenda kula tanzi, angelimuacha akatafuta pisi nyengne pengine angekua anakula raha mda huu
 
Kitendo cha kua tayari kwa hukumu yeyote hata kunyongwa hadi kufa,kinaashiria kua mtuhumiwa amekubali kosa lake,na anaona kabisa kua ni haki kuhukumiwa kwa alichokifanya,

Sometimes majuto huja baada ya kitendo but hua ni too little too late.
Sad
 
Ila namsifu jamaa kwa alichoeleza mbele ya mahakama. Naomi alikuwa msumbufu sana hata majirani zake Kigamboni wanakili hilo wazi baada ya hilo sekeseke kutokea 2019.

Duh maskini angejua angehama nyumba angejiepusha na shari wanawake sisi tuna midomo sanaaa huwa tunasukuma wanaume kufanya vitu vya ajabu
 
Duh maskini angejua angehama nyumba angejiepusha na shari wanawake sisi tuna midomo sanaaa huwa tunasukuma wanaume kufanya vitu vya ajabu
Ndio mbadirike sasa Mary, wengine wanatoa machozi kilasiku kwenye maombi wakitafuta ndoa na mwanaume yeyote wengine wanaanzisha vitimbi ndani ya ndoa ili zivunjike.😀
 
Ndio mbadirike sasa Mary, wengine wanatoa machozi kilasiku kwenye maombi wakitafuta ndoa na mwanaume yeyote wengine wanaanzisha vitimbi ndani ya ndoa ili zivunjike.[emoji3]

[emoji3][emoji3]sio rahisi acha tu ni kama shetani anakuvaa mdomo hauwezi kufunga unaongea hatariiii,mtujulie tu hakuna namna
 
[emoji3][emoji3]sio rahisi acha tu ni kama shetani anakuvaa mdomo hauwezi kufunga unaongea hatariiii,mtujulie tu hakuna namna
Kwa midomo yenu hiyo ndiomana wengine hawaishi vizuri bila kulambwa makofi na wanaume zao.🤣🤣
Unakuta unanichokoza kwa maneno makusudi ili mradi tu ninyanyue mkono juu yako kha!😂
 
"Ninataka kesi hii iwe fundisho kwa watu wengi, kwa sababu tulifanya uzembe mkubwa sana sisi wanandoa na jamii pia ilifanya uzembe hadi mauaji yakatokea, alidai Luwonga.
In maana walipopeleka malalamiko kwa ndugu na jamaa waliwadharau au hawakuwapa ushikiano katika kutatua Hilo tatizo, na kweli hili litakuwa fundisho kwa wengi
 
Hakuna kiumbe kipumbavu kama hiki kinachowakilisha hapa. Eti for a man to cheat is okay.. nyie wauaji wakubwa chanzo cha ndoa nyingi kuwa na purukushani ni hamtaki kuona wake zenu wana hela kuwazidi. Mnaskia raha wakishinda wanawaomba kutwa. Mnaanza kuwataftia visa, mna cheat makusudi ili muwakomoe wakiongea mnapata sababu. Huyo kaka apewe adhabu anayostahili
 

Attachments

  • E3646DC7-9ECB-441C-9CA8-AB9533746D26.jpeg
    136.9 KB · Views: 8
Wana jamii ni wazembe sanaaa !!!watu wa dini ni wapuuzi inshu ikishakua ya uzinzi hakuna Amani tena apo inatakiwa kua mbali mbali tu hawezekani mwanamke alale nje week nzima af anarud ndan same as mwanaume..... tunajamii ya wapumbavu sana wazungu ikifikia ivo hamtakiw kukaribiana kabisa
 
Maisha haya duuuh mtu kapambana kashakua na nyumba zake halafu maisha ya tabu yanafuata kisa mwanamke mtoto wa watu asie damu yenu
 
Pili kichwa Cha mkewe kiliwai sana kuungua maana alikuwa anakigeuza. Tatu amedai Tako lilikuwa na mafuta mengi. Nne sehemu za Siri za Naomi zlikuwa na mafuta. Tano matiti pia yalikuwa na mafuta.

Sehemu zote zilizokuwa na mafuta zilichelewa kuungua ila zilisaidia moto kukolea.[emoji848][emoji2827][emoji1544]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…